Nilialika ukoo mzima kwenye graduation nikapata zerro

Nilialika ukoo mzima kwenye graduation nikapata zerro

Kuna ulichojifunza pia si haba. Hesabu idadi ya waliokupa pole na kukufariji kati ya wale uliowaalika utakuwa umewajua ndugu wa kweli.
 
Still kuna jambo muhimu lilifanyika, kukutana na kufurahi na ndugu kulitengeneza maana katika maisha yenu

Wasiwasi wangu hilo shazi lililikwa lilikuja na ndumbwa! Sio bure sherehe yote Huyo then utoke na kiduara!!!! Huko kwenye jamii yenu mlowahi kuvaa joho mpo wangapi! Jifunze binti yangu kuwa mambo mazuri hayatangazwi!!! Tafuta mume sasa ma mdogo , mkole tayari huo
 
Wasiwasi wangu hilo shazi lililikwa lilikuja na ndumbwa! Sio bure sherehe yote Huyo then utoke na kiduara!!!! Huko kwenye jamii yenu mlowahi kuvaa joho mpo wangapi! Jifunze binti yangu kuwa mambo mazuri hayatangazwi!!! Tafuta mume sasa ma mdogo , mkole tayari huo


Huu ujumbe ulilenga kuuleta kwangu au mleta mada!?
 
ndio maana unapenda ngoma na jina unajiita mdundo ngoma
 
Wakati namaliza form four baba aliwaita wabena wenzangu pamoja na ngoma kutoka kwa mama yangu msafwa.walikula wakacheza na kunywa hadi usiku wa manane.moyoni niliiona baba anafurahia nini wakati sijawahi kuwepo hata kwenye top 30,matokeo yalivyotoka nilipiga miswaki kote.baba na wazazi wangu mnihurumie
Kama maelezo hayo ni kweli yalikukuta, nikupongeze kwa kuwa mkweli na halisi kwa yaliyokukuta. Pole sana na nina imani wazazi nao wamekusamehe.

Huu ujumbe uwe ni somo kwa wale wazazi wanaofanya GRADUATION za watoto wao kuwa sehemu ya kuonyesha umaarufu wao kwa marafiki zao pamoja na ndugu, badala ya kutumia nafasi hiyo adimu kukaa na mlengwa (mhitimu) na kutafakari maisha yake wakati na baada ya mtihani wa kuhitimu.
 
Ndo mana ...ulipata zero ....bado unaendelea kutangaza humu....khaaaaa
 
Mimi graduation zangu zote sikualika hata mtu mmoja ila kote nilimamisha vijiti . O level na a level..
Ahimidiwe muumba
vipanga hatupendi sherehe
ila vilaza mpaka keki yenye majina
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Resit usifanye sherehe utatusua mkuu
ndugu wengine walikuja kukutia nuksi tu
 
Sasa mbena na kusoma wapi na wapi?
Akina Nchimbi walisoma on behalf ya kabila zima. Nyie wengine uzeni maduka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom