Nikupe pesa au nikufikishe kileleni?

Nikupe pesa au nikufikishe kileleni?

Wadau salamu kwenu

Kama kichwa kinavyojieleza japo mada ina ukakasi naomba tuijadili. Wanawake mseme mnataka kipi kati ya pesa au kufikishwa kileleni?

Mimi binafsi naweza kutoa kimoja kati ya hivyo, ukitaka pesa yangu nitakupa ila kileleni hutafika. Na ukitaka kufika kileleni nitakufikisha ila pesa hutapata.

Nawasilisha Popoma
@Gentamycine,mwayungi
Pesa itapendeza zaidi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom