Nikupe Siri kuhusu UKIMWI

Acha kupotosha watu, HIV rapid test bioline na Unigold zilizopo nchini hazipimi uwingi wa virusi bali hupima Ab-Ag reaction ambazo ni chemical zinazalishwa bada tu yamtu kupata mambukizi.

Hivyo si kweli virusi vikiwa chini kwamba hivi vipimo vitakuwa havisomi.
Ila unachochonganya labda kuna vipimo vya uwingi wa virusi PCR. Na ndio hutumika kumonitor wagonjwa hao mahospitalin hasa kama dawa zinawasaidia, sasa bas hivi sio rapid test kwamba utapata pharmacy au utapima haraka haraka tu.
 
Note: matumizi sahh ya ARV hupunguza kasi ya mambukizi.
Yan mtu anae tumia ARV kwa sabb viral load huwa chini sana sio rahisi kuambukiza tofaut na ambae hatumii dawa viral load ziko juu sana.
 

Labda hapa point niliyoichukua ni kwamba
hata vipimo vya HIV sometimes siyo reliable.kama mtu anatumia vifubaza virusi na vipimo navyo vinafubazwa vilevile ;maana virusi havitaonekana.kimsingi hapata unatuambia majibu reliable ni yale yatakayoonyesha mtu ni Postive

Hivyo "dont trust negative results"

sina ujasiri sana wa kukoment zaidi kwa sababu sijapima hivyo bado kujua status yangu
 
HIV wakiingia mwilini mwa mtu hata atumie ARV zaidi ya miezi sita mtu huyo akipima ataonekana ni Positive tu
Mbona kama mnatuyumbisha sisi tusiojua wapi ni wapi huyu anasema huv na mwingine anakuja kupinga tumuamini nani jmn.
 
Wadudu wanaoshambulia kinga ndiyo wanaoambukizwa mkuu.
 
Hivo vidonge vya pep vinavizuia maambukizi ya ukiwmi vinapatiakanaaa wapi na ni sh ngap mbona sjawahi kuskia inamaana umefanywa siri ili iweje kwamba watu tukijua tutafanya ngono zembe kwa kutegemea kemeza dozi ya pep naomba majibu hapa.
 
Mkuu sasa kwann usitupe hii elimu adimu hapahapa hivi kila mtu akisema amutafute utatafutwa mpaka pm yako utailimbia au umeandaa group la WhatsApp tuje kama sio basi jibu tu hapahapa mkuu tunaomba lakin.
 
Wadudu wanaoshambulia kinga ndiyo wanaoambukizwa mkuu.
huyo mdudu lazima ajulikane ni wa ugonjwa gani kama TB,EBOLA nk ndio maana ukikaa karibu na mgonjwa wa TB lazima ujihadhari maana kuna wadudu wanaosababisha ugonjwa huo wanaambukiza kwa njia ya hewa ,na wakiingia kwenye mwili yako watasababisha kinga yako kupungua hivyo kupata hatari ya kupata ungonjwa huo
 
Ushahidi ua research ndio tunazitambua lakini haya maazo yako binafsi hayawezi kuwa msaada kwa yeyote yule...
 
Acha kupotesha watu mkuu ,si kweli kwamba mtu akitumia dawa zaid ya miezi sita akipimwa anakutwa negative

Yaani ni big lies tena sisi watu wa afya itabidi tukuchkulie hatua kabisa kwa upotoshaji huu


Kinachopimwa kwenye vipimo vyetu hivi vya bioline na unigold ni antibodies specific for HIV na sio HIV virus mwenyewe

Licha ya vidudu kufubazwa na dawa bado antibodies zinakuwepo za kutosha kwenye mzunguko wa damu kuweza kusoma kwenye hivy vipimo nilivyotaja hapo hu

Ufuasi mzur wa dawa haumaanishi kwamba ukipimwa itasoma negative bali ukipima Viral load test ndo inasoma un detectable range
 
Umedanganywa na huyu jamaa ukadanganyika daah aisee

Kweli uelewa wa wengi ni mdogo sna kuhusu HIV
 
Mkuu what is HIV???. Kunavirus vinavyoshambila mfumo wa kinga ya mwili kiongozi. Hivi virus ndiyo vinanyo ambukizwa. Hayo magonjwa uliyoyataja kam TB huweza kuuvamia mwili kwa wepesi baada ya kinga ya mwili kudhofishwa na virusi hivyo. Au unataka ubishi tu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…