Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,848
Ni wale wazee matapeliMi nashangaa hilo utaskia wazee wa humu wanalalamika eti wameacha kuchangia kama zamani sababu ya matusi,sasa unajiuliza inakuaje mzee wa makamo na kula kwako kote chumvi bado unaogopa matusi tena ya ID fake mitandaoni.kama unaandika vitu vya maana,mtu akikutukana siunamripoti tu ale ban shida iko wapi.