black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,243
Unapigwa tu,,,, Cha Moto inategemea mtumiaji ana uharaka kias gani katika kushoot na mpiga wa pigo la karate ana uharaka kias gani na umbali ganiVipi mtu akija na cha moto?
Unapigwa tu,,,, Cha Moto inategemea mtumiaji ana uharaka kias gani katika kushoot na mpiga wa pigo la karate ana uharaka kias gani na umbali ganiVipi mtu akija na cha moto?
Ndio maaana ikaitwa Elimu kutoka biggner mpaka 10dan (degree)Nilitokea kupenda martial arts kwasababu ya nidhamu binafsi unayojijengea kutokana na Mafunzo, ila wengi sana leo hii wamebadili sana kusudi la kujifunza hii michezo na kuitumia kama sehemu ya kujisifia ili waogopeke, wizi na ukabaji.
Unakutana na mwalimu anaweza practically ila principles hazijui na haoni tatizo kumfundisha mtu yeyote.
True martial artist hawezi kubali kiurahisi kukufundisha moja kwa moja.
Ulimwengu umebadilika, ukitaka kufaidi hii michezo vizuri soma sana na vitabu vya zamani zinazoelezea falsafa ya martial arts kiujumla na vitabu vinavyoelezea chimbuko la michezo hiyo utagundua martial arts ni zaidi ya kupigana physically.
Sent from my E2333 using JamiiForums mobile app
Mkuu kumbuka mi sijafundisha karate za mtaani ,master wangu alikuwa ni mjomba wangu na yeye ndo alikuwa ananielekeza ,nimeivaa Sana kwenye huo mchezo,na vigumu sana mimi kuhombana na mtu na ikitokea huwa naonya tu maana nikipiga madhara yake ni makubwa sana na mjomba alifundisha kuvunja inapotekea mimi kuzindiwa na hapo ndo kuna ukali wangu ila kuweka mwili sawa na kutafuta nguvu za mkono na huwa push up ndo ilisababisha usugu huu.nimejifunza karate na hakuna nisichokijua ndo ya huo mchezo
mkuu mchezo ulioexpertise sio mgumu wala hauko complicated.....mimi nacheza wing chun kiukweli mchezo ni mtamu sana......wala huwezi linganisha na mingi katika upande huu wa martial arts....jaribu kuingia ndani utafute kitabu cha siu lim tao...hata amazon kinauzwa ndo utajua hujui...Narudia kusema kwa aina ya mchezo huu nilivyofundishwa kunipiga ni vigumu Sana,Kama kuna makamanda tena mp mwaka 2017 Serengeti baada ya kunisimamisha kwa kosa ya kijinga nikakataa kushuka kwenye gari wakaja kunitoa walikuwa 4 mp wana habari yangu popote walipo
naweza kujifunzia wapi mkuu!?Nakushauri jifunze self defense mwamba najivunia naweza enda sehemu yeyote na muda wowote uje na lifimbo,panga,shoka nakuvibua tu nacheza shotokan brown belt now
pa kujifunzia wapi hayo yote mkuu.!?...We jamaa nina wasi wasi hata kata ya kwanza tu HEIAN SHODAN huimalizi ,achilia mbali haujui hata kila stance ina maanisha nini na kwa kila kata unatoa KIAI kwenye position zipi na wapi ubane pumzi.
Yaani kiujumla haujui body conditions za martial artists ,na wewe si KARATEKA.
Jamaa ana mikwara mizitoKWA UANDISHI WAKO TU UNAONESHA HUJUI LOLOTE.TENA KILAZA ILA UNASIMULIWA SIMULIWA NA KUJA KUJAZA SERVER HAPA KUTUSUMBUA WENYE AKILI.
Jamaa ana mikwara mizito
Unapigwa tu,,,, Cha Moto inategemea mtumiaji ana uharaka kias gani katika kushoot na mpiga wa pigo la karate ana uharaka kias gani na umbali gani
Huyo usiulize hadi kwenye kuchaMjomba nae ana usugu kwenye vidole?.
Umeshatuambia hakuna usichokijua juu ya karate, unachoshauriwa ni kuondoa sugu kwa kuvaa gloves au piga push ups zako juu ya sponge ili usitengeneze usugu. Vingine unavyoeleza ni mbwembwe.Mkuu kumbuka mi sijafundisha karate za mtaani ,master wangu alikuwa ni mjomba wangu na yeye ndo alikuwa ananielekeza ,nimeivaa Sana kwenye huo mchezo,na vigumu sana mimi kuhombana na mtu na ikitokea huwa naonya tu maana nikipiga madhara yake ni makubwa sana na mjomba alifundisha kuvunja inapotekea mimi kuzindiwa na hapo ndo kuna ukali wangu ila kuweka mwili sawa na kutafuta nguvu za mkono na huwa push up ndo ilisababisha usugu huu.nimejifunza karate na hakuna nisichokijua ndo ya huo mchezo
mkuu si maigizo Bali unaweza ukawa na silaha yako ukapigwa na watu wakasepa nayoMOVIE ZA KIHINDI ZIMEKUHARIBU SANA. HALAFU KWA AKILI YAKO YA UJAZO WA KIJIKO CHA CHAI UMESHINDWA TOFAUTISHA UHALISIA NA MAIGIZO.
Hata sizijui hizo mambo aiseee za movieMovie za kihindi zimekuharibu sana.