Niko sahihi au?

Hiyo Tanzania bado imekuwa ni jibu tata kwangu,
lakin basi nisishughulike nalo hilo labda nina matatizo ya kuelewa.

Hayo maisha mnayoishi si ya ndoa kabisa hata kama mmefunga ndoa,
ksb ndoa kwa uelewa wangu mdogo ni,

1-kufanya tendo la ndoa kwa wanandoa,
2-kutunza,kulea familia pamoja
3-kusikilizana na kuelewana ktk shida na raha.
5-kufarijiana penye shida, kupeana furaha
5-kusaidiana,kushauriana
6-kuheshimiana,kuthaminiana
7-kujadiliana na kupata ufumbuzi ktk kila jambo linalohusu familia yenu.
na mengine mengi nisiyoyajua.

Sasa ktk hiyo ndoa yenu sidhani kama hayo yapo ktk hii miaka minne mnayoishi kwa kuigiza kuwa wanandoa nje ya jamii, mmesahau kuwa ndoa siyo ya jamii bali ni ya WANANDOA TU.

Nakusifu umeonesha upendo wa hali ya juu kwa mtoto wako , lakin hayo malezi mabovu ya baba yake yamefanya huyo mtoto apate malezi ya mama yake tu utadhani baba yake amekufa.
Kama unadhani hauwezi kuendelea kumbembeleza tena mumeo na kurudisha maana ya ndoa kati yenu, basi haina maana kuendelea kuigiza hiyo ndoa anza taratibu za kuomba talaka, ila kama unaona una vimelea vya upendo kwa mumeo basi endelea kujishusha ,mbembeleze huyu mumeo mrudishe maelewano kati yenu na hatua ya kwanza ni kurudi chumbani kwa mumeo ,ila msishiriki tendo la ndoa mpaka mkapime afya zenu hamwezi jua labda kati yenu kuna mmoja wenu alitoka nje ya ndoa kukata kiu ya kiutu uzima.

Kuhusu maendeleo ya shule mwanao jifunge kibwebwe mwenyewe kufuatilia maendeleo ya mwanao,kuwa karibu na walimu ili mjue tatizo ni nini hasa linalomsumbua huyu mtoto kimasomo ( japo naamini hayo mazingira ya home kwako inaweza ikawa sababu 1wapo, yanachangia mtoto kutokuwa makini darasani) , ni wanaume wachache sana wanaofuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni,wengi wao wanajua jukumu lao ni kulipa ada za shule tu mengine ya Mama yao.

POLE SANA SALMA, MUNGU AKUZIDISHIE HEKIMA NA BUSARA KATKA MAAMUZI YAKO UTAKAYOAMUA KUCHUKUA JUU YA NDOA YAKO.
 
Daahh Pole sana mpenzi
Pole sana yaani dahhh

Nway kama umefanya kila kitu
kwenye kitabu cha kumfanya mumeo awe
Mume bora na hataki..
basi ushauri wanguu mwingine nii hu

Tafuta lawyer chukua divorce paper
Mweleze kabisa mumeo Una chukua divorce..

Haina haja ya kuishi
na mwanaume anaye kimbia majukumu yake..
this time around emotional side is out..
It's all reality now..
nashukuru kwa kunielewa mpendwa naona wachangiaji wengine wamebaki kunilaumu tu bila kujua nna mateso kiasi gani moyoni mwangu,huwezi jua nilitamani kiasi gani kuishi maisha ya ndoa inayompendeza mungu,watoto wenye furaha na amani ya mwili mpaka akili..mategemeo yangu yameyeyuka kama barafu pua zingekuwa zinanusa hizi
 
Kiukweli nakuona wewe ndio mkorofi. Samahani kama nitakuwa nakujaji vibaya.
Mumeo hayupo karibu na familia ila anaihudumia, hadi kijijini kwenu umesema anaenda na anawasaidia. Kutokuwa karibu kwa mumeo ukaona bora uhame chumba (badala ya kusogeza ukaribu umezidi kucreate gap). Jitihada zako zote unazozifanya ni za kupunguza ukaribu na sio kuuleta ukaribu.
Ushawahi japo siku moja kuandaa mtoko wako wewe, mumeo na mtoto?? Kama mumeo huwa anachelewa kurudi nyumbani ushawahi hata siku moja kumsubiri ili mle msosi pamoja?
Hebu jiulize mambo gani uliyoyafanya kucreate ukaribu na still ukapata resistance kutoka kwa mumeo.
Nionavyo: mumeo hana tatizo ila ana kaujeuri. Ni mtu asiyependa kuambiwa fanya hiki fanya kile kama mtoto na inawezekana unapojaribu kumrekebisha huwa hutumii maneno ya ustaarabu. Jirekebishe wewe kwanza.
Mengineyo: naomba na wewe uwe unachangia matatizo ya watu usiishie kusoma. Thread yako na sisi tungeishia kusoma tu ungejisikiaje? Tabia mbaya hiyo.
Mwisho: Mungu akupiganie na pole kwa matatizo.
progress.gif
clear.gif



HUSNINYO ,natamani kukugongea lakin kitufe cha kugonga sikioni,,,CRAP!! nimependa ulichoongea hapo juu. ASANTE.
 
pole sana dada yangu..upo sawa kabisa na kama ni kichefuchefu ni sawa kabisa potelea mbali, hili tatizo ni mwanaume ndio kanzaisha lazima tukubali. lakini shetani pia amechukua mkondo wake hapo

mahali pa kukimbilia ni wazazi wake na kanisani tu ndio naona unaweza ukapata msaada wa kweli maana miaka minne si masihara! jaribu kuongea vizuri na wazazi wake ili wampe ushauri wa kina na kumuuliza msimamo wake, kama hiyo haitoshi mwende kanisani mchungaji au padre atawashauri tena hapa ni semina inatakiwa na kama si mcha Mungu nenda kaongee na mchungaji/padre aje hapo nyumbani amkute hapohapo linaanza somo.
la mwisho ni kupima, dada yangu najua unampenda ila mkapime kabla ya ku-renew mechi! zaidi ya hapo jaribu kuangalia utaratibu mwingine asikubabaishe mtoto wa watu siku hizi migonjwa kibao atakupa stress kila kukicha

pole sana, Mungu atakusaidaia
 
Hiyo Tanzania bado imekuwa ni jibu tata kwangu,
lakin basi nisishughulike nalo hilo labda nina matatizo ya kuelewa.

Hayo maisha mnayoishi si ya ndoa kabisa hata kama mmefunga ndoa,
ksb ndoa kwa uelewa wangu mdogo ni,

1-kufanya tendo la ndoa kwa wanandoa,
2-kutunza,kulea familia pamoja
3-kusikilizana na kuelewana ktk shida na raha.
5-kufarijiana penye shida, kupeana furaha
5-kusaidiana,kushauriana
6-kuheshimiana,kuthaminiana
7-kujadiliana na kupata ufumbuzi ktk kila jambo linalohusu familia yenu.
na mengine mengi nisiyoyajua.

Sasa ktk hiyo ndoa yenu sidhani kama hayo yapo ktk hii miaka minne mnayoishi kwa kuigiza kuwa wanandoa nje ya jamii, mmesahau kuwa ndoa siyo ya jamii bali ni ya WANANDOA TU.

Nakusifu umeonesha upendo wa hali ya juu kwa mtoto wako , lakin hayo malezi mabovu ya baba yake yamefanya huyo mtoto apate malezi ya mama yake tu utadhani baba yake amekufa.
Kama unadhani hauwezi kuendelea kumbembeleza tena mumeo na kurudisha maana ya ndoa kati yenu, basi haina maana kuendelea kuigiza hiyo ndoa anza taratibu za kuomba talaka, ila kama unaona una vimelea vya upendo kwa mumeo basi endelea kujishusha ,mbembeleze huyu mumeo mrudishe maelewano kati yenu na hatua ya kwanza ni kurudi chumbani kwa mumeo ,ila msishiriki tendo la ndoa mpaka mkapime afya zenu hamwezi jua labda kati yenu kuna mmoja wenu alitoka nje ya ndoa kukata kiu ya kiutu uzima.

Kuhusu maendeleo ya shule mwanao jifunge kibwebwe mwenyewe kufuatilia maendeleo ya mwanao,kuwa karibu na walimu ili mjue tatizo ni nini hasa linalomsumbua huyu mtoto kimasomo ( japo naamini hayo mazingira ya home kwako inaweza ikawa sababu 1wapo, yanachangia mtoto kutokuwa makini darasani) , ni wanaume wachache sana wanaofuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni,wengi wao wanajua jukumu lao ni kulipa ada za shule tu mengine ya Mama yao.

POLE SANA SALMA, MUNGU AKUZIDISHIE HEKIMA NA BUSARA KATKA MAAMUZI YAKO UTAKAYOAMUA KUCHUKUA JUU YA NDOA YAKO.
nashukuru mpendwa maendeleo ya mtoto shule ni mazuri sana namshukuru mungu kwa hilo,ila tatizo ni pale wanapoelezwa kuelezea kjuhusu familia ndipo huwa ngumu kwake na huanza kuchora vitu vya ajabuajabu kuonyesha yanayosawiri ubongo wake kuhusu suala zima la familia,kinachonisononesha na kunipa hasira zaidi ni kwamba tunamuandaa kijana kuwa mzazi mbaya kwa watoto wake wakati nafasi ya kurekebisha ipo
 
pole sana dada yangu..upo sawa kabisa na kama ni kichefuchefu ni sawa kabisa potelea mbali, hili tatizo ni mwanaume ndio kanzaisha lazima tukubali. lakini shetani pia amechukua mkondo wake hapo

mahali pa kukimbilia ni wazazi wake na kanisani tu ndio naona unaweza ukapata msaada wa kweli maana miaka minne si masihara! jaribu kuongea vizuri na wazazi wake ili wampe ushauri wa kina na kumuuliza msimamo wake, kama hiyo haitoshi mwende kanisani mchungaji au padre atawashauri tena hapa ni semina inatakiwa na kama si mcha Mungu nenda kaongee na mchungaji/padre aje hapo nyumbani amkute hapohapo linaanza somo.
la mwisho ni kupima, dada yangu najua unampenda ila mkapime kabla ya ku-renew mechi! zaidi ya hapo jaribu kuangalia utaratibu mwingine asikubabaishe mtoto wa watu siku hizi migonjwa kibao atakupa stress kila kukucha

pole sana, Mungu atakusaidaia
nashukuru mpendwa tuko pamoja kwa hili,ila nashangazwa na baadhi ya majibu ya wachangiaji humu,kwani mwanaume kutoa pesa ya matumizi,kuwatembeleA NDUGU ZANGU NDIO MAJUKUMU YAKE YA MSINGI,naomba muelewe silalamikii hayo ila nnacholalamikia ni hii tabia ya mtu kujivua jukumu lake kama mzazi hilo ndo tatizo.
 
nashukuru mpendwa kwa ushauri wako ntautekeleza japo mgumu kumeza,kiukweli mume wangu hachelewi kurudi nyumbani huwa anarudi wakati mwingine kabla yangu,laikini hata akirudi hwezi kumkuta mtoto akajaribu hata kuongea nae mawili matatu,nikirudi naanda msosi ukimuita anasema endeleeni nakuja mkibmaliza anachukua sahani yake anaanza kula...ungekuwa weye iungemwelewaje huyu mwanaume zaidi ya kuchukia tu...

duh! Au ana wasiwasi huyo sio mtoto wake. Maana hawa wanaume nao hawachelewi.
Hebu weekend hii mtoke kifamilia halafu ukirudi nyumbani rudi chumbani kwake ulipohama. (jilazimishe kufanya hivyo hata kama hujisikii ili uone response yake).
Utatuletea feedback kwa ushauri zaidi.
Hata sitamani muachane, nahisi tatizo lenu sio zito kiasi cha kuachana.
Naimagine huyo mumeo angekuwa yupo hivyo, familia haudumii, anarudi sa nane za ucku tena anakula alipotoka. Akirudi sa zingine awafanyie fujo cjui ungekuwa na hali gani.
Kuna kamistake hapo ulikafanya ndio maana mtu amebadilika. Hebu jishushe uokoe ndoa ucje ukaangukia kwa limwanaume bandindu uone nafuu huyu.
 
duh! Au ana wasiwasi huyo sio mtoto wake. Maana hawa wanaume nao hawachelewi.
Hebu weekend hii mtoke kifamilia halafu ukirudi nyumbani rudi chumbani kwake ulipohama. (jilazimishe kufanya hivyo hata kama hujisikii ili uone response yake).
Utatuletea feedback kwa ushauri zaidi.
Hata sitamani muachane, nahisi tatizo lenu sio zito kiasi cha kuachana.
Naimagine huyo mumeo angekuwa yupo hivyo, familia haudumii, anarudi sa nane za ucku tena anakula alipotoka. Akirudi sa zingine awafanyie fujo cjui ungekuwa na hali gani.
Kuna kamistake hapo ulikafanya ndio maana mtu amebadilika. Hebu jishushe uokoe ndoa ucje ukaangukia kwa limwanaume bandindu uone nafuu huyu.
kuhusu suala la mtoto kama wake au sio ana uhakika aslimia mia kuwa ni wake,ila sielewi ni aina gani ya mzazi au ni wale wanaume wanaodhani watoto wanachukua mapenzi yao..kwa kweli niko njia panda
 
Naendelea kukitafuta lakin sikioni,,lol
hata siju knn sikioni hata mimi NINA HAMU SANA YA KUKUGONGEA THANKS,,,ha ha haa
 
nashukuru mpendwa tuko pamoja kwa hili,ila nashangazwa na baadhi ya majibu ya wachangiaji humu,kwani mwanaume kutoa pesa ya matumizi,kuwatembeleA NDUGU ZANGU NDIO MAJUKUMU YAKE YA MSINGI,naomba muelewe silalamikii hayo ila nnacholalamikia ni hii tabia ya mtu kujivua jukumu lake kama mzazi hilo ndo tatizo.

karibu...chukua ushauri unaokufaa hao wengine achana nao! unajua tatizo moja linaweza zua mengine mengi, kama hivyo sasa hata nyie wawili inakua shida kuwasiliana..! lakini cha msingi ni baba kufahamu yale malezi/majukumu anayotakiwa kuyatoa katika familia yake, sio huduma tu lakini pia upendo unatakiwa tena kwa nguvu zote na kinachofuata ndio hiyo "taking care" amabayo kwa kawaida ni lazima! ila kikubwa ni baba kama baba kuipenda familia yake na kuishi nao vizuri! try ur best dada huwezi jua pengine kuna matatizo yamempata utafanikiwa tu
 
hapo ndipo nilipochoka kiwmili mpaka kiakili na mwisho wa siku kumhama na kumtoa kabisa katika akili yangu,akichukua likizo anakuja nyumbani kupumzika mwezi mzima na hata siku anayorudi huwa sijui nakuta tu kuwa amefika,na ni wa kwanza kutembelea familia yangu mpaka kijijini ndani kabisa anafika kwa mababu zangu na kama kuna tatizo anatatua na wala akurudi hanielezi chochote nafanya kusikia tu kwa ndugu zangu...babu yangu yuko hai na ananguvu na akili timamu kabisa ila hajawahi hata mueleza chochjote kinachoendelea kwenye nyumba yetu hapa ndipo nnaposhindwa kumuelewa kiumbe huyu

hmmmm! tht's critical point mlipofikia,
ngoja kwanza niingie maabara nifanyie uchunguzi hili swala, maana mnaweza ona ni swala la kipsychology kumbe sio...!!!
Ntarudi in few hrs....!
 
karibu...chukua ushauri unaokufaa hao wengine achana nao! unajua tatizo moja linaweza zua mengine mengi, kama hivyo sasa hata nyie wawili inakua shida kuwasiliana..! lakini cha msingi ni baba kufahamu yale malezi/majukumu anayotakiwa kuyatoa katika familia yake, sio huduma tu lakini pia upendo unatakiwa tena kwa nguvu zote na kinachofuata ndio hiyo "taking care" amabayo kwa kawaida ni lazima! ila kikubwa ni baba kama baba kuipenda familia yake na kuishi nao vizuri! try ur best dada huwezi jua pengine kuna matatizo yamempata utafanikiwa tu
nashukuru mpendwa kwa ushauri wako..nna imani ntafanikiwa kumfikisha mwanangu anapostahili.
 
hmmmm! tht's critical point mlipofikia,
ngoja kwanza niingie maabara nifanyie uchunguzi hili swala, maana mnaweza ona ni swala la kipsychology kumbe sio...!!!
Ntarudi in few hrs....!
usipotee nahitaji mchango wako mpendwa
 
Bado sijaona sababu hasa ya kuvunja hii ndoa. Ni kama vile unataka symphathy na support tu ya kuvunja ndoa.

Kwa nini baba ajisikie hataki kula na familia yake, kwenda vacation na familia yake? Kuna kitu behind the scene.

I speculate wewe ndio ulioanza kukeep distance kati ya baba na mtoto. Kwa mfano akimgusa/fanya chochote kuhusu mtoto ulikuwa ukimkaripia mwache mwanangu, this and that, kiasi kwamba akaamua ya nini malumbano na maneno, ngoja nimwachie bibie mwanae.

Kama title ya thread yako inavyouliza, mimi nachukua fursa hii kukujibu kuwa naikubali ile 'au', yaani hauko sawa, hufanyi sahihi. Haya ni mawazo yangu tu, za kuambiwa changanya na zako.
 
Bado sijaona sababu hasa ya kuvunja hii ndoa. Ni kama vile unataka symphathy na support tu ya kuvunja ndoa.

Kwa nini baba ajisikie hataki kula na familia yake, kwenda vacation na familia yake? Kuna kitu behind the scene.

I speculate wewe ndio ulioanza kukeep distance kati ya baba na mtoto. Kwa mfano akimgusa/fanya chochote kuhusu mtoto ulikuwa ukimkaripia mwache mwanangu, this and that, kiasi kwamba akaamua ya nini malumbano na maneno, ngoja nimwachie bibie mwanae.

Kama title ya thread yako inavyouliza, mimi nachukua fursa hii kukujibu kuwa naikubali ile 'au', yaani hauko sawa, hufanyi sahihi. Haya ni mawazo yangu tu, za kuambiwa changanya na zako.
naheshimu mawzo yako,kama mzazi siwezi fanya unalofikiria...kama ingetokea angefanya unalosema wala usingeniona hapa na thread ya aina hii
 
naheshimu mawzo yako,kama mzazi siwezi fanya unalofikiria...kama ingetokea angefanya unalosema wala usingeniona hapa na thread ya aina hii


Siwezi kubisha mwaya, ila kama umeshindwa kumrudisha kwa njia zote, na si mzinzi, na kwamba mambo ya unyumba anayaweza ila umeamua kuhama chumba na kumnyima unyumba; na kwamba humfikirii hujali na hutaki kujua anaishije bila unyumba kwa miaka 4, ila umechoshwa tabia yake ya kukaa mbali na mtoto wake.

Je kuhama chumba ilikuwa ni adhabu ya yeye kutotimiliza jukumu lake la kuonyesha mapenzi kwa mtoto au kwako kwa vile unataka afanye unachotaka na si kushauriana?

Je nia na dhumuni ya thread hii ni kutaka kujua tu kwamba uko sahihi au unataka kuvunja hii ndoa kwa vile baba haonyeshi mapenzi kwa mtoto?
 
dada salma unapoomba ushauri jaribu kuwa muwazi ili watu wakusaidie kiurahisi. Kuna vitu vidogo vidogo vilivyowahi tokea kwenye uhusiano wenu ambavyo vimepelekea mmeo kuwa na moyo sugu na nahisi yupo ndani ya mgogoro wa kisaikolojia. Naomba nikuachie swali moja tu dada angu JE MTOTO NI WA JAMAA/MMEO?
 
Back
Top Bottom