Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili ku

Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Chakuku shauri kwanza zingatia maandiko 📖 ya dini husika mimi naanza na neno “Uislamu” linatokana na neno la Kiarabu “Islam” lenye maana ya "kujitoa/kujisalimisha kwa Allah kwa utiifu kamili" kwa kumpwekesha katika kila jambo na Uislamu unamaanisha “kunyenyekea kwa mapenzi mbele ya Mwenyezi Mungu” kwa "Tawhidi" kumpwekesha yeye Allah kwa kumtii na kuacha maasi.

Katika Qur'an
Surah Aali ‘Imran 3:19
"Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu...".
Na katika Hadithi:
Hadithi ya Jibril (Imepokewa na Muslim)
Mtume (s.a.w) alisema:
"Uislamu ni kushuhudia kuwa hakuna Mungu ila Allah na Muhammad ni Mtume Wake kuswali swala tano kutoa Zaka kufunga Ramadhani na kwenda Hija kwa mwenye uwezo".

Mwanazuoni Shaykhul-Islam Ibn Taymiyyah alisema:
"Uislamu ni kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu kwa "Tawhidi" na kunyenyekea Kwake kwa utiifu na kujitenga na Shirki na wenye kushirikisha".
Na katika Surah Aali ‘Imran 3:85
Allah anasema "Na atakayefuata dini isiyokuwa Uislamu basi haitakubaliwa kwake..."
 
Yesu alikuwa Muislam
UONGO konki huu,
Hadi Yesu anaondoka duniani uislamu ulikuwa haujaasisiwa na Wakatoliki kupitia mtu wao Mudi.

Na Yesu angekuwa Kobaz asingeongelea habari za kuanzisha Kanisa lake..

Mathayo 16:
17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.

18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.

 
Hakuna dini sahihi Ila dini ni UPENDO na kujipenda na kupenda watu.

Ukifanya hivyo utamuona Mungu .
 
No body knows huu ulimwengu ulianzaje

Kila mtu huwa anajikuta amezaliwa, nayeye atazaa kisha atakufa na aliowazaa wataendelea kuzaliana

Huna unalolijua kuhusu mababu zako vizazi hata 100 nyuma tu, na watoto wa watoto wako vizazi 100 hawatajua lolote kuhusu wewe

Binadamu kiumbe mdadisi(intelligent) haishi kujiuliza mwanzo wa kila kitu, na matokeo yake zikazaliwa DHANA mbili jinsi ulimwengu ulivyoanza
IMANI ikamtengeneza Mungu ndio muumbaji wa kila kitu, na
Sayansi ikatengeneza nadharia(theory) ya namna ulimwengu unvyoweza kuwa ulifanyika

So mimi kutokujua ulimwengu huu ulifanyikaje kwa mpangilio huu wa ajabu HAKUHALALISHI uwepo wa Mungu wako wa mchongo,........ Kwasababu kama unalazimisha kila kitu LAZIMA kina chanzo chake basi unatakiwa uthibitishe na huyo Mungu ni nani kamuumba na maijuzi yake yote hayo ya kuumba ulimwengu smart namna hii, na ukianza kuuliza hivyo hakutakua na mwisho sababu kila kitu lazima kina chanzo
Umeongea vizuri sana mkuu lakini ni jambo la ajabu kwamaoni yangu eti kuinyamazisha akili yako eti iwe na ukomo wa kufikiri
 
UONGO konki huu,
Hadi Yesu anaondoka duniani uislamu ulikuwa haujaasisiwa na Wakatoliki kupitia mtu wao Mudi.

Na Yesu angekuwa Kobaz asingeongelea habari za kuanzisha Kanisa lake..

Mathayo 16:
17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.

18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.

Sasa tuambie Yesu alikuwa dini gani
Mimi nasubiri hapa utuambie 📢 na Ukristo ni Project ya nani
 
Dini zote ni sawa,kila moja ni bora kulingana na muamini wake.
Hata huo Ukristo upo wa aina Pana aliouacha Yesu Kristo na Pana ulioanzishwa na mazayuni movement toka nchi za Magharibi kwa lengo la kuwabrainwash wakristo vipofu wa sasa waitukuze Israel ili kufanikisha ajenda ya kupush New Israel kama taifa.
IS-RA-EL
IS .... ISIS Mungu jua
RA.... Mungu mwezi
El... Mungu Elshadai.
Maana ya Israel ni Muunganiko wa Jua,mwezi na Mungu ndo tafsiri ya alama ya nyota kwenye bendera yao
 
Umeongea vizuri sana mkuu lakini ni jambo la ajabu kwamaoni yangu eti kuinyamazisha akili yako eti iwe na ukomo wa kufikiri
Utofauti wa binadamu na viumbe wengine ndio hiyo.....UDADISI
Ukimuondolea udadisi binadamu atakuwa sawa na wanyama wengine tu

Binadamu ataendelea tu kudadisi...... Wataalamu wanatuambia kuhusu hii dunia tu binadamu anaijua chini ya asilimia 20 tu kuhusu Dunia tunayoishi
Na kuhusu Ulimwengu asilimia anazojua ni chini 0.01

Kama nilivyoandika kuna dhana mbili, Imani imemtengeneza Mungu na Sayansi imetengeneza Theories

Soma maandiko ya dini kuhusu uumbaji utagundua muandishi alikua hajui lolote kuhusu dunia na ulimwengu kama tuujuavyo leo

Lakini ukisoma theories za kisayansi angala zinasapoti ulimwengu tuujuavyo leo ingawa nazi bado zinaacha maswali yasio jibika

So usikubali kuwa mtumwa wa imani fulani kwasababu haujui ninani kaumba ulimwengu
Tunajikuta tumezaliwa tu kisha tutadadisi na tutakufa na kucha udadisi ukiendele
Ukizaliwa China na wazazi wachina unakua Budha, Ukiwa India unaasilimia kubwa kuwa Muhindu, Ukizaliwa viunga vya Teheran Unakua Mshia, Ukizaliwa na Muhadzabe unakua unaabudu mapango, ukizaliwa Roma utakua mkatoliko, ukizaliwa Tel Aviv utakua Myahudi na ukizaliwa Dunia ya tatu kama Tz itategemea wakoloni wa dini gani walipiga kambi mkoa uliozaliwa na mababu zako wakakolonishwa dini hiyo na wewe ukakuirithi
 
Utofauti wa binadamu na viumbe wengine ndio hiyo.....UDADISI
Ukimuondolea udadisi binadamu atakuwa sawa na wanyama wengine tu

Binadamu ataendelea tu kudadisi...... Wataalamu wanatuambia kuhusu hii dunia tu binadamu anaijua chini ya asilimia 20 tu kuhusu Dunia tunayoishi
Na kuhusu Ulimwengu asilimia anazojua ni chini 0.01

Kama nilivyoandika kuna dhana mbili, Imani imemtengeneza Mungu na Sayansi imetengeneza Theories

Soma maandiko ya dini kuhusu uumbaji utagundua muandishi alikua hajui lolote kuhusu dunia na ulimwengu kama tuujuavyo leo

Lakini ukisoma theories za kisayansi angala zinasapoti ulimwengu tuujuavyo leo ingawa nazi bado zinaacha maswali yasio jibika

So usikubali kuwa mtumwa wa imani fulani kwasababu haujui ninani kaumba ulimwengu
Tunajikuta tumezaliwa tu kisha tutadadisi na tutakufa na kucha udadisi ukiendele
Ukizaliwa China na wazazi wachina unakua Budha, Ukiwa India unaasilimia kubwa kuwa Muhindu, Ukizaliwa viunga vya Teheran Unakua Mshia, Ukizaliwa na Muhadzabe unakua unaabudu mapango, ukizaliwa Roma utakua mkatoliko, ukizaliwa Tel Aviv utakua Myahudi na ukizaliwa Dunia ya tatu kama Tz itategemea wakoloni wa dini gani walipiga kambi mkoa uliozaliwa na mababu zako wakakolonishwa dini hiyo na wewe ukakuirithi
Nakubali mkuu
 
UONGO konki huu,
Hadi Yesu anaondoka duniani uislamu ulikuwa haujaasisiwa na Wakatoliki kupitia mtu wao Mudi.

Na Yesu angekuwa Kobaz asingeongelea habari za kuanzisha Kanisa lake..

Mathayo 16:
17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.

18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.

Ooooh! Kumbe Yesu dini yake ilikuwa ukristo?

Vipi kuhusu Ibrahim, Isaka na Yakobo walikuwa na dini gani?
 
Waafrika tuna laani karibu kila kitu kuhusu wakoloni KASORO dini zao tu

Waamini dini mmefungwa akili hata kwa vitu vilivyo wazi kabisa ili mradi tu vinatetea imani zenu

Uyahudi, Ukristo na Uislam ni IBRAMIC RELIGIOUS BELIEVE

UYAHUDI ndio ulioanza kwa mkusanyiko wa simulizi za mababu wa mababu wa kiimani wa yahudi karne kwa karne ndani ya Uyahudini(sio Asia, Afrika, Ulaya, Amerika nk)
Wayahudi walikua wakiamini katika Mungu wao na hakuwa Mungu wa watu wengine zaidi yao

UKRISTO
Alipokuja Yesu kwanza akatambua Mungu na hekaya za Kiyahudi kisha akaongezea za kwake….. na alipo fariki wafuasi wake wakamfanya kuwa Mungu wa wote,, Hapa ndipo Ukristo ukaanza kutoka kwenye asili ya uyahudi na kuanza kusambaa nje ya uyahudi
Na kwasababu Ukristo ulipata pingamizi sana Uyahudini ndio maana ulikita mizizi bara ulaya na kuonekana kama dini ya asili ya ulaya

UISLAM
Akaja Bwana Mudi pale Uarabuni, na yeye akautambua Uyahudi, akautambua Ukristo(Injili)lakini akachukua hekaya zao na kuzifanyia remix zikawa na version za kiarabu akidai original hekaya za kiyahudi na kikristo zimechakachuliwa
Akaongezea na mila na tamaduni za kiarabu kisha akajazilizia na hekaya zake kiutawala akapata UISLAM ndani ya UARABUNI(sio Afrika Asia Ulaya nk)

Uyahudi hadi leo hii ni dini ya wayahudi tu na ndio asili yao

Ukristo kwasababu ulisambaa sana ulaya umebeba nembo kama ni asili ya wazungu kwasababu walikuja kuutengeneza ukristo uliopo sasa kwa kutumia tamaduni na mila zao

Uislam ni dini ya asili ya kiarabu kwa maana ya kuanzishwa Uarabuni na kufuata kwa asilimia kubwa mila na tamaduni za kiarabu

Utakua na matatizo ukikataa kwamba uislam sio asili ya kiarabu ni sawa na ukatae Uhindu sio dini ya kiasili ya watu wa Asia ya uhindini

Kusambaa kwa dini fulani kulikua kunategemea na influence ya watu wa dini husika…. Ukristo na Uislam kwa kiasi kikubwa umesambazwa kwa nguvu za kivita na kiuchumi

Hata sisi waafrika tulikua na dini zetu kama zilivyokua zakwao ila kwasababu ya nguvu za kivita na uchumi(ukoloni) tumeaminishwa dini zao ndio bora
Shida unapotaka kulazimisha watu wafuate imani fulani kisa tu wao ni asili fulani, imani haipo hivyo. Imani sio sawa kabila kwamba kwa sababu baba yako ni msukuma basi na wewe kabila lako ni msukuma.

Hao waarabu walikuwa na imani za mababu zao pia kabla ya kuletewa uislamu na ndio maana kuna muda hadi panga zilitumika maana kuna waliyokuwa wakizuia huo uislamu kusambaa maana wenyewe walikuwa wanafuata imani za mababu zao.
 
Upo sahihi Babu yangu kule kisa Tukuyu alitoa eneo kwa hao jamaa wakamjengea nyumba nzuri kwa wakati huo na akawa dini yao na babu yangu wa kule Njinjo alipewa magunia kadhaa ya mpunga ili atoe mtoto wake akasome shule za mission ila alikua dini tofauti na wao baadae jamii ilitaka kumtenga kwa kufanya hivyo ikabidi akimbilie Mlandizi hapo kwa Matias na maisha yakaendelea mzee akapata Elimu nae akaja kuishi mbeya sisi tunaendelea kufata dini zao Mzala upo sahihi sana sema wengi hawakupata masimulizi ya kweli kutoka kwa Babu zao au baba zao..
Kwanini mnaona ni sahihi kufuata imani tu ambazo waliamini wazee wetu bila kufikiri kwamba hizo zilikuwa ni imani ambazo zilikuwepo katika wakati wao tu? Hata hao waarabu kama wasingeletewa uislamu pengine hadi sasa wangekuwa wanaabudu masanamu ndio zilikuwa imani za mababu zao pia.
 
Hakuna MUNGU.

Hakuna DINI sahihi.

Dini ZOTE ni UTAPELI.


Emancipate yourself from mental slavery.

Trash God.

Trash Religion.

Live free.
Hakuna live free hata wewe kuna mambo na mitazamo unalazimika kuishikilia kwa sababu ni atheist.
 
Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Achana na ujinga huo..
 
Back
Top Bottom