Niko sahihi au?

Kwanini mumezaa mtoto mmoja tu? Labda mumeo kaenda kupima na kuona hazai, na anazani huyo mtoto sio wake. Inaonekana kuna anatatizo linalo msumbua. Jaribu kuongea nae na kumuliza kiundani, ujue tatizo.


Na kama unahuhakika mtoto ni wa mumeo, mwambie akapime DNA na wote muna kizazi, ongezeni mtoto wa pili, sababu kuna wanaume wengine mpaka waone watoto wengi home kama viroboto, wanatia tia fujo na makelele ndio wanafunua mdomo kugombeza na kuwaonya, na ndio hapo jukumu lao kama baba linakuja wenyewe bila kuambiwa. Ila wakiona mtoto wenyewe mmoja tu, wewe na yeye mumgombanie huyo huyo, kwaiyo anakuachia jukumu wewe. Au labda ulijipa majukumu yote ya mtoto tokea hapo mwanzo, nae akaona sawa tu maana umempunguzia mzigo. Kwaiyo itaendelea hivo hivo, sasa haisaidi tena kulalamika, umechelwa. Na kama uhusiano wako wewe na mumeo sio mzuri, basi hata uhusiano wa mumeo na mtoto utakuwa sio nzuri vile vile. Na mtoto anajua yote juu yenu hata kama hamumwambii, na munamuaribu kisaikologia inavo onesha. Jua bora wazazi walio achana kuliko wazazi wasio elewana. Leo kachora picha za hajabu hajabu shuleni, kesho utaskia kaua mtu, au pengine akakueni nyie wazazi wake, maana anakuchukieni, anaishi bila upendo wa family, tena bora angekuwa na ndugu angetumia muda wake kucheza nao na kuongea nao juu yenu wazazi mlivo to eachother. Mie hapo namuonelea huruma huyo mtoto. Nitafute nikupe ushauri, maana nimesomea saikologia ya watoto kidogo. Labda wewe bi salma unajifanya mjuaji, ndio maana mumeo amejitoa ktk family.
 
kuna v2 vidogo vidogo visababishi hadi mme wako kafikia hyo hatua, bla kuvitatua hvyo uisababishi huwezi pata jb sahihi hapa.
 
Kwanini mumezaa mtoto mmoja tu? Labda mumeo kaenda kupima na kuona hazai, na anazani huyo mtoto sio wake. Inaonekana kuna anatatizo linalo msumbua. Jaribu kuongea nae na kumuliza kiundani, ujue tatizo.


Na kama unahuhakika mtoto ni wa mumeo, mwambie akapime DNA na wote muna kizazi, ongezeni mtoto wa pili, sababu kuna wanaume wengine mpaka waone watoto wengi home kama viroboto, wanatia tia fujo na makelele ndio wanafunua mdomo kugombeza na kuwaonya, na ndio hapo jukumu lao kama baba linakuja wenyewe bila kuambiwa. Ila wakiona mtoto wenyewe mmoja tu, wewe na yeye mumgombanie huyo huyo, kwaiyo anakuachia jukumu wewe. Au labda ulijipa majukumu yote ya mtoto tokea hapo mwanzo, nae akaona sawa tu maana umempunguzia mzigo. Kwaiyo itaendelea hivo hivo, sasa haisaidi tena kulalamika, umechelwa. Na kama uhusiano wako wewe na mumeo sio mzuri, basi hata uhusiano wa mumeo na mtoto utakuwa sio nzuri vile vile. Na mtoto anajua yote juu yenu hata kama hamumwambii, na munamuaribu kisaikologia inavo onesha. Jua bora wazazi walio achana kuliko wazazi wasio elewana. Leo kachora picha za hajabu hajabu shuleni, kesho utaskia kaua mtu, au pengine akakueni nyie wazazi wake, maana anakuchukieni, anaishi bila upendo wa family, tena bora angekuwa na ndugu angetumia muda wake kucheza nao na kuongea nao juu yenu wazazi mlivo to eachother. Mie hapo namuonelea huruma huyo mtoto. Nitafute nikupe ushauri, maana nimesomea saikologia ya watoto kidogo. Labda wewe bi salma unajifanya mjuaji, ndio maana mumeo amejitoa ktk family.
sijaelewa inakuwaje mtoto mmoja awashinde muongeze wengine...
 
ahaa apo kuna tatizo kubwa, siku zote moto uanza kuwaka kidogo atimaye uwa mkubwa then akuna jambo ambalo linakosa mwanzo wake lazima kuna kitu uyo mmeo amesikia ndo maana akabadilika, ujue kuna watu wengine awawezi zungumza makosa ya wenzao ikitokea umemkosea m2 uyo lazima utafute chanzo chake ni nini? kaa na wanasaikolojia wazungumze na mmeo. coz ilo si jambo la kawaida binadamu kuishi jumba moja alafu amuelewani.
 
sijaelewa inakuwaje mtoto mmoja awashinde muongeze wengine...


Kwa sababu wakiwa watoto 2 au 3 ktk nyumba rahisi kudill nao kuliko mmoja. Hata darasa likiwa na mtoto mmoja mwalim hauoni umuhim wa kufundisha siku hile. Ila wakiwa wengi, anapata nguvu ya kufundisha.

Wewe dada unaelim gani, unaishi wapi na unafanya kazi gani? na huyo mumeo anaelim gani na anafanya kazi gani?
pengine kuna vingi vimejificha ili tujue tukushauri nini, inabidi tujue mazingira yenu. Tofauti ya elim yenu, malezi yenu, kipato na tabia zenu, usababisha matatizo ktk ndoa. Hapo mtu unatakiwa uwe na akili ya kudill na uliefunga nae ndoa, maana bora huyo kuna wengine hawarudi home hata mwezi, chakula chako ataki kula, atakupiga, atakufukuza, atakutukana na watoto wako atawaita wa uchafu. Sasa mumeo tatizo lake ni la upole, na kwa vile mumeishi pamoja miaka mingi mapenzi upungua. Na inavo onesha wewe unampenda, na yeye anakupenda bila nyie wenyewe kujua, munajidanganya eti munachukiana. Haujui dada mtu unae mpenda umchukia zaidi, ugombana nae zaidi kwa sababu unataka akufanyie kama unavotaka wewe na kama hafanyi chuki unazani hakupendi. Na yeye anakuchukia kama unavomchukia wewe ndio maana hataki kuja kuiona sura yako mezani,
 
Kwa sababu wakiwa watoto 2 au 3 ktk nyumba rahisi kudill nao kuliko mmoja. Hata darasa likiwa na mtoto mmoja mwalim hauoni umuhim wa kufundisha siku hile. Ila wakiwa wengi, anapata nguvu ya kufundisha.

Wewe dada unaelim gani, unaishi wapi na unafanya kazi gani? na huyo mumeo anaelim gani na anafanya kazi gani?
pengine kuna vingi vimejificha ili tujue tukushauri nini, inabidi tujue mazingira yenu. Tofauti ya elim yenu, malezi yenu, kipato na tabia zenu, usababisha matatizo ktk ndoa. Hapo mtu unatakiwa uwe na akili ya kudill na uliefunga nae ndoa, maana bora huyo kuna wengine hawarudi home hata mwezi, chakula chako ataki kula, atakupiga, atakufukuza, atakutukana na watoto wako atawaita wa uchafu. Sasa mumeo tatizo lake ni la upole, na kwa vile mumeishi pamoja miaka mingi mapenzi upungua. Na inavo onesha wewe unampenda, na yeye anakupenda bila nyie wenyewe kujua, munajidanganya eti munachukiana. Haujui dada mtu unae mpenda umchukia zaidi, ugombana nae zaidi kwa sababu unataka akufanyie kama unavotaka wewe na kama hafanyi chuki unazani hakupendi. Na yeye anakuchukia kama unavomchukia wewe ndio maana hataki kuja kuiona sura yako mezani,
du nashukuru kwa ushauri mpendwa,ila elimu,kazi,wapi tunapoishi siwezi kupataja kwa sababu ni mambo binafsi zaidi.hiyo ya kula ilikuwa kabla sijamtenga maana kwa sasa kuna muda mrefu sana haelewi hata tunakula wakati gani
 
naomba kujua ukweli je una uhakika mtoto ni kuzaliwa na jamaa au umembambikiza? jamani hapa ndo lipo tatizo
 
naomba kujua ukweli je una uhakika mtoto ni kuzaliwa na jamaa au umembambikiza? jamani hapa ndo lipo tatizo
ni wake mpendwa mahali tunakoishi ukipata mtoto mwanaume anapima na kuhakikisha kabisa kuwa ni wake halafu anasign,nae alipitia yote hayo na anauhakika kwa aslimia mia moja kuwa ni wake...hakuna shaka juu ya hilo
 
du nashukuru kwa ushauri mpendwa,ila elimu,kazi,wapi tunapoishi siwezi kupataja kwa sababu ni mambo binafsi zaidi.hiyo ya kula ilikuwa kabla sijamtenga maana kwa sasa kuna muda mrefu sana haelewi hata tunakula wakati gani


Sasa kwa nini umeleta mambo yako ya private humu ndani? mapenzi, ndoa, elim, kazi na unapoishi ni private, sasa kwanini unashirikisha mapenzi yako na wengine. Au unaogopa pengine mumeo yupo humu ndani? Mie nimeanza kupata na mashaka juu yako. sijui kama wewe ni mwanamke au mwanaume. Lakini unastairi kujibiwa. Baada ya kusoma majibu yako humu ndani, inaonesha unapenda sana kujiami, na unapenda ubabe, unapenda ukubwa ukubwa, unapenda mamlaka, haupendi kushindwa, unajiona wewe ni bora, ndio maana huyo mume kakususia mtoto umlee mwenyewe, hata mimi kama ningekuwa mwanamme nisingeweza kudill na mwanamke wa dizain kama yako. Ila hata hivo pole nampa pole huyo mtoto kwa kulelewa malezi kama hayo ya ushindani na ubabe, na chuki
 
Sasa kwa nini umeleta mambo yako ya private humu ndani? mapenzi, ndoa, elim, kazi na unapoishi ni private, sasa kwanini unashirikisha mapenzi yako na wengine. Au unaogopa pengine mumeo yupo humu ndani? Mie nimeanza kupata na mashaka juu yako. sijui kama wewe ni mwanamke au mwanaume. Lakini unastairi kujibiwa. Baada ya kusoma majibu yako humu ndani, inaonesha unapenda sana kujiami, na unapenda ubabe, unapenda ukubwa ukubwa, unapenda mamlaka, haupendi kushindwa, unajiona wewe ni bora, ndio maana huyo mume kakususia mtoto umlee mwenyewe, hata mimi kama ningekuwa mwanamme nisingeweza kudill na mwanamke wa dizain kama yako. Ila hata hivo pole nampa pole huyo mtoto kwa kulelewa malezi kama hayo ya ushindani na ubabe, na chuki
nashukuru mpendwa ubarikiwe
 
H abari wapendwa,si mgeni sana humu ila huwa nasoma zaidi kuliko kuchangia mada mbalimbali za jf na naridhika na michango ya wachangiaji karibia wote wa forum hii.Leo nna tatizo langu si kubwa wala dogo kivile,mimi ni mama wa mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 14 sasa na nna ndoa ya kanisani usitishike na jina tafadhali,tuliishi kwa maelewano sana na mme wangu japo kulikuwa na vimatatizo vya hapa na pale ila tulivimaliza na maisha yaliendelea kama kawaida,tatizo lilianza pale ambapo mwenzangu aliposhindwa kuelewa familia ni nini na inahitaji nini,mume wangu hana muda na familia wala kiajana wetu,anachojua nikutoa pesa tu,nimejitahidi kuongea nae sana juu ya hili kwa muda mrefu sana mwisho nami nimechoka nikajikuta natengeneza chuki za ajabu dhidi yake mpaka heshima yangu kwake imekwisha kabisa,hata nikijaribu kumuheshimu najikuta siwezi sio kwa kuwa najifanyisha imetokea tu mpaka chumba nimehama nadhani huu ni mwaka wa nne sasa,tunaishi kwa ajioli ya mtoto tu si yeye wala mimi aliewahi kumueleza mtu yoyote juu ya hili watu wakituona kwa nje wanaona ni mke na mume kumbe ndani hamna kitu,sina wivu nae hata kidogo,tunasalimia kama watu tusojuana na hata kama tuko pamoja kama kuna jambo tunatumia message kuelezana ila kuongea naona kichefuchefu maana akijaribu kuongea nnaona kama ananipotezea muda sielewi nini kimenikuta naomba msaada wenu jamani....wale waropokaji naona si mahala pake hapa huwezi changia soma kimyakimya.


Shangazi bora ya wewe ulikuwa unapewa hadi pesa za matumizi kwa ajili yako na mtoto wenu. Naona chuki hapo ipo kwa nn jamaa hajali familia yeye akitoa pesa basi lakini ulipaswa kuvumilia shangazi huyo ndo mme wako na uliapa mbele ya kadamnasi kuwa mtaishi kwa shida na raha sasa naona shida zimekushinda umeamua kuhamia chumba cha pili huoni kama unamnyima mwenzako haki yake ya Tendo la ndoa? Tafadhari shangazi jichunguze chuki ni ya jamaa kuto jali familia au ndo ameisha radha unataka damu changa?
Vumilia shangazi maisha yenyewe haya mafupi
Hongereni kwa kuwa na mtoto mkubwa kiasi hicho.
Mpende mmewe huyo ndo ubavu wako mvumilie tu ila rudi chumbani kwake bila wewe usingizi hapati.
 
nashukuru mpendwa ubarikiwe

Nawe ubarikiwe pia kwa kuolewa na mzungu mzee, au halie lelewa vibaya, ambae hawezi kupata marafiki akaona wewe kimwana wa kiafrika atamfaa kuwa mtumwa, na mlezi wa kizazi chake sababu ya pesa zake. Wewe ni mwanamke husie na thamani kwake ila anakuitaji kwa sababu hana marafiki wala mwingine. Pole na kazi buti utashinda, goodluck
 
Shangazi bora ya wewe ulikuwa unapewa hadi pesa za matumizi kwa ajili yako na mtoto wenu. Naona chuki hapo ipo kwa nn jamaa hajali familia yeye akitoa pesa basi lakini ulipaswa kuvumilia shangazi huyo ndo mme wako na uliapa mbele ya kadamnasi kuwa mtaishi kwa shida na raha sasa naona shida zimekushinda umeamua kuhamia chumba cha pili huoni kama unamnyima mwenzako haki yake ya Tendo la ndoa? Tafadhari shangazi jichunguze chuki ni ya jamaa kuto jali familia au ndo ameisha radha unataka damu changa?
Vumilia shangazi maisha yenyewe haya mafupi
Hongereni kwa kuwa na mtoto mkubwa kiasi hicho.
Mpende mmewe huyo ndo ubavu wako mvumilie tu ila rudi chumbani kwake bila wewe usingizi hapati.
nashukuru mpendwa wala hajaisha ladha ndo kwanza anawika...ukizingatia ujana wa mwanaume unaanza na miaka 40 sasa yeye ana mmoja zaidi kuufikia...ila nadhani akinihitaji anapaswa abadilike na acheze nafasi yake kama mzazi kwa kijana wake,na analielewa hilo
 
nashukuru mpendwa wala hajaisha ladha ndo kwanza anawika...ukizingatia ujana wa mwanaume unaanza na miaka 40 sasa yeye ana mmoja zaidi kuufikia...ila nadhani akinihitaji anaelewa nini cha kufanya

Aaaah kumbe bado mnamegana
Sasa hapa shangazi nakuelewa jamaa akiwa na kiu anakufuata huko huko kukata kiu.
Tatizo ni kwamba wewe unamwona kichefu kichefu si ndio?
Mi nakushauri ukazane kunywa juice ya malimau ili hata ukimwona au akikusalimia usione kichefu chefu.
 
watu mna vituko humu akipata madonda ya tumbo atasemaje na hayo majuice ya malimao.:love:

Aaaah kumbe bado mnamegana
Sasa hapa shangazi nakuelewa jamaa akiwa na kiu anakufuata huko huko kukata kiu.
Tatizo ni kwamba wewe unamwona kichefu kichefu si ndio?
Mi nakushauri ukazane kunywa juice ya malimau ili hata ukimwona au akikusalimia usione kichefu chefu.
 
Nawe ubarikiwe pia kwa kuolewa na mzungu mzee, au halie lelewa vibaya, ambae hawezi kupata marafiki akaona wewe kimwana wa kiafrika atamfaa kuwa mtumwa, na mlezi wa kizazi chake sababu ya pesa zake. Wewe ni mwanamke husie na thamani kwake ila anakuitaji kwa sababu hana marafiki wala mwingine. Pole na kazi buti utashinda, goodluck

Du! umejuaje haya Somoe!!! Hata hivyo nampa pia pole huyu mama ila ameficha ukweli na ndo maana itakuwa vigumu kupata majibu ama ushauri utakaomsaidia.
 
Aaaah kumbe bado mnamegana
Sasa hapa shangazi nakuelewa jamaa akiwa na kiu anakufuata huko huko kukata kiu.
Tatizo ni kwamba wewe unamwona kichefu kichefu si ndio?
Mi nakushauri ukazane kunywa juice ya malimau ili hata ukimwona au akikusalimia usione kichefu chefu.
hapana sijamaanisha ulichosema ila nimejaribu kukufanulia kuwa si mzee kiasi cha mimi kumuona kichefuchefu ila ni matendo yake ya kuudhi na kukera
 
your marriage is practically dead!.achaneni tu mie sioni umuhimu wa kuomba ushaurii kwa ndoa ambayo mmekaa miaka minne vyumba tofauti...ishakufa kibudu hio.
 
Back
Top Bottom