Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,757
- 21,990
au ndo wewe nini mlikuwa safari na kijana kwenda darNimekupata vyema kabisa
au ndo wewe nini mlikuwa safari na kijana kwenda darNimekupata vyema kabisa
hahahaaaHapa hata boss wako kumvimbia kichwa kitu ya kawaida sana
hahahaaaa! hyo picha ya chini mbavu zangu!!!! 😛 😛 😛 😛 😛
Ukimkuta mzee hasa matumizi makubwa kwake kwenye simu ni kupokea na kupiga tu, hadi vocha yenyewe hawezi kuweka zaidi ya kuwekewa.Duuuh
Mi nashangaa hilo utaskia wazee wa humu wanalalamika eti wameacha kuchangia kama zamani sababu ya matusi,sasa unajiuliza inakuaje mzee wa makamo na kula kwako kote chumvi bado unaogopa matusi tena ya ID fake mitandaoni.kama unaandika vitu vya maana,mtu akikutukana ama kukukwaza siumpotezee au kama imekuuma sana unamripoti tu ale ban shida iko wapi.Ukitaka usitukanwe andika vitu vinavyoeleweka.
Majuz wakati natoka mkoa naelekea dar kwenye sit yangu nilikaa na Mzee mmoja .
Wakati tunapiga story mbili tatu tukajikuta tumeingia kwenye Jamiiforums .Mzee akasema naye ni member wa Jamiiforums na anapenda sana michango na hoja fikirishi za Mshana.
Wakati anasema hivyo tulikuwa tupo msata tukacheka sana na Safar ikawa inaendelea...
Sikujua kama Jamiiforums ina member wazee nilijua humu tupo vijana tu.Mzee akaendelea napenda sana kuchangia hoja mbali mbali lakin naogopa kuvunjiwa heshima yangu na watoto wadogo .....unaweza ukatoa hoja yako ukaishia kutukanwa maana hatujuani humu.
Nilicho gundua ni kwamba humu Jamiiforums kumbe wapo watu wazima sana kwa hiyo tusipende kutukana maana waweza mtukana baba yako au mama yako bila ya kujua ukaishia kupata laana..tu
Na hatuhitaji kujuana we need to openly without kuvunja sheriaNa ndio uzuri wa jf huo... where we dare to talk openly....
Pamoja na kumnanga koote naye ni member basi yu kichwa majiKama ni hilo basi usiseme umegundua mkuu maana hilo liko wazi tangu siku nyingi na tunafahamu kwamba humu tupo mixture ya watu wengi, rika zote, jinsia zote mpaka akina james delicious wapo humu, watu wa hadhi zote mpaka pogba yupo humu, sadly enough mpaka Daudi mwana wa Bashite naye yumo humu.
Wala huhitaji kumbanisha,unajua tu akili yake ina walakini..utu uzima ni pamoja na kuwa na elimu jamii kama angekuwa mjukuu wako ina maana ungemchinja!si ungejua tu hii ni hasara ya familia.Mi nashangaa hilo utaskia wazee wa humu wanalalamika eti wameacha kuchangia kama zamani sababu ya matusi,sasa unajiuliza inakuaje mzee wa makamo na kula kwako kote chumvi bado unaogopa matusi tena ya ID fake mitandaoni.kama unaandika vitu vya maana,mtu akikutukana siunamripoti tu ale ban shida iko wapi.
Sasa mzee inamaana katika maisha yako yote hujawahi kutukanwa au kuwa challenged kiasi kuwa matusi ya mtandaoni yakufanye ujitoe Jamiiforums?,wazee mmekuwa walalamishi sana.sawa kabisa nakumbuka kabla ya uchaguzi 2015 Bwana Lowasa hajakuja Chadema nilitoa post iliyosema MNAONAJE TUKIMCHAGUA LOWASA AWE RAIS WETU nitukanwa na vijana wengine wakaniambia nafikilia makalio
Haya Bwana Lowasa akaja ukawa wale wote walionituka wakawa upande wa mawazo yangu ndo mana niko makini sana na vijana au wazee hatuitajiki humu nijitoe
Weeeeee..... ukaguzi uko palepale...