Nikupe Siri kuhusu UKIMWI

Nikupe Siri kuhusu UKIMWI

Endeleeni kudanganyana hapa.
Mwili ukishatengeneza Kinga dhidi ya virusi hiyo Kinga itakuwepo milele.
Kinachakuwa undetected Ni uwingi wa wadudu kwenye damu kwani replication rate inakuwa approx zero.

Pia Kuna five percent ya false positive na false negative kwenye majibu ya vipimo vyetu.
Hivyo Kuna asilimia tano wanatumia ARV wakati Ni negative na asilimia tano walikuwa denied ARV wakati Ni positive.
Kuna vipimo fake vilikuwepo miaka kadhaa.
Ndio maana mtu anapima Leo anaambiwa umeathirika anachanganyikiwa na kwenda kuombewa. Baada ya kuombewa anapima sehemu nyingine anaambiwa yuko negative. Hakuna miujiza hapo.

Tumieni Kinga kwa ufanisi. Ukimwi upo na Kuna watu dawa zinawagomea.
 
Hujaupata ndo maana unaona it's easy,ugonjwa wa UKIMWI initially unaanza kukuharibu psychology yako and mental disturbance ndo uje body/physical torture...worldwide mental diseases are difficult to cure,play safe fellow!!
 
Watu wengi licha ya kusoma na kufika level mbali mbali za elimu ambazo si za afya, tuna ule uelewa wa juu juu tu kuhusu mambo ya afya na hasa swala la maamnukizi ya UKIMWI.

wengi tunajua ni kutumia kinga tu.. Ambazo pia unakuta hazitumiwi kwa usahihi. HAPA NIONGELEE KUHUSU NAMNA GANI UTAAMBUKIZWA AU HAUTAAMBUKIZWA NA MTU MWENYE HIV/AIDS

unakuta mtu katembea na dem au jamaa ambaye baadae anashtuka kujua anatumia ARV 's halafu anapaniki na kuanza kulia.. Nikupe siri kwamba endapo utatembea na mtu ambaye ni mwathirika na kwa makusudi anatumia dawa na hajakwambia.. Endapo mtu huyo katumia ARV zaidi ya miez 6 hana uwezo wa kukuambukiza UKIMWI.

Niliona uzi wa mtu mmoja aliyetoa ushuhuda eti aliingia guest house na dada mmoja ambaye alizaliwa na maambukizi na akamkuta na HIV kwa kumpima,...Sidhan kama ni kweli sababu mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative sababu ARV zinafubaza wadudu.. ndio maana kuna Nabii mmoja alijinasibu kuponya watu UKIMWI na anawaambie wakapime nje walete majibu. Akijua kabisa hawa watu. Ni watumiaji wa ARV muda mrefu.

Ni rahisi kupata UKIMWI kwa mtu asiyejua kama ameathirika na ukapiga peku.. Kuliko aliyeanza matumizi ya ARV

Hata wenye tabia ya kutembea na vipimo msije mkajipa uhakika wa kuwapima na kutotumia kinga kisa umekuta yuko negative siku hyo...

NB pima, kisha tumia condom.
Acha ku mislead people
 
Hujaupata ndo maana unaona it's easy,ugonjwa wa UKIMWI initially unaanza kukuharibu psychology yako and mental disturbance ndo uje body/physical torture...worldwide mental diseases are difficult to cure,play safe fellow!!
Yote ayo utokea baada ya muda gani. ukishapata maambukiz!??
 
Sidhani kama wewe ni mtumishi wa afya, na kama ni mtumishi wa afya basi wagonjwa wetu wanapata tabu sana !

Bila shaka hujui maana ya kufubaza VVU na hujui maana ya hiyo NEGATIVE inayoonekana baadaya ya mtu kupima Viral load baada ya kutumia dawa ndani ya miezi 6.

Kwanza sio kila mmoja anaetumia kwa miezi 6 VVU itakuwa TARGET NOT DETECTED yaani kufubaza VVU kwa kiwango cha Juu bali kwa wale tu waliotumia vizuri kwa kufata masharti. Kwa maana hiyo kuna waliotumia dawa hata miaka kadhaa lakini wana virus vingi sana

Hii hutokana na kutozingatia matumizi mfano kunywa pombe, kutokunywa kwa muda elekezi, kufanya ngono na kupata maambukizi mapya n.k

Kile kipimo hakionyeshi NEGATIVE bali kinaonyesha idadi ya VIRUS ambapo kwa mtu alie tumia vizuri anatakiwa awe na PCs 0 hadi 20 na juu ya hapo inasomeka kama sio mtumiaji mzuri.

Kuhusu kuambukiza au kutoambukiza iko pale pale kutegemeana na mazingira ya kufanya sex. Usidanganyike maambukizi yapo na wote wanaotumia na wasiotumia dawa wanaweza kuambukiza.

Kwa elimu zaidi nitafute!
Kwani ni mda gani pendekezo ili virus kuonekana kwenye damu na vpmo!???
 
Inashangaza kidogo,MJOMBA wangu hana ukimwi lakini shangazi yangu ameathirika,na wanaishi pamoja.kinacho shangaza zaidi wanazaa!
 
Ukishaanza kumeza ARV akiri huwa zinakuja zenyewe tu,nenda ma hospitalin ukawaone watu wanavyosubiria ARV
 
viral load chini ya 50copie per mill ....ningumu kuambukiza ndomana kunakitu kinaitwa discordant pouple( yaani ni famili ambayo mwenza mmoja ameathirika na mwingine hajaathirika).....na hii inawezekana kumbuka kuna mpango wa 90 90 90 ...kuhusu huu ugonjwa
 
Back
Top Bottom