Nikupe Siri kuhusu UKIMWI

Nikupe Siri kuhusu UKIMWI

Watu wengi licha ya kusoma na kufika level mbali mbali za elimu ambazo si za afya, tuna ule uelewa wa juu juu tu kuhusu mambo ya afya na hasa swala la maamnukizi ya UKIMWI.

wengi tunajua ni kutumia kinga tu.. Ambazo pia unakuta hazitumiwi kwa usahihi. HAPA NIONGELEE KUHUSU NAMNA GANI UTAAMBUKIZWA AU HAUTAAMBUKIZWA NA MTU MWENYE HIV/AIDS

unakuta mtu katembea na dem au jamaa ambaye baadae anashtuka kujua anatumia ARV 's halafu anapaniki na kuanza kulia.. Nikupe siri kwamba endapo utatembea na mtu ambaye ni mwathirika na kwa makusudi anatumia dawa na hajakwambia.. Endapo mtu huyo katumia ARV zaidi ya miez 6 hana uwezo wa kukuambukiza UKIMWI.

Niliona uzi wa mtu mmoja aliyetoa ushuhuda eti aliingia guest house na dada mmoja ambaye alizaliwa na maambukizi na akamkuta na HIV kwa kumpima,...Sidhan kama ni kweli sababu mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative sababu ARV zinafubaza wadudu.. ndio maana kuna Nabii mmoja alijinasibu kuponya watu UKIMWI na anawaambie wakapime nje walete majibu. Akijua kabisa hawa watu. Ni watumiaji wa ARV muda mrefu.

Ni rahisi kupata UKIMWI kwa mtu asiyejua kama ameathirika na ukapiga peku.. Kuliko aliyeanza matumizi ya ARV

Hata wenye tabia ya kutembea na vipimo msije mkajipa uhakika wa kuwapima na kutotumia kinga kisa umekuta yuko negative siku hyo...

NB pima, kisha tumia condom.
Acha kupotosha watu, HIV rapid test bioline na Unigold zilizopo nchini hazipimi uwingi wa virusi bali hupima Ab-Ag reaction ambazo ni chemical zinazalishwa bada tu yamtu kupata mambukizi.

Hivyo si kweli virusi vikiwa chini kwamba hivi vipimo vitakuwa havisomi.
Ila unachochonganya labda kuna vipimo vya uwingi wa virusi PCR. Na ndio hutumika kumonitor wagonjwa hao mahospitalin hasa kama dawa zinawasaidia, sasa bas hivi sio rapid test kwamba utapata pharmacy au utapima haraka haraka tu.
 
Acha kuwapumbaza watu na kama umegegedwa na mtu muathirika subiri baada ya mwezi ukapime uridie kupima tena baada ya miezi mitatu asikudanganye ety ametumia ARV kwa muda mrefu.Haina uhusiano wowote na kuzuia maambukizi ukichubuka tu unao.Ila mtumiaji wa mudamrefu anayefwata masharti anaweza kuonekana negative lakini hai mzuii kuambukiza.Pia kuna vidonge vya PEP hivyo hutumika kuzuia maambukizi kama unauhakika damu yako imegusana na muathirika dose hii inatakiwa uanze haraka ndani ya masaa 72 baada ya kupata maambukizi,hii dose hutumiwa kwa siku 28 hadi 30 huzuia kabisa maambukizi.Had I muda njia nzuri ya kuepuka maambukizi ni kutumia condom kwa ufasaha hakuna janja janja ety kutumia vilainishi au kipimana kabla hamja duu hizo test kit zenyewe haziwezi kudetect virus kwa mtumiaji mzuri wa caffeine au ARV kwa muda mrefu.
Note: matumizi sahh ya ARV hupunguza kasi ya mambukizi.
Yan mtu anae tumia ARV kwa sabb viral load huwa chini sana sio rahisi kuambukiza tofaut na ambae hatumii dawa viral load ziko juu sana.
 
Watu wengi licha ya kusoma na kufika level mbali mbali za elimu ambazo si za afya, tuna ule uelewa wa juu juu tu kuhusu mambo ya afya na hasa swala la maamnukizi ya UKIMWI.

wengi tunajua ni kutumia kinga tu.. Ambazo pia unakuta hazitumiwi kwa usahihi. HAPA NIONGELEE KUHUSU NAMNA GANI UTAAMBUKIZWA AU HAUTAAMBUKIZWA NA MTU MWENYE HIV/AIDS

unakuta mtu katembea na dem au jamaa ambaye baadae anashtuka kujua anatumia ARV 's halafu anapaniki na kuanza kulia.. Nikupe siri kwamba endapo utatembea na mtu ambaye ni mwathirika na kwa makusudi anatumia dawa na hajakwambia.. Endapo mtu huyo katumia ARV zaidi ya miez 6 hana uwezo wa kukuambukiza UKIMWI.

Niliona uzi wa mtu mmoja aliyetoa ushuhuda eti aliingia guest house na dada mmoja ambaye alizaliwa na maambukizi na akamkuta na HIV kwa kumpima,...Sidhan kama ni kweli sababu mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative sababu ARV zinafubaza wadudu.. ndio maana kuna Nabii mmoja alijinasibu kuponya watu UKIMWI na anawaambie wakapime nje walete majibu. Akijua kabisa hawa watu. Ni watumiaji wa ARV muda mrefu.

Ni rahisi kupata UKIMWI kwa mtu asiyejua kama ameathirika na ukapiga peku.. Kuliko aliyeanza matumizi ya ARV

Hata wenye tabia ya kutembea na vipimo msije mkajipa uhakika wa kuwapima na kutotumia kinga kisa umekuta yuko negative siku hyo...

NB pima, kisha tumia condom.

Labda hapa point niliyoichukua ni kwamba
hata vipimo vya HIV sometimes siyo reliable.kama mtu anatumia vifubaza virusi na vipimo navyo vinafubazwa vilevile ;maana virusi havitaonekana.kimsingi hapata unatuambia majibu reliable ni yale yatakayoonyesha mtu ni Postive

Hivyo "dont trust negative results"

sina ujasiri sana wa kukoment zaidi kwa sababu sijapima hivyo bado kujua status yangu
 
HIV wakiingia mwilini mwa mtu hata atumie ARV zaidi ya miezi sita mtu huyo akipima ataonekana ni Positive tu
Mbona kama mnatuyumbisha sisi tusiojua wapi ni wapi huyu anasema huv na mwingine anakuja kupinga tumuamini nani jmn.
 
ukimwi ni upungu wa kinga,upungufu wa kinga sio ugonjwa so hauambukizi hata siku moja ,magonjwa kama TB,ebola,gonorrhea,kaswende nk ndio yanaambukiza ila strength ya kinga (immunity) haiambukizwi.tumedanganywa sana kuhusu hii dhana ya kufikirika ya H.I.V
Wadudu wanaoshambulia kinga ndiyo wanaoambukizwa mkuu.
 
Acha kuwapumbaza watu na kama umegegedwa na mtu muathirika subiri baada ya mwezi ukapime uridie kupima tena baada ya miezi mitatu asikudanganye ety ametumia ARV kwa muda mrefu.Haina uhusiano wowote na kuzuia maambukizi ukichubuka tu unao.Ila mtumiaji wa mudamrefu anayefwata masharti anaweza kuonekana negative lakini hai mzuii kuambukiza.Pia kuna vidonge vya PEP hivyo hutumika kuzuia maambukizi kama unauhakika damu yako imegusana na muathirika dose hii inatakiwa uanze haraka ndani ya masaa 72 baada ya kupata maambukizi,hii dose hutumiwa kwa siku 28 hadi 30 huzuia kabisa maambukizi.Had I muda njia nzuri ya kuepuka maambukizi ni kutumia condom kwa ufasaha hakuna janja janja ety kutumia vilainishi au kipimana kabla hamja duu hizo test kit zenyewe haziwezi kudetect virus kwa mtumiaji mzuri wa caffeine au ARV kwa muda mrefu.
Hivo vidonge vya pep vinavizuia maambukizi ya ukiwmi vinapatiakanaaa wapi na ni sh ngap mbona sjawahi kuskia inamaana umefanywa siri ili iweje kwamba watu tukijua tutafanya ngono zembe kwa kutegemea kemeza dozi ya pep naomba majibu hapa.
 
Mkuu sasa kwann usitupe hii elimu adimu hapahapa hivi kila mtu akisema amutafute utatafutwa mpaka pm yako utailimbia au umeandaa group la WhatsApp tuje kama sio basi jibu tu hapahapa mkuu tunaomba lakin.
Sidhani kama wewe ni mtumishi wa afya, na kama ni mtumishi wa afya basi wagonjwa wetu wanapata tabu sana !

Bila shaka hujui maana ya kufubaza VVU na hujui maana ya hiyo NEGATIVE inayoonekana baadaya ya mtu kupima Viral load baada ya kutumia dawa ndani ya miezi 6.

Kwanza sio kila mmoja anaetumia kwa miezi 6 VVU itakuwa TARGET NOT DETECTED yaani kufubaza VVU kwa kiwango cha Juu bali kwa wale tu waliotumia vizuri kwa kufata masharti. Kwa maana hiyo kuna waliotumia dawa hata miaka kadhaa lakini wana virus vingi sana

Hii hutokana na kutozingatia matumizi mfano kunywa pombe, kutokunywa kwa muda elekezi, kufanya ngono na kupata maambukizi mapya n.k

Kile kipimo hakionyeshi NEGATIVE bali kinaonyesha idadi ya VIRUS ambapo kwa mtu alie tumia vizuri anatakiwa awe na PCs 0 hadi 20 na juu ya hapo inasomeka kama sio mtumiaji mzuri.

Kuhusu kuambukiza au kutoambukiza iko pale pale kutegemeana na mazingira ya kufanya sex. Usidanganyike maambukizi yapo na wote wanaotumia na wasiotumia dawa wanaweza kuambukiza.

Kwa elimu zaidi nitafute!
 
Wadudu wanaoshambulia kinga ndiyo wanaoambukizwa mkuu.
huyo mdudu lazima ajulikane ni wa ugonjwa gani kama TB,EBOLA nk ndio maana ukikaa karibu na mgonjwa wa TB lazima ujihadhari maana kuna wadudu wanaosababisha ugonjwa huo wanaambukiza kwa njia ya hewa ,na wakiingia kwenye mwili yako watasababisha kinga yako kupungua hivyo kupata hatari ya kupata ungonjwa huo
 
Ushahidi ua research ndio tunazitambua lakini haya maazo yako binafsi hayawezi kuwa msaada kwa yeyote yule...
 
Acha kupotesha watu mkuu ,si kweli kwamba mtu akitumia dawa zaid ya miezi sita akipimwa anakutwa negative

Yaani ni big lies tena sisi watu wa afya itabidi tukuchkulie hatua kabisa kwa upotoshaji huu


Kinachopimwa kwenye vipimo vyetu hivi vya bioline na unigold ni antibodies specific for HIV na sio HIV virus mwenyewe

Licha ya vidudu kufubazwa na dawa bado antibodies zinakuwepo za kutosha kwenye mzunguko wa damu kuweza kusoma kwenye hivy vipimo nilivyotaja hapo hu

Ufuasi mzur wa dawa haumaanishi kwamba ukipimwa itasoma negative bali ukipima Viral load test ndo inasoma un detectable range
 
Thanks kwa maelezo mazuri.Niliwahi sikia ARV zinafubaza virus.Niliambiwa hata ukipata HIV leo ukaanza kutumia dozi za ARV unapona coz virus wanakua hawaja pata sehem ya kujificha.Nlikua sijui ishu ya mwenye HIV kutumia ARV ukimpima utamkuta negative.So hata ukimpima ukakuta Yuko fresh ukagonga dry Pima tena ukikuta ipo anza dozi ya ARV ukienda kupima utakuta Huna ngoma!
Umedanganywa na huyu jamaa ukadanganyika daah aisee

Kweli uelewa wa wengi ni mdogo sna kuhusu HIV
 
huyo mdudu lazima ajulikane ni wa ugonjwa gani kama TB,EBOLA nk ndio maana ukikaa karibu na mgonjwa wa TB lazima ujihadhari maana kuna wadudu wanaosababisha ugonjwa huo wanaambukiza kwa njia ya hewa ,na wakiingia kwenye mwili yako watasababisha kinga yako kupungua hivyo kupata hatari ya kupata ungonjwa huo
Mkuu what is HIV???. Kunavirus vinavyoshambila mfumo wa kinga ya mwili kiongozi. Hivi virus ndiyo vinanyo ambukizwa. Hayo magonjwa uliyoyataja kam TB huweza kuuvamia mwili kwa wepesi baada ya kinga ya mwili kudhofishwa na virusi hivyo. Au unataka ubishi tu???
 
Back
Top Bottom