The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
uuuwiiii nalionea huruma hilo tumbo na figo zako..
Maana hizi pombe za kwetu ukiwa unakunywa kama maji
na yenye inakukunywa wewe nje mpaka ndani ...lol
yah!!!! Yeye ameamua festive season yote atakuwa anakagua ikifika january most probably atakuwa ame expire
hahahahahaha lol eti ame expire tf wewe aaaaa...
Halafu nani atachukua family business ???
nitatengeneza cocktail ya long island ice tea na bura you will like it lol!!!!!!!!!!!
hahahahahah lol
huo mchanganyiko wa hizo light gine na mavodka na bura(pombe ya mahindi)
mmmhhhh hatari..
Hii hata wataalum wa vergas hawajawahi ona hahhahahhahah lol
itabidi we unywe kwanza na kama tumbo halija koroma
basi na mi nta kunywa otherwise si gusi hahahah lol
definately it will be me lakini mimi ni genuine tofauti na babu kwahiyo siwezi ku-expire life time guarantee
hahahahahh lol
pole kwa ni babu haachi ngazi mpaka kieleweke...
Naoana huu utakuwa uchaguzi tena..
Ninachosubiri ni mtu achakachue kura tu ...lol
i tell you unaweza kufa au kulala mwaka mzima haujaamka
babu mbishi yule kama mkorea
hahhahah lol wakorea wapole hivyo lol
nakwambia hii kazi alianza yeye na yeye ndo atamalizia..lol
hahhahah lol wakorea wapole hivyo lol
nakwambia hii kazi alianza yeye na yeye ndo atamalizia..lol
ila namtafutia dawa yake soon ataacha hiyo tabia
yule mmmmhhh anadawa zote za kupangua...
We hata ulete dawa imetengenzwa kwenye moon atapangua tu...
Hahhahaha lol
halafu mbona nahisi kama vile niko chat room lol!!!!!!!!
nitamletea za kichina ili zimuharibu aache hiyo tabia
hahahh lol si situnaanzishaga chatroom kokote tu lol..
Wajuu wote wako holiday ..wangekuwepo hapa ..
Tungesha weka page zaidi ya 200 lol
acha hizo za kichina china.. Hazifanyi kazi..
Labda jaribu za kizungu zungu lol
umeona eheeeee
HUYU NAMBA NNE NAONA ANACHUNGULIA TU