kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,683
- 14,868
Hebu kama hujawahi kuupanda na huna tatizo lolote lile kiafya...Do it!!
Kila mtanzania na Mwana Afrika Mashariki yeyote yule anastahili kufurahia....
Kila mtanzania na Mwana Afrika Mashariki yeyote yule anastahili kufurahia....
Wadau!!
Kutokana na Maoni na maombi ya watu wengi, ni kweli kuupanda mlima Kilimanjaro, kwa mtanzania kama mtu binafsi ni gharama sana.
Niliwahi kuja na wazo humu la kujikusanya watu mbalimbali wenye nia yakupanda Mlima Kilimanjaro kwa lengo lakupunguza gharama, zoezi lile alilichukua Mike Mushi(jamiiforums) kwa lengo yakuliboresha zaidi lakini sikujua limefikia wapi mpaka sasa. Bado tunaweza kuandaa huu mpango ukakaa vizuri. Na hili likafanikiwa...
Stay tuned nikizungumza na Mike Mushi nitarejea kwa mchakato kamili.