Nikupe pesa au nikufikishe kileleni?

Nikupe pesa au nikufikishe kileleni?

Aisee hakuna Kitu ninachofurahi kama kumfikisha mwanamke Kileleni....Yaani acha tuuuu hata iwe pea kiasi gani nitampa tuu napenda jinsi anavyokuwaga na sura flani na yale macho na maneno anayoongea mimi furaha teleee tuu wala sijali/wala sikumbuki kama kuna hela nimempa....Furaha yake ndo Pesa zangu...
Aisee tunatofautiana sana kwangu Mimi achague kimoja
 
Usijifanye unajua sana sawa.!! Mm sijamanisha huo msemo wenu, nimesema kuna watu na watu kama nilivyo andika nawala sijakosea ww kalili tu kama huwezi kusoma kama ilivyo andikwa acha kama ilivyo mm sijamanisha huo msemo wenu.
 
Usijifanye unajua sana sawa.!! Mm sijamanisha huo msemo wenu, nimesema kuna watu na watu kama nilivyo andika nawala sijakosea ww kalili tu kama huwezi kusoma kama ilivyo andikwa acha kama ilivyo mm sijamanisha huo msemo wenu.
Halafu acha kunipiga biti umesikia wewe???acha tabia za kindezi ndezi ungesema kawaida usingeeleweka wee boya nn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom