Ya waethiopia kuamini kutawala Tanganyika in future na pete ya mfalme suleiman mlima kilimanjaro

nzagambadume

JF-Expert Member
Apr 9, 2018
2,430
5,769
yaani huko hadi kuna wakuu wa wilaya wanahangaika kufanyia kazi ile kauli iliyosema.NYIE WA KASKAZINI MAENDELEO YAMETOSHA NI ZAMU YA KUSINI,NYIE SUBIRINI..he njemba zikakaza za huko mwika zikachanga mamilioni kujenga barabara,mkuu wa wilay anazuia,huko siha ni vituko wafanyabiashara wanakimbia sababu ya vituko vya mkuu wa wilaya,hadhi ya jiji imenyimwa tumeambiwa tusahau eti
SASA MSHINDWE KWA JINA LA JEHOVAH PALE KUNA BARAKA KUBWA SANA TOKA MBINGUNI
Mfalme suleimani a.k.a solomon alikuwa na busara sana alizopewa na Mungu basi wengi duniani walisafiri kwenda kuchota hekima zake mmojawapo ni mwanamama MALKIA WA SHEBA toka Ethiopia au Cush.Alipofika Jerusalem wakapendana na mfalme solomon wakafanya sex ,mwanamama akarudi Ethiopia na mimba yake lakini jamaa alimpa zawadi nyingi sana ikiwemo pete.
Mtoto alizaliwa akaitwa Menelik au Ibn Malik kwa kiarabu,menelik alisafiri hadi jerusalem kumasalimu baba yake ambaye inasemekana walikuwa wamefana sana ingawa dogo alikuwa ni chotara,baba alifurahi sana alipomuona Menelik kavaa ile pete aliyompa Malkia wa Sheba yaani mama yake.
Legends za ki ethiopia zinadai Menelik alipewa AGANO LA AHADI na Mfalme solomoni akalipeleka Ethiopia ,wengine wanadai aliliiba na kumsononesha sana baba yake maaaana lililmaanisha big deal kwa waisrael
Hata leo hii kuna madai kwamba hilo ARK OF CONVENANT lipo Ethiopia
Legends hizo za Kiethiopia zinadai wakati fulani Menelik alipotea njia na kutokezea Mlima kilimanjaro,wengine wanadai alipigana vita na ku conquer somalia,kushuka na tana river hadi northen tanganyika,kumbuka hii ni story ya miaka 3000 iliyopita,baridi ilimzidia akaumwa na kufariki huko mlimani ,akawaambia wasaidizi wake na slaves wake,NILIZALIWA MFALME,NIMEISHI KIFAME NITAKUFA KAMA MFALME,akapanda hadi crater ya mt kilimanjaro na kufia huko,tangu miaka ya zamani mnooo wachaga walikuwa na imani kwamba ule mlima ni kaburi la mfalame mkubwa,wengine wanaamini ni mlima wa Mungu, KILEMA KYARO,Menelik akazikwa na wasaidizi wake,legends hizo za ki ethiopia zinadai atakayefanikiwa kuupata mwili wa Mwana mfalme huyo na kuipata ile pete ya mfalme solomon na kuivaa atakuwa na hekima kama za suleiman na nguvu kama za menelik
kwa wale wanaobisha zaidi,ni kwamba story za mlima kilimanjaro zilishaandikwa tangu karne ya pili yaani second century kabla hajazaliwa Yesu,ziliandikwa na mwanafalsfa aitwaye PLOTEMY ambaye inaaminika alizijulia kutokana na maandiko ya wamisri haswa pharao Hashesput
hadi leo waethiopia wanaamini ipo siku mrithi wa meneliki atarudi mlima kilimanajro kuufata mwili wake,wengine wanaamini ethiopia itakuja kuitawala tanganyika kuanzia mlima kilimanjaro hadi river rufiji kutimiza lengo la menelik the first ingawa hiyo sijui ikoje maana ufalme wao ulishia kwa Haile sellasie.


>>>>>>NARUDIA TENA,PETE BADO IPO KULE JUU,ENDELEENI NA MACHUKI YENU YANA BOUNCE TU ||||||||||||||
King Menelik I: legendary ascender
According to legend, the first person to ascend Mount Kilimanjaro was King Menelik I, supposedly the son of King Solomon and the Queen of Sheba. He ruled the Axumite Empire in what is now northern Ethiopia in the 10th century BC, and fought battles in present-day Ethiopia, Somalia, Kenya and Tanzania. As an old man, returning with the spoils of war, he camped between the peaks of Kibo and Mawenzi, at a height of 4,500 metres (14,760ft). Feeling that death was drawing near, he told his followers that he wished to die as a king. He, his warlords and slaves, laden with jewels and treasure, climbed to the crater, where he died.

The legend relates that one of Menelik’s offspring will return to the mountain, climb Kibo and find the king and his jewels. Among these will be the Seal of Solomon, a ring which will empower the wearer with the wisdom of Solomon. The legend was so firmly believed by the Abyssinian Christians that when The Revd Dr Reusch (a missionary who spent many years in the Kilimanjaro area, and who later became president of the Mountain Club of East Africa) reached the summit in 1926, many were deeply sceptical that he had reached the top as he found no trace of the long-dead king.
 
Huu Uzi si uliletwa Jana?
OK wacha nijiburudishe na SMS mwanana kutoka kwa Ansila binti wa Kichagga
There’s no way that your birthday can be as happy as you make me. But I hope it’s close!
Be who you are, because who you are is amazing. Happy birthday to my best friend and the father of my children!!
10/03/2019
 
Huko Mbeya, Ruvuma na Rukwa JPM hajawahi hata kutia mguu na hakuna miradi yoyote ya maana inayoendelea, lakini wazee wametulia tu wanamskikizia, atakwenda anga zao!
 
Mara chuki kati ya mkuu wa wilaya na wafanyabiashara mara kutawaliwa na waethiopia mara Meneliki mara mfalme Suleiman mara pete ya ajabu mara mlima kilimanjaro ni kaburi
Aaaaahh....! mbona umepuyanga sana
 
Huyu ni Yohane lauwo alizaliwa 1872 na kufariki 1996 akiwa na miaka 125,mzungu hans meyer alipofika kileleni 1889 huyu jamaa akiwa na miaka 17 ndiye alimpandisha huko baadaye dr Reuch the famous lutheran missionary na mkewe ambaye alikuwa mzungu mwanamke wa kwanza kupanda mlima huo walimtumia pia kama porter na guide,walishangaa sana kwamba wenyeji walikuwa wanapanda mlima bila climbing gear
wote hao walikuwa wanamuuliza lauwo kuhusu mwili wa maneliki akawa anawajibu hajawahi kusikia ila kuna wachaga wana imani kule kwenye crater ni kaburi la mfalme maarufu,chini ni picha ya Reuch na lauwo,huyo mzungu alishapandisha bendera siku mingi kabla hata ya nyirenda ingawa ilikuwa na ya kikristo
Capture.PNG
bendera.PNG
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    11.5 KB · Views: 35
Hekima zote za Afrika zipo kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro.
huwezi amini kuna watu wanabisha na kuiita chai,ngoja baadaye nitadadavua maandiko ya waethiopia yaitwayo KEBRA NAGAST,hadi leo wanayaamini vibaya mno,kilimanjaro,kilele cha kibo kimetajwa humo hadi mto mkubwa wa kusini ya rufiji wametaja huku,maandiko ya zamani mnoooooo
 
Huu uzi una vimelea vya ubaguzi na uchochezi.
kuna mambo ya jabu sana yanaendelea kule kiutawala ,yaani kuna watu wamedhamiria kuzuia maendeleo kwa namna yoyote ile,vunjo wamechanga wananchi bilioni 7 wajenge barabara bila kusubiri talanlila za ccm mtoto wa warioba hataki anakwamisha,huko hai ndo usiseme yule kijana wa uvccm aliyekamatwa arusha kwa kujifanya usalama wa taifa kapewa rungu la ukuu wa wilaya ni kasheshe lakini watashindwa tu KUNA SEAL OF SOLOMON kule crater.KILIMANJARO OYEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Jiulize ni kwa nini walipeleka mwenge kule kileleni;

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wafatiliaji wa alliens na UFO watakuwa wanajua vile vi flying saucer vikitua mahali au vi ki hoover mahala kuna sababu kubwa,kwa east africa hadi leo ushahidi ni wa UFO yenye shape ya sigara iliyoonekana mlima kilinajaro mwaka 1951,why mount kilimanjaro?ikumbukwe spiritual people wengine wanakuambia wafalme wa zamani walikuwa ni alliens,pharaos ni alliens,wengine wanasema Mungu ni allien hata akiongea na musa kama burning bush ilikuwa ni UFO,Eliya alipaishwa na UFO and so on,hizo ni imani zao ila all in all Alliens wako mbele yetu kiakili na kiteknolojia mara milioni 100..1951 WALIKUWA WANATAKA NINI MLIMA KILIMANJARO,na siyo ilikuwa inapita ilikuwa ina hoover for almost 20 minutes,WHY?

1951: Cigar-shaped UFO over Mt. Kilimanjaro – Think AboutIt – REAL
UFO.PNG
 
Now ask your self why?
Kwa wale wafatiliaji wa alliens na UFO watakuwa wanajua vile vi flying saucer vikitua mahali au vi ki hoover mahala kuna sababu kubwa,kwa east africa hadi leo ushahidi ni wa UFO yenye shape ya sigara iliyoonekana mlima kilinajaro mwaka 1951,why mount kilimanjaro?ikumbukwe spiritual people wengine wanakuambia wafalme wa zamani walikuwa ni alliens,pharaos ni alliens,wengine wanasema Mungu ni allien hata akiongea na musa kama burning bush ilikuwa ni UFO,Eliya alipaishwa na UFO and so on,hizo ni imani zao ila all in all Alliens wako mbele yetu kiakili na kiteknolojia mara milioni 100..1951 WALIKUWA WANATAKA NINI MLIMA KILIMANJARO,na siyo ilikuwa inapita ilikuwa ina hoover for almost 20 minutes,WHY?

1951: Cigar-shaped UFO over Mt. Kilimanjaro – Think AboutIt – REAL
View attachment 1042426

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom