Nikiwa na 9m naweza pata harrier?

Nikiwa na 9m naweza pata harrier?

Harrier unayoitaka mkuu hauwezi pata kwa chini ya 19m tena hiyo ni kwa mtu iliyopata ajali labda ununue 6cylinder ndio cheap kidogo
 
Unaweza kutafuta moja kwa moja toka minada ya Japan.

Mimi nimeshaagiza na bei kama hiyo unaweza pata. Condition yao ni kuwa kabla hujaingia kwenye mnada u deposit $1000.

Log in kwenye website hii:

http://www.thljapan.com/Customers/MyAuctions.aspx

Username:tanzania@japantradecar.com

Password:tanzania

Hawa ni waaminifu kabisa. Kwa bei hiyo ni lazima uchague ya kabla ya 1999. Best wishes.
 
njoo kampala,utapata ..ni e_mail..
 
Nahisi unatafuta engine ya harrier au bodi ya harrier,
But harrier nzima huwezi kupata.
Sanasana unaweza kuipata but bei + matengenezo inazidi hata ambayo ungeipata imported.
Otherwise unaweza kushawishika kuagizia mitandaoni kama tradecarview but mkuu kule usalama wa fedha zako ni 50-50
 
Haina utapeli mkuu?
We ushapata yako?
Maana hiyo kampuni ni ngeni masikioni na machoni mwa wengi!!

Ina representatives hata Tanzania. Mie nilishaagiza gari toka kwao na mnada wao naangalia kila siku.
 
to be precise, huwezi kupata kwani hakuna harrier ya cc 2000

Ila kama utataka ya 2200 au 3000cc then lazima uongeze pesa, hawezekani

labda kama unataka scraper kwa ajili ya kutengenezea majiko
 
Na mimi Terios (Daihatsu) niandae shilingi ngapi?
 
Ina representatives hata Tanzania. Mie nilishaagiza gari toka kwao na mnada wao naangalia kila siku.

Nimeipata,
But exchange ya Yen/$ ni 20, ha?
Na huu mnada ukoje sasa?
Yaani bei zilizoko zinaendaje?
Na unafungwa baada ya muda gani?
 
ni Pm mkuu, ipo nzuri sana hapa, inauzwa kwa 14m. Serious!
 
Back
Top Bottom