Tinted Ruksa
Member
- Aug 7, 2017
- 49
- 25
Huyo mmoja ana miaka 63 na hao wengine kwenye hiyo picha wapo form 2!!!!?wewe uliyeandika bila heshima una miaka mingapi?"PAMBANA NA HESHIMA YAKO"
Unamaanisha uzuri wake ni kurusha matuc openly?Na ndio uzuri wa jf huo... where we dare to talk openly....

Majuz wakati natoka mkoa naelekea dar kwenye sit yangu nilikaa na Mzee mmoja .
Wakati tunapiga story mbili tatu tukajikuta tumeingia kwenye Jamiiforums .Mzee akasema naye ni member wa Jamiiforums na anapenda sana michango na hoja fikirishi za Mshana.
Wakati anasema hivyo tulikuwa tupo msata tukacheka sana na Safar ikawa inaendelea...
Sikujua kama Jamiiforums ina member wazee nilijua humu tupo vijana tu.Mzee akaendelea napenda sana kuchangia hoja mbali mbali lakin naogopa kuvunjiwa heshima yangu na watoto wadogo .....unaweza ukatoa hoja yako ukaishia kutukanwa maana hatujuani humu.
Nilicho gundua ni kwamba humu Jamiiforums kumbe wapo watu wazima sana kwa hiyo tusipende kutukana maana waweza mtukana baba yako au mama yako bila ya kujua ukaishia kupata laana..tu
Baba na mama yangu wapo Kantalamba huko JF wataijuaje Mkuu?Majuz wakati natoka mkoa naelekea dar kwenye sit yangu nilikaa na Mzee mmoja .
Wakati tunapiga story mbili tatu tukajikuta tumeingia kwenye Jamiiforums .Mzee akasema naye ni member wa Jamiiforums na anapenda sana michango na hoja fikirishi za Mshana.
Wakati anasema hivyo tulikuwa tupo msata tukacheka sana na Safar ikawa inaendelea...
Sikujua kama Jamiiforums ina member wazee nilijua humu tupo vijana tu.Mzee akaendelea napenda sana kuchangia hoja mbali mbali lakin naogopa kuvunjiwa heshima yangu na watoto wadogo .....unaweza ukatoa hoja yako ukaishia kutukanwa maana hatujuani humu.
Nilicho gundua ni kwamba humu Jamiiforums kumbe wapo watu wazima sana kwa hiyo tusipende kutukana maana waweza mtukana baba yako au mama yako bila ya kujua ukaishia kupata laana..tu
Unaonaje ukimtusi baba yako humu bila ya we kujua huoni utakuwa umejitafutia mikosi ya burebure.Hakuna kitu cha tusi kwa tusi Bali tusi kwa Busara tu mkuuWe hujui kuwa wazee nao hawana heshima,kama wewe ulivyokuwa huna heshima..!!hapa ni hoja kwa hoja ama tusi kwa tusi.laana haiji kwa kutokujuana bali huja kwa kujuana."PAMBANA NA HESHIMA YAKO.
Wanaweza wasie baba na mama yako hata mjomba yako ,baba yako mdogo au shangazi yako kikubwa tusipende kujibu ovyo ovyo au kwa mitusi maana haujui unaye mjibu hivyo ni Nani kwakoBaba na mama yangu wapo Kantalamba huko JF wataijuaje Mkuu?
Waliopo hapa itabidi tuvumiliane tuu
ID & alavants za humu zote karibia fake kasoro yangu tuID yake ni ipi

Meipenda hii mkuuuHapa hata boss wako kumvimbia kichwa kitu ya kawaida sana
We hujui kuwa wazee nao hawana heshima,kama wewe ulivyokuwa huna heshima..!!hapa ni hoja kwa hoja ama tusi kwa tusi.laana haiji kwa kutokujuana bali huja kwa kujuana."PAMBANA NA HESHIMA YAKO.
Baba Jesca nae yupo humu!Majuz wakati natoka mkoa naelekea dar kwenye sit yangu nilikaa na Mzee mmoja .
Wakati tunapiga story mbili tatu tukajikuta tumeingia kwenye Jamiiforums .Mzee akasema naye ni member wa Jamiiforums na anapenda sana michango na hoja fikirishi za Mshana.
Wakati anasema hivyo tulikuwa tupo msata tukacheka sana na Safar ikawa inaendelea...
Sikujua kama Jamiiforums ina member wazee nilijua humu tupo vijana tu.Mzee akaendelea napenda sana kuchangia hoja mbali mbali lakin naogopa kuvunjiwa heshima yangu na watoto wadogo .....unaweza ukatoa hoja yako ukaishia kutukanwa maana hatujuani humu.
Nilicho gundua ni kwamba humu Jamiiforums kumbe wapo watu wazima sana kwa hiyo tusipende kutukana maana waweza mtukana baba yako au mama yako bila ya kujua ukaishia kupata laana..tu
Kuna mzee mstaafu mchaga nilimfuma anaangalia jamii forum ila sababu ya akili zake anaangalia kupitia web based kwenye simu na sio app. Huyu ni mtaalamu kompyuta anajua aki download app itakula kwakeMajuz wakati natoka mkoa naelekea dar kwenye sit yangu nilikaa na Mzee mmoja .
Wakati tunapiga story mbili tatu tukajikuta tumeingia kwenye Jamiiforums .Mzee akasema naye ni member wa Jamiiforums na anapenda sana michango na hoja fikirishi za Mshana.
Wakati anasema hivyo tulikuwa tupo msata tukacheka sana na Safar ikawa inaendelea...
Sikujua kama Jamiiforums ina member wazee nilijua humu tupo vijana tu.Mzee akaendelea napenda sana kuchangia hoja mbali mbali lakin naogopa kuvunjiwa heshima yangu na watoto wadogo .....unaweza ukatoa hoja yako ukaishia kutukanwa maana hatujuani humu.
Nilicho gundua ni kwamba humu Jamiiforums kumbe wapo watu wazima sana kwa hiyo tusipende kutukana maana waweza mtukana baba yako au mama yako bila ya kujua ukaishia kupata laana..tu