Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,504
Hilo nalo neno,isije kuwa yaleyale ya mia 9 itapendeza zaidiHahaha hapa kwa kweli sitii neno, ni bora baiskeli uliyonayo kuliko gari uliyoahidiwa
Hilo nalo neno,isije kuwa yaleyale ya mia 9 itapendeza zaidiHahaha hapa kwa kweli sitii neno, ni bora baiskeli uliyonayo kuliko gari uliyoahidiwa
Hilo nalo neno,isije kuwa yaleyale ya mia 9 itapendeza zaidi
Kweli kabisa,heri moja shika kuliko kenda nenda rudi!
Hachelewi kusema alimaanisha ni zile BMW wanazochezea watoto ndo alizomaanisha.
Hahaha na kweli, nimesoma kwa makini sana iyo aya ya mwisho ndo nikagundua kumbe kamuahidi ufunguo wa BMW na wala sio gari yenyewe. Jamaa janja sanaKweli kabisa,heri moja shika kuliko kenda nenda rudi!
Bahati nzuri mshiki wako naye kashtukia hiyo janja,naona hajatia neno kabisa!Hahaha na kweli, nimesoma kwa makini sana iyo aya ya mwisho ndo nikagundua kumbe kamuahidi ufunguo wa BMW na wala sio gari yenyewe. Jamaa janja sana
niambie my dear
wooow, i must be a luckiest woman ever maana naona duuuh hilo BMW nitahitaji ulinzi kabisaAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Niko kwenye maandaliz ya kuandaa sherehe ya siku ya kuzaliwa ya baby wangu jjes
December 16 ndo ulizaliwa na ndo utaongeza na kutimiza miaka kazaa
Nakuombea hiyo tarehe ufike ukiwa salama na mzima wa afya jaman baby wangu jje's
Jiandae kupokea ufunguo wa BMW siku hiyo maana ndo zawad niliyokuandalia kipenz
View attachment 628111
LONDON BABY
aje kufanya nini jaman? acha hizoKichwa Kichafu bebi njoo huku
my kaka, si unajua ile mbusi ya msacha ushakamata? sitaenda pengine vingine ni mbwembwe tu
my mdogo mambozNapita
umeonaaeeee, wachaga wana disipiline ujueYaani hata baada ya kuona mkoko uliaandaliwa kwa mshiki wako bado umeshindwa kutia neno kabisa? Au yule hunter keshakumalizia mahali nini?
duuuh kaka yangu, ni maandalizi amefanya in advance jamanHahaha hapa kwa kweli sitii neno, ni bora baiskeli uliyonayo kuliko gari uliyoahidiwa
Hii ahadi ni mwaka jana ujue, mbona sijaona hata alama za tairi mshiki oko.wooow, i must be a luckiest woman ever maana naona duuuh hilo BMW nitahitaji ulinzi kabisa
asante dear maana sio kwa maandalizi ya mapema hivi loooh asante sana