Nikupe Siri kuhusu UKIMWI

Nikupe Siri kuhusu UKIMWI

Acha kuwapumbaza watu na kama umegegedwa na mtu muathirika subiri baada ya mwezi ukapime uridie kupima tena baada ya miezi mitatu asikudanganye ety ametumia ARV kwa muda mrefu.Haina uhusiano wowote na kuzuia maambukizi ukichubuka tu unao.Ila mtumiaji wa mudamrefu anayefwata masharti anaweza kuonekana negative lakini hai mzuii kuambukiza.Pia kuna vidonge vya PEP hivyo hutumika kuzuia maambukizi kama unauhakika damu yako imegusana na muathirika dose hii inatakiwa uanze haraka ndani ya masaa 72 baada ya kupata maambukizi,hii dose hutumiwa kwa siku 28 hadi 30 huzuia kabisa maambukizi.Had I muda njia nzuri ya kuepuka maambukizi ni kutumia condom kwa ufasaha hakuna janja janja ety kutumia vilainishi au kipimana kabla hamja duu hizo test kit zenyewe haziwezi kudetect virus kwa mtumiaji mzuri wa caffeine au ARV kwa muda mrefu.
 
"mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative"
nimeishia hapo kusoma,nikarudi juu nikatia mkasi mpaka chini,nikaona haitoshi nikachora na masikio then nikaaandika "see me"
 
So mfano Mimi niko negative,nikaoa mke positive anatuma dawa,means sitapata maambukizi kabisa?
 
Sidhani kama wewe ni mtumishi wa afya, na kama ni mtumishi wa afya basi wagonjwa wetu wanapata tabu sana !

Bila shaka hujui maana ya kufubaza VVU na hujui maana ya hiyo NEGATIVE inayoonekana baadaya ya mtu kupima Viral load baada ya kutumia dawa ndani ya miezi 6.

Kwanza sio kila mmoja anaetumia kwa miezi 6 VVU itakuwa TARGET NOT DETECTED yaani kufubaza VVU kwa kiwango cha Juu bali kwa wale tu waliotumia vizuri kwa kufata masharti. Kwa maana hiyo kuna waliotumia dawa hata miaka kadhaa lakini wana virus vingi sana

Hii hutokana na kutozingatia matumizi mfano kunywa pombe, kutokunywa kwa muda elekezi, kufanya ngono na kupata maambukizi mapya n.k

Kile kipimo hakionyeshi NEGATIVE bali kinaonyesha idadi ya VIRUS ambapo kwa mtu alie tumia vizuri anatakiwa awe na PCs 0 hadi 20 na juu ya hapo inasomeka kama sio mtumiaji mzuri.

Kuhusu kuambukiza au kutoambukiza iko pale pale kutegemeana na mazingira ya kufanya sex. Usidanganyike maambukizi yapo na wote wanaotumia na wasiotumia dawa wanaweza kuambukiza.

Kwa elimu zaidi nitafute!
 
Thanks kwa maelezo mazuri.Niliwahi sikia ARV zinafubaza virus.Niliambiwa hata ukipata HIV leo ukaanza kutumia dozi za ARV unapona coz virus wanakua hawaja pata sehem ya kujificha.Nlikua sijui ishu ya mwenye HIV kutumia ARV ukimpima utamkuta negative.So hata ukimpima ukakuta Yuko fresh ukagonga dry Pima tena ukikuta ipo anza dozi ya ARV ukienda kupima utakuta Huna ngoma!
Duuh!!haya mapya sana
 
Thanks kwa maelezo mazuri.Niliwahi sikia ARV zinafubaza virus.Niliambiwa hata ukipata HIV leo ukaanza kutumia dozi za ARV unapona coz virus wanakua hawaja pata sehem ya kujificha.Nlikua sijui ishu ya mwenye HIV kutumia ARV ukimpima utamkuta negative.So hata ukimpima ukakuta Yuko fresh ukagonga dry Pima tena ukikuta ipo anza dozi ya ARV ukienda kupima utakuta Huna ngoma!
Mkuu rejea comment yangu hapo juu nimefafanua vizuri ,huyu jamaa muongo sana anawaadaa watu!
 
"mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative"
nimeishia hapo kusoma,nikarudi juu nikatia mkasi mpaka chini,nikaona haitoshi nikachora na masikio then nikaaandika "see me"
Hahahah
 
"mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative"
nimeishia hapo kusoma,nikarudi juu nikatia mkasi mpaka chini,nikaona haitoshi nikachora na masikio then nikaaandika "see me"
 
"mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative"
nimeishia hapo kusoma,nikarudi juu nikatia mkasi mpaka chini,nikaona haitoshi nikachora na masikio then nikaaandika "see me"
😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom