Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Hi ni kweli kabisa,
Wana JF! Imenitokea na sasa niko njia panda. Ni hivi! Kuna binti mmoja kaajiriwa hapa ofisini. Wakati anaajiriwa nilikuwa sipo karibu. Niliporudi binti wa watu akawa keshajichanganya na staff. Haikupita mda naye akawa keshanizoea. Kuna safari ya kiofisi kama siku 6 hivi tulisafiri kama team. Niliporudi kukawa na kisukununu kishamwambia mke wangu kuwa namchakachua kuku mgeni. Kiukweli sijawahi kufanya lolote na huyu binti. Mama amekuwa mkali ile mbaya ooooooooooh wewe unamduu yule binti. Siku moja kamvizia akamwambia achana na mume wangu. Binti wa watua akashangaa! Muda ukapita kazi zikasonga mbele. Sasa wafanyakazi nao wameanza huyu anatunguliwa na mkuu wa kitengo! Kisa kila kitu kabla hajaamua ama kupitisha lazima aombe ushauri kwangu. Habari imefika tena kwa waziri wa mambo ya ndani kuwa sasa wamethibitisha kuwa ni kweli! Still sio kweli kuwa nimeshafanya uchafuzi!
Binti kasikia na kanieleza! Rafiki yangu hapa kazini naye kanieleza yanayojiri department nyingine kuwa naharibu mchumba wa mtu mtarajiwa. Waziri wa mambo ya ndani kashikilia bango kwa mda sasa na kila jioni lazima aje kunipitia tuongozane home hata kama ni saa sita. Hali hii inanikera sana. Natamani nifanye termination ya huyu binti ili akatafute kazi pahala pengine lakini naona ka sitomtendea haki!
Nimekaa na mke wangu na kumweleza ukweli lakini kaziba maskio. Juzi tu nilijaribu kuwaita rafiki zangu tuongee naye kuhusu hili. Rafiki walishauri naye binti aitwe lakini wife alipomwona tu akakataa kata kata kukaa naye meza moja.
Shetani wangu sasa nananituma nikate mzizi wa fitna! ETI KWA KUWA NIMEITWA MWIZI NAMI SIO MWIZI BASI NIIBE ILI NIHUKUMIWE KWA NILICHOFANYA NA SIO KUHISIWA TU!
JE NIMALIZIE WALICHOKITAKA AMA NIACHE TU SHETWANI APITE!
Wana JF! Imenitokea na sasa niko njia panda. Ni hivi! Kuna binti mmoja kaajiriwa hapa ofisini. Wakati anaajiriwa nilikuwa sipo karibu. Niliporudi binti wa watu akawa keshajichanganya na staff. Haikupita mda naye akawa keshanizoea. Kuna safari ya kiofisi kama siku 6 hivi tulisafiri kama team. Niliporudi kukawa na kisukununu kishamwambia mke wangu kuwa namchakachua kuku mgeni. Kiukweli sijawahi kufanya lolote na huyu binti. Mama amekuwa mkali ile mbaya ooooooooooh wewe unamduu yule binti. Siku moja kamvizia akamwambia achana na mume wangu. Binti wa watua akashangaa! Muda ukapita kazi zikasonga mbele. Sasa wafanyakazi nao wameanza huyu anatunguliwa na mkuu wa kitengo! Kisa kila kitu kabla hajaamua ama kupitisha lazima aombe ushauri kwangu. Habari imefika tena kwa waziri wa mambo ya ndani kuwa sasa wamethibitisha kuwa ni kweli! Still sio kweli kuwa nimeshafanya uchafuzi!
Binti kasikia na kanieleza! Rafiki yangu hapa kazini naye kanieleza yanayojiri department nyingine kuwa naharibu mchumba wa mtu mtarajiwa. Waziri wa mambo ya ndani kashikilia bango kwa mda sasa na kila jioni lazima aje kunipitia tuongozane home hata kama ni saa sita. Hali hii inanikera sana. Natamani nifanye termination ya huyu binti ili akatafute kazi pahala pengine lakini naona ka sitomtendea haki!
Nimekaa na mke wangu na kumweleza ukweli lakini kaziba maskio. Juzi tu nilijaribu kuwaita rafiki zangu tuongee naye kuhusu hili. Rafiki walishauri naye binti aitwe lakini wife alipomwona tu akakataa kata kata kukaa naye meza moja.
Shetani wangu sasa nananituma nikate mzizi wa fitna! ETI KWA KUWA NIMEITWA MWIZI NAMI SIO MWIZI BASI NIIBE ILI NIHUKUMIWE KWA NILICHOFANYA NA SIO KUHISIWA TU!
JE NIMALIZIE WALICHOKITAKA AMA NIACHE TU SHETWANI APITE!