Ngoja waje kukupa muongozo...
chalinze uliza pale wenye suti nyeupe hupenda kula na kupumzika kaunganeni
Hivi chalinze kuna sehemu za bata kweli?
Fafanua mkuu
Hello JF,
Niko nafanya tour. Tumeshuka hapa na private tunaelekea Dar for sikukuu lakini naona pamepoa kiaina.
Wenyeji mnishauri niende wapi.
- Kiwanja kizuri cha kustarehe
- Kiwanja cha pombe kizuri
- Kiwanja cha misosi hatarii
- Sehemu nyingine amazing n.k
Niwekee code
#+255
# -OH
nk
Hapo bondeni Travellers karibu na White Inn HotelHello JF,
Niko nafanya tour. Tumeshuka hapa na private tunaelekea Dar for sikukuu lakini naona pamepoa kiaina.
Wenyeji mnishauri niende wapi.
- Kiwanja kizuri cha kustarehe
- Kiwanja cha pombe kizuri
- Kiwanja cha misosi hatarii
- Sehemu nyingine amazing n.k
Niwekee code
#+255
# -OH
nk
Nlitaka mwambia pia hapo,stendi ya tanga kwa mbele atakutana na travellerHapo bondeni Travellers karibu na White Inn Hotel
Mbuga ile kaka digidigi kama woteNlitaka mwambia pia hapo,stendi ya tanga kwa mbele atakutana na traveller
Ova