Niliapa kutosimulia

Niliapa kutosimulia

Yaani hapo umetapeliwa laivu. Na huyo Julius aliyekushauri uchukue siti namba kwenye basi si ajabu naye yumo kwenye mchezo...! Huyo Prisca wala si mke wa Kalinga. Pole lakini, kuna somo limejifunza hapo.

Ila mimi siku zote mwanamke mzuri akiwa rahisi sana kumpata huwa nashtuka...!
 
hata mie nahisi hivyo mkuu, tatizo ni ule ushahidi wa picha..ulinifanya nikashindwa kwenda polisi wala kusema chochote ..coz unaweza kutumika kusambaratisha ndoa mzee

mkuu huu ni utapeli hatari sana. KUMBE NA WEWE UNAMKE BANA.
 
kaka aliyekutapeli ni julius na si mwingine mana yeye ndie aliyekuunganisha na huyo malaya bila wewe kujua.

Exactly my sentiments. Yaani kikulacho ki nguoni mwako. Julius alijua unakwenda Iringa kufanya nini na ulikuwa na pesa nyingi. Huyo Prisca alishakata tiketi yake kabla yako, it was not a coincidence. Mwanamke gani hujamtongoza, anajileta mwenyewe hotelini? Aliona uko slow sana kwenye kutongoza na mtego wao ungechelewa, ndio maana demu akajitoa ufahamu tu. Nani alipiga hizo picha zenu mkiwa hotelini?

Mmmmmmm! Subiri kwanza, hii story yako ni ya kweli au ya kutunga kaka?
 
kaka aliyekutapeli ni julius na si mwingine mana yeye ndie aliyekuunganisha na huyo malaya bila wewe kujua.

mmmh..mkuu julius mpaka sasa ni mtu wangu wa karibu sana na amekuwa akinibana sana nimpe feedback ya iyo project ya IRINGA but mi nachuna tu..kimsingi ni mtu wa totoz sana maybe thats why alinishauri kufanya ivyo but unanishauri ni mface na hili swala?? kumbuka miaka miwili imepita
 
Exactly my sentiments. Yaani kikulacho ki nguoni mwako. Julius alijua unakwenda Iringa kufanya nini na ulikuwa na pesa nyingi. Huyo Prisca alishakata tiketi yake kabla yako, it was not a coincidence. Mwanamke gani hujamtongoza, anajileta mwenyewe hotelini? Aliona uko slow sana kwenye kutongoza na mtego wao ungechelewa, ndio maana demu akajitoa ufahamu tu. Nani alipiga hizo picha zenu mkiwa hotelini?

Mmmmmmm! Subiri kwanza, hii story yako ni ya kweli au ya kutunga kaka?

HIKI ni kisa cha ukweli mkuu, mpaka leo nimeshindwa kung'amua hizo picha zilipigwaje? lakini niki assess mazingira ya wilolesi hotel coz ni cottage, inawezekana walitumia dirisha
 
Hahaaaaa!dili la kalinga na prisca limetiki,ukute hata sio mke wake lol,mjini chuo kikuu poleeeee
 
mmmh..mkuu julius mpaka sasa ni mtu wangu wa karibu sana na amekuwa akinibana sana nimpe feedback ya iyo project ya IRINGA but mi nachuna tu..kimsingi ni mtu wa totoz sana maybe thats why alinishauri kufanya ivyo but unanishauri ni mface na hili swala?? kumbuka miaka miwili imepita

Kama ni mtu wako wa karibu kwanini usimsimulie yaliyokusibu huko Iringa? Au mwenzetu Shs. milioni 10 kwako si kitu? Halafu kwenye stori yako inaonyesha ulipiga bao moja tu...Sasa Shs milioni 10 ziende kwa bao 1 tu? Na hata huyo taxi driver aliyeitwa na Kalinga alikuwa kapangwa akutishe...Ndio maana akawa anakutisha kwenye taxi !
 
story ya uongo hii, umebugi uliposema eti hukusave namba yake alipokutumia vocha kwa simu, hapo ndo ulipoharibu, kwa jinsi ulivyomsifia eti usisave namba? wapi wewe!
 
story ya uongo hii, umebugi uliposema eti hukusave namba yake alipokutumia vocha kwa simu, hapo ndo ulipoharibu, kwa jinsi ulivyomsifia eti usisave namba? wapi wewe!

ati eeh
 
Back
Top Bottom