Pesa itapendeza zaidi...Wadau salamu kwenu
Kama kichwa kinavyojieleza japo mada ina ukakasi naomba tuijadili. Wanawake mseme mnataka kipi kati ya pesa au kufikishwa kileleni?
Mimi binafsi naweza kutoa kimoja kati ya hivyo, ukitaka pesa yangu nitakupa ila kileleni hutafika. Na ukitaka kufika kileleni nitakufikisha ila pesa hutapata.
Nawasilisha Popoma
@Gentamycine,mwayungi
Mh mkuu tukupendao tupo wengi humu,Asante kunipenda




Kilaza wewe muoa Shangazi yakoNtakuj posa dada ako Christina Melkiory japo amezalia hme
900M itapendeza zaidi..900 ???
Acha kuniaibisha hata njia pm huijui????Mkuu naomba uniunganishie basi huyo angenifaa sana
Utajipandisha kwa gharama zipi!Kwa hali hii ya sasa?! Mkuu lete pesa tu. Kileleni nitajipandisha mwenyewe
Mh mkuu tukupendao tupo wengi humu,
hadi wengne tumekuwa SUGU na wivu![]()
nyie nipendeni tu mradi msiuane na mimi nawapendeni sana tuPoa Poa andaa pesaMimi naenda na wewe Nipigie ndogo ndogo mkuu
Yap si umeona mwenyewe alichochaguaHilo tu usijali