Nilicho kigundua juu ya JamiiForums

Nilicho kigundua juu ya JamiiForums

Mi nashangaa hilo utaskia wazee wa humu wanalalamika eti wameacha kuchangia kama zamani sababu ya matusi,sasa unajiuliza inakuaje mzee wa makamo na kula kwako kote chumvi bado unaogopa matusi tena ya ID fake mitandaoni.kama unaandika vitu vya maana,mtu akikutukana siunamripoti tu ale ban shida iko wapi.
Ni wale wazee matapeli
 
Ndio huku kuna wazee wengi sana mfano babu Dark City na babu Asprin wazee wa heshma.
-🙂 ingawa babu Asprin ameacha kukagua siku hizi. Na dhani ni uzee tu...........-🙁

Adabu ni muhimu na si ajili ya wazee tu. Bali ajili ya kuweka JF juu.
Koh koh
 
Back
Top Bottom