Niko sahihi au?

kiukweli siwezi kumsemea kama anatoka ama hatoki,ila kwa miaka minne yote yanawezekana ,kumpenda sidhani maana sina hisia zozote juu yake kiukweli..na ndo maana nikaja omba ushauri wenu hapa nakosea ama niko sahihi kwa upande huu..
Unajua siku zote ni vizuri pia kusikiliza upande wa pili wa yule anayetumiwa kama unasema nyie wenyewe mmeongea lakini hakuna lolote liloweza kubadilika basi ni vizuri kushirikisha pande mbili za familia haiwezekani from no where muishi ndani ya nyumba pamoja lakini kila mtu analala kwenye chumba chake mwenyewe for 4 years wakati nyie ni mke na mume kuna suala ambalo linapaswa kujadiliwa na pande mbili na kila mtu akatoa tatizo la mwenzake inawezekana mumeo anaona wewe una tatizo fulani na pia wewe unaona mumeo ana tatizo fulani basi kila mtu anaona yeye yuko sahihi kumtuhumu mwenzake kuwa ndiye mwenye makosa, mwanaume naye kutokuwa kuharibu na familia inawezekana kuna kitu hapo.
 
Pole sana dada
kwanza nimefurahi sana kusikia
unaijua thamani ya baba kwa mwanae
ingekuwa ni mwingine angesema ilimradi anatupa
matumizi shida hamna..

PilI do afya kabisa
Kuishi na mtu nyumbamoja na mnapishana
kama hamjuani.. na mbaya kabisa ni mumewe..
inaonyesha ni jinsi gani unampenda mwanao kwa kuvumilia hayo..

Ushauri wangu mimi
seek professional help
Kama vile marriage counselor..
kwa sasa usihusishe ndugu tena wa upande wa mume
ndo usijaribu .. lakini mzazi wako atakuwa mtu mzuri sana
kuongea naye Especial your mum..
 
Unajua siku zote ni vizuri pia kusikiliza upande wa pili wa yule anayetumiwa kama unasema nyie wenyewe mmeongea lakini hakuna lolote liloweza kubadilika basi ni vizuri kushirikisha pande mbili za familia haiwezekani from no where muishi ndani ya nyumba pamoja lakini kila mtu analala kwenye chumba chake mwenyewe for 4 years wakati nyie ni mke na mume kuna suala ambalo linapaswa kujadiliwa na pande mbili na kila mtu akatoa tatizo la mwenzake inawezekana mumeo anaona wewe una tatizo fulani na pia wewe unaona mumeo ana tatizo fulani basi kila mtu anaona yeye yuko sahihi kumtuhumu mwenzake kuwa ndiye mwenye makosa, mwanaume naye kutokuwa kuharibu na familia inawezekana kuna kitu hapo.
kiupande wangu tatizo pekee nililonalo ni yeye kutojuwa nini maana ya familia...kiupande wake anasema amekuwa kwenye nyumba hajawahi ona baba yao anakula nao mezani wala kushiriki mambo yoyote ya familia kwa hiyo haoni kama hilo ni tatzizo labda kama nna yangu mengine....lakini tujiulize kama umekulia kwenye nyumba ya udongo hakuna umuhimu wa kujenga nyumba nyumba nzuri ya kisasa jamani,hebu nisaidieni kwa hili isijekuwa mie ndio nna matatizo hapa
 
nikuulize na wewe swali kwa miaka yote mminne kabla ya kumlaumu mume ulikuwa muaminifu kwakwe?au na wewe uliamua bora liende ukampa chance kuotesha mizizi ya yale anayofanya.
 
Pole sana dada
kwanza nimefurahi sana kusikia
unaijua thamani ya baba kwa mwanae
ingekuwa ni mwingine angesema ilimradi anatupa
matumizi shida hamna..

PilI do afya kabisa
Kuishi na mtu nyumbamoja na mnapishana
kama hamjuani.. na mbaya kabisa ni mumewe..
inaonyesha ni jinsi gani unampenda mwanao kwa kuvumilia hayo..

Ushauri wangu mimi
seek professional help
Kama vile marriage counselor..
kwa sasa usihusishe ndugu tena wa upande wa mume
ndo usijaribu .. lakini mzazi wako atakuwa mtu mzuri sana
kuongea naye Especial your mum..
Mama yangu alifariki siku nyingi sana mpendwa sina kumbukumbu yake kabisa zaidi ya picha tu,ila nililelewa na baba japo alikuwa na mke mwingine na aliweza kuwa karibu yangu kiasi kwamba nnaweza sema aliziba pengo la mama..ila nae kafariki kama miaka sita iliyopita nadhani yeye ndo alikuwa msaada mkubwa sana kwangu kwa hili...nimejaribu njia zote hizo mpendwa ila ishafika mahali tunahitajika wpote wawili mwenzangu anadai yeye hana tatizo ni mimi mtata tu...laikini hashangai kwa nini mtoto anachora picha za ajabuajabu shuleni mpaka waalimu wanashtuka na akiitwa anasema hawezi kwenda kwa ajili ya picha za mtoto walimu hwana kazi za kufanya..
 
nikuulize na wewe swali kwa miaka yote mminne kabla ya kumlaumu mume ulikuwa muaminifu kwakwe?au na wewe uliamua bora liende ukampa chance kuotesha mizizi ya yale anayofanya.
unapozungumzia uaminifu unamaanisha nini mpendwa?
 
kiupande wangu tatizo pekee nililonalo ni yeye kutojuwa nini maana ya familia...kiupande wake anasema amekuwa kwenye nyumba hajawahi ona baba yao anakula nao mezani wala kushiriki mambo yoyote ya familia kwa hiyo haoni kama hilo ni tatzizo labda kama nna yangu mengine....lakini tujiulize kama umekulia kwenye nyumba ya udongo hakuna umuhimu wa kujenga nyumba nyumba nzuri ya kisasa jamani,hebu nisaidieni kwa hili isijekuwa mie ndio nna matatizo hapa


Kwa vile hii familia haina uvunjifu wa uaminifu kwa ndoa, tatizo si kubwa wala dogo kiviile kama ulivyosema.

Nadhani hapo ndani kwenu kuna scramble for power, hakuna anayetaka kujishusha. Na ndio sababu kubwa iliyopelekea kukatika kwa mawasiliano baina yenu, na yeye kukuona mtata.

Mwanamke mwenzangu, inabidi ujue kuwa wewe ndio moyo na shingo ya familia, una uwezo wa kuiweka familia yako pamoja na kurekebisha huo mushkeli.

Jishushe, vunja ukimya, ongea nae kwa upendo na mahaba kuhusu dira yako kwa familia na mtoto. Mwanamke kutumia nyama ya ulimi bidada.
 
Pole sana salma juma, ni kweli mtoto anahitaji ukaribu wa wazazi wote wawili na hasa kama wote wapo hai.
Ila kuna mahali sijakuelewa, umesema
akipata likizo anakuja nyumbani kupumzika.
Ina maana anapokuwa kazini huwa atokei nyumbani? Au anakaa huko huko kazini anarudi nyumbani kipindi cha likizo tu?...au unamaanisha nini hapo??.
Ntaendelea kutoa ushauri ukinijubu swali hili?
 
Pole sana salma juma, ni kweli mtoto anahitaji ukaribu wa wazazi wote wawili na hasa kama wote wapo hai.
Ila kuna mahali sijakuelewa, umesema
akipata likizo anakuja nyumbani kupumzika.
Ina maana anapokuwa kazini huwa atokei nyumbani? Au anakaa huko huko kazini anarudi nyumbani kipindi cha likizo tu?...au unamaanisha nini hapo??.
Ntaendelea kutoa ushauri ukinijubu swali hili?
namaanisha Tanzania
 
Kwa vile hii familia haina uvunjifu wa uaminifu kwa ndoa, tatizo si kubwa wala dogo kiviile kama ulivyosema.

Nadhani hapo ndani kwenu kuna scramble for power, hakuna anayetaka kujishusha. Na ndio sababu kubwa iliyopelekea kukatika kwa mawasiliano baina yenu, na yeye kukuona mtata.

Mwanamke mwenzangu, inabidi ujue kuwa wewe ndio moyo na shingo ya familia, una uwezo wa kuiweka familia yako pamoja na kurekebisha huo mushkeli.

Jishushe, vunja ukimya, ongea nae kwa upendo na mahaba kuhusu dira yako kwa familia na mtoto. Mwanamke kutumia nyama ya ulimi bidada.
nimeeleza kwa kirefu kidogo hapo juu kuhisi suala hili,linapokuja suala zima la malezi bora ya mtoto niko tayari kujishusha hata kuwa zaidi ya kidoti mpendwa...ila nimeshindwa kiukweli nimetumia kila mbinu nadhani nimechemka
 
nimeeleza kwa kirefu kidogo hapo juu kuhisi suala hili,linapokuja suala zima la malezi bora ya mtoto niko tayari kujishusha hata kuwa zaidi ya kidoti mpendwa...ila nimeshindwa kiukweli nimetumia kila mbinu nadhani nimechemka


Kama umechemka kwa kila njia, basi tabia ya huyo bwana ni genetic make up yake, huwezi badilisha biology ya mtu.

Hivyo basi, kubali matokeo, lea mwanao na mumeo, rudi chumbani muishi kama mume na mke. Ulishasaini mkataba wa kwa shida na raha, sasa shida ndio hiyo, ichukue kama ilivyo.
 
Mama yangu alifariki siku nyingi sana mpendwa sina kumbukumbu yake kabisa zaidi ya picha tu,ila nililelewa na baba japo alikuwa na mke mwingine na aliweza kuwa karibu yangu kiasi kwamba nnaweza sema aliziba pengo la mama..ila nae kafariki kama miaka sita iliyopita nadhani yeye ndo alikuwa msaada mkubwa sana kwangu kwa hili...nimejaribu njia zote hizo mpendwa ila ishafika mahali tunahitajika wpote wawili mwenzangu anadai yeye hana tatizo ni mimi mtata tu...laikini hashangai kwa nini mtoto anachora picha za ajabuajabu shuleni mpaka waalimu wanashtuka na akiitwa anasema hawezi kwenda kwa ajili ya picha za mtoto walimu hwana kazi za kufanya..

Daahh Pole sana mpenzi
Pole sana yaani dahhh

Nway kama umefanya kila kitu
kwenye kitabu cha kumfanya mumeo awe
Mume bora na hataki..
basi ushauri wanguu mwingine nii hu

Tafuta lawyer chukua divorce paper
Mweleze kabisa mumeo Una chukua divorce..

Haina haja ya kuishi
na mwanaume anaye kimbia majukumu yake..
this time around emotional side is out..
It's all reality now..
 
Salma their is still UNFINISHED BUSINESS kati yako na mumeo kama unaona anakuwa mgumu shirikisha pande mbili za wazazi wenu, halafu hivi hiyo miaka 4 unayosema kila mtu analala chumba chake ina maana haujakutana kimwili na mumeo for all those 4 years??
 
pole sana my dear!
hilo ni jaribu tu, kila jaribu lina mlango wa kutokea.

jishushe mamy, rudi chumbani kwa mumewe, ongea nae kwa upole, mweleze lililoko moyoni mwako, mbembeleze na yeye aongee ili muache kukwazana,

mwisho lia na Mungu wako kwani yeye ni mweza wa yote
 
Kiukweli nakuona wewe ndio mkorofi. Samahani kama nitakuwa nakujaji vibaya.
Mumeo hayupo karibu na familia ila anaihudumia, hadi kijijini kwenu umesema anaenda na anawasaidia. Kutokuwa karibu kwa mumeo ukaona bora uhame chumba (badala ya kusogeza ukaribu umezidi kucreate gap). Jitihada zako zote unazozifanya ni za kupunguza ukaribu na sio kuuleta ukaribu.
Ushawahi japo siku moja kuandaa mtoko wako wewe, mumeo na mtoto?? Kama mumeo huwa anachelewa kurudi nyumbani ushawahi hata siku moja kumsubiri ili mle msosi pamoja?
Hebu jiulize mambo gani uliyoyafanya kucreate ukaribu na still ukapata resistance kutoka kwa mumeo.
Nionavyo: mumeo hana tatizo ila ana kaujeuri. Ni mtu asiyependa kuambiwa fanya hiki fanya kile kama mtoto na inawezekana unapojaribu kumrekebisha huwa hutumii maneno ya ustaarabu. Jirekebishe wewe kwanza.
Mengineyo: naomba na wewe uwe unachangia matatizo ya watu usiishie kusoma. Thread yako na sisi tungeishia kusoma tu ungejisikiaje? Tabia mbaya hiyo.
Mwisho: Mungu akupiganie na pole kwa matatizo.
 
Kiukweli nakuona wewe ndio mkorofi. Samahani kama nitakuwa nakujaji vibaya.
Mumeo hayupo karibu na familia ila anaihudumia, hadi kijijini kwenu umesema anaenda na anawasaidia. Kutokuwa karibu kwa mumeo ukaona bora uhame chumba (badala ya kusogeza ukaribu umezidi kucreate gap). Jitihada zako zote unazozifanya ni za kupunguza ukaribu na sio kuuleta ukaribu.
Ushawahi japo siku moja kuandaa mtoko wako wewe, mumeo na mtoto?? Kama mumeo huwa anachelewa kurudi nyumbani ushawahi hata siku moja kumsubiri ili mle msosi pamoja?
Hebu jiulize mambo gani uliyoyafanya kucreate ukaribu na still ukapata resistance kutoka kwa mumeo.
Nionavyo: mumeo hana tatizo ila ana kaujeuri. Ni mtu asiyependa kuambiwa fanya hiki fanya kile kama mtoto na inawezekana unapojaribu kumrekebisha huwa hutumii maneno ya ustaarabu. Jirekebishe wewe kwanza.
Mengineyo: naomba na wewe uwe unachangia matatizo ya watu usiishie kusoma. Thread yako na sisi tungeishia kusoma tu ungejisikiaje? Tabia mbaya hiyo.
Mwisho: Mungu akupiganie na pole kwa matatizo.
nashukuru mpendwa kwa ushauri wako ntautekeleza japo mgumu kumeza,kiukweli mume wangu hachelewi kurudi nyumbani huwa anarudi wakati mwingine kabla yangu,laikini hata akirudi hwezi kumkuta mtoto akajaribu hata kuongea nae mawili matatu,nikirudi naanda msosi ukimuita anasema endeleeni nakuja mkibmaliza anachukua sahani yake anaanza kula...ungekuwa weye iungemwelewaje huyu mwanaume zaidi ya kuchukia tu...
 
pole sana my dear!
hilo ni jaribu tu, kila jaribu lina mlango wa kutokea.

jishushe mamy, rudi chumbani kwa mumewe, ongea nae kwa upole, mweleze lililoko moyoni mwako, mbembeleze na yeye aongee ili muache kukwazana,

mwisho lia na Mungu wako kwani yeye ni mweza wa yote
mpendwa hakuna mateso kama kulala kitanda kimoja na mwanaume halafu usimpe haki yake ya msingi...na siwezi kujilazimisha kwa hilo mpaka atekeleze majukumu yake kiukamilifu
 
Salma their is still UNFINISHED BUSINESS kati yako na mumeo kama unaona anakuwa mgumu shirikisha pande mbili za wazazi wenu, halafu hivi hiyo miaka 4 unayosema kila mtu analala chumba chake ina maana haujakutana kimwili na mumeo for all those 4 years??
kwa miaka minne hatujakutana kabisa ila kabla ya hapo ilikuwa kwa mbinde sana ndo maana nikahama chumba...hamu yangu ya kukutana nae ilipotea muda mrefu sana
 
Back
Top Bottom