Niko Babati Manyara, nipeni chimbo la bata

Niko Babati Manyara, nipeni chimbo la bata

Huu sio muktadha wa kuulizana machimbo ya bata kenge wewe. Nchi ipo kwenye paniki wewe unaulizia bata? Hata hao bodaboda wa manyara nenda nao taraibu wakijua umeendekeza bata kipindi wanaweza wakakutia mtaroni makusudi.
 
Huu sio muktadha wa kuulizana machimbo ya bata kenge wewe. Nchi ipo kwenye paniki wewe unaulizia bata? Hata hao bodaboda wa manyara nenda nao taraibu wakijua umeendekeza bata kipindi wanaweza wakakutia mtaroni makusudi.
Unataka kusema hata mume na mke wameacha kunyanduana kwa vile nchi ipo kwenye panic mode?

Mkuu, pamoja na majanga tunayopitia, vitu kama kula, kwenda chooni, kunyanduana haviepukiki.
 
Unataka kusema hata mume na mke wameacha kunyanduana kwa vile nchi ipo kwenye panic mode?

Mkuu, pamoja na majanga tunayopitia, vitu kama kula, kwenda chooni, kunyanduana haviepukiki.
Hhahah nazungumzia hiyo ya kwenda kujirusha kama sherehe asee. Mume na mke hiyo ni wajibu sio starehe.
 
Back
Top Bottom