Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 326
Ok nimekupata,Sasa nitamtambuaje mwathirika anayetumia ARV?
10,000/= hiyo hapoUmpe sasa
Acha ku mislead peopleWatu wengi licha ya kusoma na kufika level mbali mbali za elimu ambazo si za afya, tuna ule uelewa wa juu juu tu kuhusu mambo ya afya na hasa swala la maamnukizi ya UKIMWI.
wengi tunajua ni kutumia kinga tu.. Ambazo pia unakuta hazitumiwi kwa usahihi. HAPA NIONGELEE KUHUSU NAMNA GANI UTAAMBUKIZWA AU HAUTAAMBUKIZWA NA MTU MWENYE HIV/AIDS
unakuta mtu katembea na dem au jamaa ambaye baadae anashtuka kujua anatumia ARV 's halafu anapaniki na kuanza kulia.. Nikupe siri kwamba endapo utatembea na mtu ambaye ni mwathirika na kwa makusudi anatumia dawa na hajakwambia.. Endapo mtu huyo katumia ARV zaidi ya miez 6 hana uwezo wa kukuambukiza UKIMWI.
Niliona uzi wa mtu mmoja aliyetoa ushuhuda eti aliingia guest house na dada mmoja ambaye alizaliwa na maambukizi na akamkuta na HIV kwa kumpima,...Sidhan kama ni kweli sababu mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative sababu ARV zinafubaza wadudu.. ndio maana kuna Nabii mmoja alijinasibu kuponya watu UKIMWI na anawaambie wakapime nje walete majibu. Akijua kabisa hawa watu. Ni watumiaji wa ARV muda mrefu.
Ni rahisi kupata UKIMWI kwa mtu asiyejua kama ameathirika na ukapiga peku.. Kuliko aliyeanza matumizi ya ARV
Hata wenye tabia ya kutembea na vipimo msije mkajipa uhakika wa kuwapima na kutotumia kinga kisa umekuta yuko negative siku hyo...
NB pima, kisha tumia condom.
Yote ayo utokea baada ya muda gani. ukishapata maambukiz!??Hujaupata ndo maana unaona it's easy,ugonjwa wa UKIMWI initially unaanza kukuharibu psychology yako and mental disturbance ndo uje body/physical torture...worldwide mental diseases are difficult to cure,play safe fellow!!
Kwani ni mda gani pendekezo ili virus kuonekana kwenye damu na vpmo!???Sidhani kama wewe ni mtumishi wa afya, na kama ni mtumishi wa afya basi wagonjwa wetu wanapata tabu sana !
Bila shaka hujui maana ya kufubaza VVU na hujui maana ya hiyo NEGATIVE inayoonekana baadaya ya mtu kupima Viral load baada ya kutumia dawa ndani ya miezi 6.
Kwanza sio kila mmoja anaetumia kwa miezi 6 VVU itakuwa TARGET NOT DETECTED yaani kufubaza VVU kwa kiwango cha Juu bali kwa wale tu waliotumia vizuri kwa kufata masharti. Kwa maana hiyo kuna waliotumia dawa hata miaka kadhaa lakini wana virus vingi sana
Hii hutokana na kutozingatia matumizi mfano kunywa pombe, kutokunywa kwa muda elekezi, kufanya ngono na kupata maambukizi mapya n.k
Kile kipimo hakionyeshi NEGATIVE bali kinaonyesha idadi ya VIRUS ambapo kwa mtu alie tumia vizuri anatakiwa awe na PCs 0 hadi 20 na juu ya hapo inasomeka kama sio mtumiaji mzuri.
Kuhusu kuambukiza au kutoambukiza iko pale pale kutegemeana na mazingira ya kufanya sex. Usidanganyike maambukizi yapo na wote wanaotumia na wasiotumia dawa wanaweza kuambukiza.
Kwa elimu zaidi nitafute!
Watu wanachangny kati ya HIV result na viral HIV copies, wanadanganyanaHIV wakiingia mwilini mwa mtu hata atumie ARV zaidi ya miezi sita mtu huyo akipima ataonekana ni Positive tu
Ushampa mshiko wake?!? Maana hii ni komenti ya 80 kasoroUzi huu ukifikisha comments 50 tu nakupa 10,000/= Kesh maana wabongo huwa hatupendi jumbe nzuri kama hizi

Nadhani hukunielewa vzr nilichokuwa namaanisha
Ushampa mshiko wake?!? Maana hii ni komenti ya 80 kasoro
Siku 4 zote ndipo comment ya 80Nadhani hukunielewa vzr nilichokuwa namaanisha
![]()
Toa maelezo tukueleweUzi huu ukifikisha comments 50 tu nakupa 10,000/= Kesh maana wabongo huwa hatupendi jumbe nzuri kama hizi
Toa maelezo tukuelewe