Niko njia panda, ushauri tafadhali

Niko njia panda, ushauri tafadhali

Na usiombee ukakutana na washauri mavi ndiyo wanazidishaga maumivu
Yani we acha kwakweli.usipousikiliza moyo wako na kutumia akil katika mahusiano maisha yatakuwa ya ajabu kabisa
 
Niko kwenye mahusiano na single mother yapata miezi mitatu Sasa, na lengo lilikuwa nimuoe. Huyu mwenzang naona kidogo hajatulia maana nilifuma SMS kwenye simu yake akiwa bado anaendelea kuwasiliana na mpenzi wake wa zamani nikauliza akapoa kidogo na kunambia kuwa jamaa amemtafuta kwa lengo la kumjulia hali. Ana mtoto mmoja mpaka sasa na umri wake ni miaka 20 hivi.

Wiki moja iliyopita sikuweza kuwasiliana nae ndani ya kama siku 5,maana kila nikituma SMS na ata nikimpgia simpati hewani nikashindwa kumuelewa kabisa. Siku ya jumatano alinipigia simu na kunijuza kuwa yuko Moshi kwa dada yake ikabid nimuulze ni kwa nini kaondoka bila kunipa taarifa lakin jibu lilikuwa "nimeondok ghafla pia nilishindwa kuja kukuaga sababu nilikuw busy,naomba unisamehe" kiukwel iliniuma sana nikaona sina thamani kwake kwa lolote lile. Lakini ikabidi nimsamehe tu baada ya kuzungumza nae.

Tangu niko nae amekuw ni mtu wa kutaka pesa tu kila wakati na jana kanipigia simu nimtumie elfu 80, nikauliza ni kwa ajili ya nini anasema matumizi,nikaona isiwe kesi hiyo pesa ntamtumia jioni. Imefika muda wa saa 10 Alasiri jana nikamjuza kuwa niko nje kidog ya mji na huduma za fedha uku ni ngumu kidogo hivyo anivumilie mpaka leo asubuh ndipo nimtumie. Lakini akajibu kwa jazba"najua hunipendi najipendekeza kwako ndo maana unashindwa nitatulia shida zangu kwa wakati" Wakuu nahisi kichwa kinaanza kuuma kwa mbali nikaona hii sehemu nilipo si sahihi hata kidogo,nikatoa laini ile hewani nikaweka laini mpya hivyo mawasiliano yakaishia jana jioni.

Asubuh kaja rafiki yangu ananijuza kuwa yule binti amempigia na kumuuliza kwa nin sipatikani ama niko na mtu mwingine na tangu yeye kaondoka labda kuna mtu alishawahi kuja kwangu na mambo mengi.

Sasa niko njiapanda nimtafute ama niachane nae,msaada tafadhali.
Mkuu mbona ukweli upo wazi hapo bi dada ashakumwaga ila anataka hela yako tu! Kama umeamua kukata mawasiliano nae basi songa mbele usirudi nyuma
 
Mambo hayo ya mapenzi mtajuana wenyewe, mimi niliwahi kuwa kweny mahusiano na mwanamke mzuri ila mchinaji balaa, ndugu zangu wa karibu walikuwa wananishauri sana, but sikuelewa na nilikuwa narudi kumwambia, mpk siku moja nilipopata akili mwenyew, nikamwacha, na yeye akakubali kirahisi tu. Ukiwa na mwanamke anaanza kukupa majukumu mengi utadhani wew mzazi wake, ni bora uachane naye mara moja.
 
Eti unataka kuoa single maza

Unakichaa

Mleta mada Ni Fara..kashasema huyo Mwanamke amekuwa Ni mtu wa kutaka hela MUDA wote...halafu kajamaa hakajishtuka Kama kanachunwa tu halafu wanaume wenzake wanatom**..pumbav sn mleta mada
 
Niko kwenye mahusiano na single mother yapata miezi mitatu Sasa, na lengo lilikuwa nimuoe. Huyu mwenzang naona kidogo hajatulia maana nilifuma SMS kwenye simu yake akiwa bado anaendelea kuwasiliana na mpenzi wake wa zamani nikauliza akapoa kidogo na kunambia kuwa jamaa amemtafuta kwa lengo la kumjulia hali. Ana mtoto mmoja mpaka sasa na umri wake ni miaka 20 hivi.

Wiki moja iliyopita sikuweza kuwasiliana nae ndani ya kama siku 5,maana kila nikituma SMS na ata nikimpgia simpati hewani nikashindwa kumuelewa kabisa. Siku ya jumatano alinipigia simu na kunijuza kuwa yuko Moshi kwa dada yake ikabid nimuulze ni kwa nini kaondoka bila kunipa taarifa lakin jibu lilikuwa "nimeondok ghafla pia nilishindwa kuja kukuaga sababu nilikuw busy,naomba unisamehe" kiukwel iliniuma sana nikaona sina thamani kwake kwa lolote lile. Lakini ikabidi nimsamehe tu baada ya kuzungumza nae.

Tangu niko nae amekuw ni mtu wa kutaka pesa tu kila wakati na jana kanipigia simu nimtumie elfu 80, nikauliza ni kwa ajili ya nini anasema matumizi,nikaona isiwe kesi hiyo pesa ntamtumia jioni. Imefika muda wa saa 10 Alasiri jana nikamjuza kuwa niko nje kidog ya mji na huduma za fedha uku ni ngumu kidogo hivyo anivumilie mpaka leo asubuh ndipo nimtumie. Lakini akajibu kwa jazba"najua hunipendi najipendekeza kwako ndo maana unashindwa nitatulia shida zangu kwa wakati" Wakuu nahisi kichwa kinaanza kuuma kwa mbali nikaona hii sehemu nilipo si sahihi hata kidogo,nikatoa laini ile hewani nikaweka laini mpya hivyo mawasiliano yakaishia jana jioni.

Asubuh kaja rafiki yangu ananijuza kuwa yule binti amempigia na kumuuliza kwa nin sipatikani ama niko na mtu mwingine na tangu yeye kaondoka labda kuna mtu alishawahi kuja kwangu na mambo mengi.

Sasa niko njiapanda nimtafute ama niachane nae,msaada tafadhali.
Mkuu mbona ukweli upo wazi hapo bi dada ashakumwaga ila anataka hela yako tu! Kama umeamua kukata mawasiliano nae basi songa mbele usirudi nyuma
 
Mapenzi yanaumiza sana iwe ni kwa singo mama,singo baba au au mtu mwingine

Unaweza kupewa ushauri lakini kumbe bdo unampenda.

Chukua ushauri mzuri utakaopewa,sikiliza moyo wako,fanya maamuzi sahihi.

Pole sana.
Hapo "singo baba"
 
Mambo hayo ya mapenzi mtajuana wenyewe, mimi niliwahi kuwa kweny mahusiano na mwanamke mzuri ila mchinaji balaa, ndugu zangu wa karibu walikuwa wananishauri sana, but sikuelewa na nilikuwa narudi kumwambia, mpk siku moja nilipopata akili mwenyew, nikamwacha, na yeye akakubali kirahisi tu. Ukiwa na mwanamke anaanza kukupa majukumu mengi utadhani wew mzazi wake, ni bora uachane naye mara moja.
Shukran kwa ushauri mkuu
 
Mleta mada Ni Fara..kashasema huyo Mwanamke amekuwa Ni mtu wa kutaka hela MUDA wote...halafu kajamaa hakajishtuka Kama kanachunwa tu halafu wanaume wenzake wanatom**..pumbav sn mleta mada
Fala hawez kuleta mada jukwaani,labda aliye comment anajijua kuwa ni fala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom