Nilialika ukoo mzima kwenye graduation nikapata zerro

Nilialika ukoo mzima kwenye graduation nikapata zerro

haaaahaaaaahaaaa....!!!!! uwiiiiiiiiiihhhhh mweehh jesus na yesu kristo kunawtu mmerogwa
 
Kufeli shule sio kufeli maisha, kaza buti kisawa sawa utatoka!
 
1. Mh mpenzi, usipende kutangaza tukio bali tangaza matokeo ya tukio.
2. Baba anakupenda hata kama aliona utapata zero ni hulka ya mzazi kumfurahia mwanawe katika hali zote.
3. Jitahidi kufeli mtihani sio maisha.
4. Mungu anakupenda sana. Kupitia kufeli huko anakufundisha kitu.
5. Pole na furahi wakati wote.
 
Wakati namaliza form four baba aliwaita wabena wenzangu pamoja na ngoma kutoka kwa mama yangu msafwa.walikula wakacheza na kunywa hadi usiku wa manane.moyoni niliiona baba anafurahia nini wakati sijawahi kuwepo hata kwenye top 30,matokeo yalivyotoka nilipiga miswaki kote.baba na wazazi wangu mnihurumie
watu mna mbwebwe sana chekeche mpaka wanashonewa majoo utadhani wanakuwa awaded phD
but usikate tamaa pambana. sherekea baada ya vita kuisha siyo kabla ya vita
 
Uli prove earth as a sphere, Zero, sifuri, duara, ulitaga hahahah noma sana
 
watu mna mbwebwe sana chekeche mpaka wanashonewa majoo utadhani wanakuwa awaded phD
but usikate tamaa pambana. sherekea baada ya vita kuisha siyo kabla ya vita
lakini amejitahidi sana darasani mpaka ameweza kuanzisha thread jf!! mleta mada kaaply datastar university ukasome bachelor in jamiiforum thread and posting
 
Division zero nini bana? Watu wana division zero leo ni viongozi wa vyama vya siasa wanafaudu mamilioni ya ruzuku na kuongoza akili kubwa. Kazana. Zero siyo kitambulisho cha kushindwa maisha!
 
Still kuna jambo muhimu lilifanyika, kukutana na kufurahi na ndugu kulitengeneza maana katika maisha yenu
 
Wakati namaliza form four baba aliwaita wabena wenzangu pamoja na ngoma kutoka kwa mama yangu msafwa.walikula wakacheza na kunywa hadi usiku wa manane.moyoni niliiona baba anafurahia nini wakati sijawahi kuwepo hata kwenye top 30,matokeo yalivyotoka nilipiga miswaki kote.baba na wazazi wangu mnihurumie
Umenchekesha sn haki ya baba!!.
 
Ha ha ha maisha yanambwembwe zake pole mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom