Nilialika ukoo mzima kwenye graduation nikapata zerro

Nilialika ukoo mzima kwenye graduation nikapata zerro

mdundo ngoma sana

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
1,002
Reaction score
956
Wakati namaliza form four baba aliwaita wenzangu pamoja na ngoma kutoka kwa mama yangu walikula wakacheza na kunywa hadi usiku wa manane, moyoni niliona baba anafurahia nini wakati sijawahi kuwepo hata kwenye top 30, matokeo yalivyotoka nilipiga miswaki kote, baba na wazazi wangu mnihurumie.
 
Wakati namaliza form four baba aliwaita wabena wenzangu pamoja na ngoma kutoka kwa mama yangu msafwa.walikula wakacheza na kunywa hadi usiku wa manane.moyoni niliiona baba anafurahia nini wakati sijawahi kuwepo hata kwenye top 30,matokeo yalivyotoka nilipiga miswaki kote.baba na wazazi wangu mnihurumie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti ata kwa top30 sjawahi kuwepo!! Ilikua lini hiyo mkuu
 
Nimeamini wewe ni zerro kweli
Wakati namaliza form four baba aliwaita wabena wenzangu pamoja na ngoma kutoka kwa mama yangu msafwa.walikula wakacheza na kunywa hadi usiku wa manane.moyoni niliiona baba anafurahia nini wakati sijawahi kuwepo hata kwenye top 30,matokeo yalivyotoka nilipiga miswaki kote.baba na wazazi wangu mnihurumie
 
Kama baba asingekuja na ndugu zako hao,ungepata hata D mbili!

Ulichokua hukijui ni kwamba ulivhezewa ww.
 
Vipi baada ya kufeli, ulichukua hatua gani kuendelea na masomo au ulikata tamaa
 
[emoji23] [emoji23] daa. Kweli watu mna historia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom