Nikiwa mdogo, niliamini nchi yetu haina udini lakini nilipofika shule ya Advance Imani hiyo ilitetereka. Udini upo hasa kwenye nafasi Nyeti

Nikiwa mdogo, niliamini nchi yetu haina udini lakini nilipofika shule ya Advance Imani hiyo ilitetereka. Udini upo hasa kwenye nafasi Nyeti

Hamjambo wote!

Ni ngumu Sana kuitenga Dini na Siasa. Ngumu Sana.

Ikiwa nchi inawananchi wengi wanaoamini katika Miungu na Dini huwezi kutenganisha siasa na Dini.
Ndio maana wanasiasa katika nchi zenye kuamini Miungu na Dini watanyumbulika watakavyo nyumbulika, watakukuruka watakavyo kukuruka ila mwisho wa siku utawakuta wamekimbilia kwa Waganga wa jadi huko, au utawakuta misikitini au kwenye Makanisa, au mahekalu.

Nchi ambayo wananchi wake hawaamini katika Miungu na Dini kabisa ndio haiwezekani kuchanganya Dini na Siasa. Kwa sababu Dini au miungu hiyo haina athari yoyote kiushawishi.

Ni kweli kuchanganya Dini na siasa ni hatari kwani uwezekano wa kuleta ubaguzi na tabaka ndani ya nchi huweza kutokea ndani ya taifa. Na hiyo itasababisha migogoro inayoweza kupelekea Vita ndani ya taifa.
Dini yenye waumini wengi na wenye nguvu ya kiuchumi wanaweza kutumia dini kama advantage ya kutawala na kuumiza wale ambao wapo wachache.

Katika taifa letu kuna dhana ambayo binafsi sifikirii kama ni yakweli ingawaje mtaani kwa wengi ni kama dhana inayokubaliwa na wengi na hiyo kufanya kuwa sehemi ya utamaduni wa nchi hii. Dhana hiyo ni Mtawala namba Moja lazima awe Muislam au mkristo wa dhehebu la Roman Catholic. Hivyo wanapokezana akitoka muislam anaingia Mkatoliki. Hivyohivyo.

Dhana hiyo haipo kisheria na kikatiba haikubaliki. Ila hiyo haimaanishi kwamba Jambo lisilokuwepo kisheria au kikatiba kuwa haliwezi kuwepo. Dhana hiyo ni moja ya mambo yanayoelezea kuchanganya Dini na siasa au Siasa na Dini.

Kwa jamii kama Tanzania, linapokuja suala la uongozi sio rahisi kutenganisha Dini na Siasa.

Nilipokuwa mdogo niliamini kwa kusikia viongozi wakisema taifa letu halina udini. Nikaamini! Lakini Imani yangu ilianza kutetereka nilipofika Advance. Nikiwa kidato cha tano niliingia kwenye siasa za chuleni. Nikiwa miongoni mwa waliogombea nafasi ya viongozi.

Nikiwa Newcomer, mwanafunzi mpya niliyehamia shule Ile, niliikuta shule ikiwa katika harakati za uchaguzi wa viongozi wapya kwani kidato cha sita walikuwa wapo mbioni kuhitimu.

Katika hesabu zangu nami nikaona nichukue Fomu, ingawaje sikuwa maarufu na wala siku na ushawishi Mkubwa kutokana na ugeni. Fikiria mwanafunzi anawiki mbili tuu anachukua Fomu ya uongozi akichuana na Wanafunzi wenzake wenye zaidi ya miezi Saba.

Sasa wakati wa kampeni ndipo nikagundua kuwa kumbe kuna ishu ya Udini ambayo ni kete Muhimu Sana kwenye ushindi wa wagombea. Mimi ni Msabato, Mkristo. Mbele yangu nakabiliana na Muislam ambaye anajina kubwa la heshima kwa cheo cha Ostadh.

Ambaye wote tulikuwa kidato cha tano.

Wanafunzi wa O Level ndio walikuwa wengi Sana. Kushinda wa Advance.
O Level walikuwa kama 800 hivi, wakati A Level tukiwa hatufiki 150.

Waislam walikuwa wengi O level Karibu robo tatu iliyobaki ndio wanagawana Wakristo.

Advance Wakristo tulikuwa Wengi karibu Robo tatu yote tulikuwa Wakristo tukiongozwa na Wakatoliki.

Kama uchaguzi ungeitishwa kidini ni wazi ningeshindwa mapema Sana.

Hapo nimeeleza wapiga Kura ambao ni Sisi wanafunzi.

Kwa upande wa uongozi wa shule yaani Waalimu, kuanzia Mwalimu Mkuu, Msaidizi, Mwl. Taaluma, Mwl. Nidhamu hao walikuwa Wakristo huku Robo tatu ya Waalimu wote wakiwa ni Wakristo.

Kama hawa ndio tume ya Uchaguzi na uchaguzi ukiwa na mrengo wa kidini ni wazi ningeshinda.

So kimahesabu ilikuwa hivi; Tume imeshikiliwa na Robo tatu wakristo.

Wapiga Kura Robo tatu ni Waislam
Wagombea ni muislam na Mkristo!

Unafikiri nini kilitokea? Nani angeshinda hapo?

Wakati unaenda kuchukua fomu kuna Usaili wa kujieleza kwa kingereza Mbele ya Baraza la waalimu. Unajieleza kwa nini unania ya kugombea na utafanya nini. Kisha wanakuuliza Maswali.

Sijui ilitokea kinasibu au ilikuwaje. Viongozi wote wa kidini isipokuwe UKWATA tulikuwepo kwenye kugombea Uongozi wa shule. Sasa sijui ilikuwa powermonger au kitu gani

Mimi nilikuwa Mwenyekiti wa ASSA(Wasabato)

Mpinzani wangu alikuwa mwenyekiti wa KIMSYA(umoja wa wanafunzi wa sekondari waislam).
Headboy alikuwa mwenyekiti wa TYCS, Wakatoliki.

Academic Alikuwa mwenyekiti wa Shahidi wa Yehova.
Chakula, alikuwa Mhazini ASSA
Na wengineo.

Ukishakuwa kiongozi hasa wa ngazi ya juu kwa level ya wanafunzi kupewa mialiko ni Jambo lisiloepukika. Hivyo Leo utakuwa ukwata, Kesho utakuwa Kimsya, Kesho kutwa TYCS, mtondogoo Casfeta n.k
Nitaeleza baadaye mialiko hii inahusiana na hii mada.

Ikatokea sintofahamu, Mgombea wa U-headboy akajiengua kwa madai ya kutoamini mchakato na kuona Wakristo wanapendelewa. Basi kukawa na vuguvugu kubwa Sana. Kumbuka O level wengi ni Waislam kumaanisha Mji ule wengi ni Waislam kwani O level ilikuwa Day huku Advance tukiwa tumetokea Mkoani.

Mchakato wa uchaguzi ukasimama, ni kama ukaahirishwa.
Baadaye ukarudi baada ya Mgombea mwingine wa U headboy kujitokeza. Huyu alikuwa Mkatoliki pia.
Hivyo kwenye nafasi ya U headboy mambo yakawa sio magumu kivile. Yaani hapakuwa na ushindani.

Kimbembe kikabaki kwa kiongozi wa Chakula, kiongozi wa taaluma, na Mimi Kiongozi wa Nidhamu. Mnaweza kwa sehemu kuelewa why hata mada zangu nyingi zipo kinidhamu nidhamu, maadili this, uadilifu that😂😂. Nafikiri nimeathirika kisaikolojia.

Kampeni zikaanza upya, zile za Kwanza zikafutwa.
Uzinduzi wa Kampeni. Shule nzima ipo paredi. Kisha wagombea mmoja baada ya mwingine mnapanda kujinadi mbele ya shule.

Hapo inahitaji kujiamini.
Uwezo mzuri wa kuongea na ushawishi
Wapambe!

Sasa mimi ni Mgeni, bado watu hawajanizoea, na kuhusu kuwazoea lilikuwa jukumu langu hasa nyakati kama zile nikihitaji Kura.
Kujiamini najiamini, kama ujuavyo vijana wakisabato tumezoeshwa kuhubiri mbele za watu wengi. Hivyo kusimama mbele za watu sio tatizo.

Kuongea, Mimi sio Mwongeaji Mzuri. Kwanza Ninaongea kwa upesi, hali inayopelekea kukosa utulivu na kuna muda Nina kigugumizi.

Ninaongea bila kumaliza sentensi huku nikiamini wasikilizaji wameshajua ninachotaka kukisema
Ninaongea kwa kuuliza swali kisha ndio niongee.

Mfano, unajua nini? Kisha naongea, ninataka kusemaje? Kisha ninaongea.

Changamoto hizo katika umri ule nilizigundua baada ya ule uchaguzi. Nilikuwa najiuliza kwa nini nikiongea watu wanacheka.

Siku Moja kwenye talent day, dogo mmoja wa O level alikuwa akiiga Sauti, ndipo alipokuwa akiongea ati anaongea kwa sauti yangu lakini maneno yake ndio yalivuta usikivu wangu na wanafunzi walikuwa wakicheka Sana huku wakinitazama.

Sikuwa suprise na mtu kuiga sauti yangu. Ila siku Ile ndio niligundua uongeaji wangu ni wakuuliza maswali na kuiacha sentensi imening'ia bila kuimalizia.

Jambo hilo nililifanyia KAZI. Ingawaje ilichukua Muda mrefu.

Nilikuwa na tatizo la kuongea upesi na kuandika harakaharaka.

Hili la kuandika haraka ilikuwa advantage kwa sababu mtihani wa masaa matatu ningeufanya kwa Lisaa limoja hivi na hilo lisingeathiri ufaulu wangu.

Lakini baadaye katika hili hasa nilipokuwa chuo nikaona haina umuhimu wa kuandika harakaharaka.

Turudi kwenye uchaguzi!

Tayari nimepewa vidokezo na dondoo za chini kwa chini za utamaduni wa shule Ile. Nishajua udini unasehemu kubwa katika kuchaguliwa hasa na O level ambao ni wengi.

Embu jiulize, nitatoboa?
Ungenishauri nitumie mbinu gani ili nishinde Kwa Kura katika Uchaguzi Ule?

Kwanza niwe muwazi, ukishaingia kwenye siasa mambo mengi hubadilika. Hasahasa suala la mtazamo.
Kabla, nilikuwa mtu wa kuamini katika Haki yakuwa MTU akigombea atakayeshinda ashinde. Nakumbuka nikiwa O Level niliwahi kuwa Campaign manager wa Headboy ambaye alishindwa kwa Kura na mwanafunzi wa darasa la chini.

Sasa Mgombea wangu alikuwa ameshagundua hatoboi na ndipo akawa ananishinikiza tuibe Kura. Nilimkatalia lakini akaongea na mwalimu aliyekuwa anasimamia zoezi la kuhesabu Kura mpaka akashinda ingawaje alikuwa ameshindwa.

Ni rafiki yangu, akawa amenikasirikia kisa sikufanya alichotaka. Baadaye akiwa kwenye utawala wake kama Headboy nikamuuliza kwa nini aliamua kutumia dhulma ili awe kiongozi. Akanijibu Siwezi kumwelewa, siku nikiingia kwenye siasa nitamuelewa.

Sasa nipo kwenye Kampeni, ugeni mpya katika fikra zangu unanijia.
Hofu ya kushindwa inanikaba.
Jamani! Kushindwa kunauma!
Kutochaguliwa kunauma!
Sio tuu kwamba utakosa maslahi ya uongozi lakini pia hiyo itamaanisha watu hawakukubali.

Sikutegemea kama Jambo lile lingenichukua serious namna Ile.
Kuna wakati nilijuta kujiingiza kwenye kile kinyang'anyiro.

Kujiengua sitaki. Kushindwa sitaki!
Yaleyale ya Mbowe!
Kuna wakati namuelewa Mhe. Mbowe. Ni KAZI nyie! Acheni.

Kwanza unajiuliza utapata Kura ngapi?
Kupata kura chache huku mpinzani wako akikuacha kwa mamia ya kura unaweza ukajiua walahi!

Kuna njia moja ya kuitumia. Wanawake! Ndio wanawake! Ambao kwa shuleni wanaitwa Wasichana!

Kwanza sinaga ugomvi na wanawake. Pili, wanawake Nina mvuto nao.
Tatu wanawake ukijua kucheza na akili zao. Jambo lako limeenda.
Wanawake ukiwathamini na kuwapa umuhimu hawawezi kukuangusha kwenye matukio kama ya uchaguzi.
Sikumbuki Hilo wazo lilikujaje. Ila lilikuwa useful.

Wasichana wa O level walikuwa wengi kuliko wanaume. Hivyo kama nikiwashawishi nitakuwa nimemmaliza Mpinzani wangu.

Basi mpango ukawa hivi;

1. Kila darasa nilichukua msichana mmoja ambaye nilimwona naushawishi.
Nikamfanya kuwa mpiga Kampeni.
Huku nikimjaza kuwa yeye ni mrembo na navutiwa na wadada warembo kama yeye. Wanawake hujihisi fahari ukiwasifia kuwa wao ni wazuri. Zaidi nilimdanganya kuwa sijui kwa nini Moyo wangu umetokea kumuamini na kuona anauwezo wa kunipigia Kampeni.
Wanawake ni waaminifu Sana hasa wakiwa hawana njaa.

2. Kila darasa nilichagua mhesabu Kura ambaye ni Msabato. Hata hivyo nilichagua wale wasabato ambao sio radical. Nilichagua ambao sio wapenda kuhudhuria vipindi vya dini na sio churchboy. Nilikuwa na maana yangu.
Ningechagua wasabato lialia hila na mipango yangu ingeweza kushtukiwa kirahisi.
Nashukuru hakuna aliyeishtukia mpaka Leo hii.

3. Nilichagua mpenzi darasa lenye wanafunzi wengi.
Wakati mpinzani wangu akiwa Mtu wa Dini kwelikweli. Mimi hiyo isingenisaidia kuvuka.
Nilitafuta binti wa kiislam mrembo kuliko wote kidato cha tatu ambalo lilikuwa darasa lenye wanafunzi wengi.
Nilijua nguvu ya kuwa na msichana mzuri katika darasa lile na kwa umri wetu kama teen-agers.
Mpango huu ulifanikiwa kwa asilimia nyingi.
Nakumbuka wakati naingia darasa alilokuwa Yule binti ilikuwa shangwe kama lote.
Shemeji! Shemeji! Shemeji! Wanafunzi wanaimba. Nilimchungulia mrembo wangu, kalikuwa kanasikia aibu wenzake wakiendelea kushangilia na kufanya mizaha.
Darasa hili sikuongea chochote. Zaidi ya kuombwa nicheze kwani nilikuwa bingwa wa kudance na ku-shake. Huku mpinzani wangu katika vipaji vya kucheza ambaye nafikiri alikuwa namba moja akiwa amenizidi kwa kipaji cha kuimba na kucheza Mpira. Huyu aligombea kiongozi wa michezo.

Nikacheza, dadeki! Utoto na ujana unaraha jamani! Tazama siku sasa zimekuwa nyingi. Kila nikikumbuka naishia kutabasamu.

4. Kuhudhuria Club za vipaji na Burudani ambapo Kimsingi wanafunzi wengi huenda Huko.
Ninajua kucheza, kudance, kuiga Sauti kiasi, kuchora(hiki hakuhitajika), kuchezea Mpira( hiki nilikuwa nachuana na aliyekuwa kiongozi wa michezo) kuimba kidogo nyimbo za kidunia, nyimbo za kisabato nikiwa master Kwaya( sikuwa najua kuimba, ila nilijifunza nikiwa Advance kwa muda mchache. Ikafikia mpaka matukio ya shule niliambiwa mimi ndio nitunge ikiwemo ujio wa mwenge, uzinduzi wa miradi ya shule n.k. hii stori nitaisimulia kwani imebeba mambo mazuri yatakayokutia Moyo wewe ikiwa kuna Jambo unaona huliwezi)

Kushiriki kwenye matukio haya kuliongeza umashuhuri na ushawishi miongoni mwa wanafunzi.

Hatimaye siku ya uchaguzi!

Siku hiyo nilikuwa na hofu Sana.
Siku hiyo niliogopa Sana
Sikutaka kushindwa! Daah! Nilimkumbuka rafiki yangu niliyempigia kampeni kipindi nikiwa O Level

Kidato cha tano na sita niliongoza kwa Kura za kutosha tuu. Nilishasema Advance robo tatu walikuwa Wakristo.
Kidato cha sita walinipa zote mpaka waislam. Walimuona mpinzani wangu ni mtu mwenye misimamo Mikali.
Kidato cha tano nilipata robo tatu ya kura.
Mpaka hapo gap lilikuwa kubwa.
Ambalo yeye hakuwa na mashaka Sana kutokana na imani yake kwa O level.

Mara nasikia shangwe huko Chini. Shemeji! Shemeji! Shemeji! Moyo muda huo unapiga vibaya mno.
Naletewa matokeo nimeshinda pia. Yamebaki madarasa matatu. Kidato cha 1,2, na 4.

Mwisho kabisa nikawa nimeshinda ingawaje sio kwa kishindo. Ila nilishukuru kwani ugeni ule na kupata uongozi kwa mchuano mkali vile sikutegemea.

Nilijifunza mambo mengi Sana. Ni kumbukumbu inayonifanya nijivunie ujana wangu. Ni moja ya mambo yanayonifanya nione sikupoteza muda shuleni. Niliishi kikamilifu. Nilishiriki mambo mengi ambayo yalinifanya nione miaka ya shule ni michache Sana. Sikuwa bored!

Tukirudi kwenye mada!
Ni kweli kabisa udini na siasa katika nchi hii upo. Mimi nimetolea mfano katika level ya chini shuleni kupitia uzoefu wangu.

Wito; ingawaje ni Jambo gumu lakini linawezekana. Tuache Udini, undugu na ukabila katika siasa.
Acha nipumzike sasa

Ni Yule mtibeli

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Uislamu sio dini ya kuiogopa. Ukiona dini ambayo matajiri na watu wenye mafanikio ni wa asili ya uarabuni hiyo dini sio ya kuogopa. Dini ambayo haijawahi kujenga shule, chuo wala hospitali kubwa Tanzania. Mimi sijawahi kuona muislamu mweusi anayeweza kunichalenge katika upambanaji.
 
Uislamu sio dini ya kuiogopa. Ukiona dini ambayo matajiri na watu wenye mafanikio ni wa asili ya uarabuni hiyo dini sio ya kuogopa. Dini ambayo haijawahi kujenga shule, chuo wala hospitali kubwa Tanzania. Mimi sijawahi kuona muislamu mweusi anayeweza kunichalenge katika upambanaji.

Uislam na ukristo ni uchaguzi binafsi wa mtu
 
Niliwahi kwenda kuomba kazi kwenye taasisi ya waislam mkoa X ajabu barua zangu wakazitakaa ila kakobazi mwenzao ambae sifa na vigezo kama.vyangu wakachukua barua zake na aslayemkumu nyingi from pale mm na kobazi hatuelewani wadini sana japo sio wote wapi wanaojua kusimamia dini na maisha mengine
 
Hamjambo wote!

Ni ngumu Sana kuitenga Dini na Siasa. Ngumu Sana.

Ikiwa nchi inawananchi wengi wanaoamini katika Miungu na Dini huwezi kutenganisha siasa na Dini.
Ndio maana wanasiasa katika nchi zenye kuamini Miungu na Dini watanyumbulika watakavyo nyumbulika, watakukuruka watakavyo kukuruka ila mwisho wa siku utawakuta wamekimbilia kwa Waganga wa jadi huko, au utawakuta misikitini au kwenye Makanisa, au mahekalu.

Nchi ambayo wananchi wake hawaamini katika Miungu na Dini kabisa ndio haiwezekani kuchanganya Dini na Siasa. Kwa sababu Dini au miungu hiyo haina athari yoyote kiushawishi.

Ni kweli kuchanganya Dini na siasa ni hatari kwani uwezekano wa kuleta ubaguzi na tabaka ndani ya nchi huweza kutokea ndani ya taifa. Na hiyo itasababisha migogoro inayoweza kupelekea Vita ndani ya taifa.
Dini yenye waumini wengi na wenye nguvu ya kiuchumi wanaweza kutumia dini kama advantage ya kutawala na kuumiza wale ambao wapo wachache.

Katika taifa letu kuna dhana ambayo binafsi sifikirii kama ni yakweli ingawaje mtaani kwa wengi ni kama dhana inayokubaliwa na wengi na hiyo kufanya kuwa sehemi ya utamaduni wa nchi hii. Dhana hiyo ni Mtawala namba Moja lazima awe Muislam au mkristo wa dhehebu la Roman Catholic. Hivyo wanapokezana akitoka muislam anaingia Mkatoliki. Hivyohivyo.

Dhana hiyo haipo kisheria na kikatiba haikubaliki. Ila hiyo haimaanishi kwamba Jambo lisilokuwepo kisheria au kikatiba kuwa haliwezi kuwepo. Dhana hiyo ni moja ya mambo yanayoelezea kuchanganya Dini na siasa au Siasa na Dini.

Kwa jamii kama Tanzania, linapokuja suala la uongozi sio rahisi kutenganisha Dini na Siasa.

Nilipokuwa mdogo niliamini kwa kusikia viongozi wakisema taifa letu halina udini. Nikaamini! Lakini Imani yangu ilianza kutetereka nilipofika Advance. Nikiwa kidato cha tano niliingia kwenye siasa za chuleni. Nikiwa miongoni mwa waliogombea nafasi ya viongozi.

Nikiwa Newcomer, mwanafunzi mpya niliyehamia shule Ile, niliikuta shule ikiwa katika harakati za uchaguzi wa viongozi wapya kwani kidato cha sita walikuwa wapo mbioni kuhitimu.

Katika hesabu zangu nami nikaona nichukue Fomu, ingawaje sikuwa maarufu na wala siku na ushawishi Mkubwa kutokana na ugeni. Fikiria mwanafunzi anawiki mbili tuu anachukua Fomu ya uongozi akichuana na Wanafunzi wenzake wenye zaidi ya miezi Saba.

Sasa wakati wa kampeni ndipo nikagundua kuwa kumbe kuna ishu ya Udini ambayo ni kete Muhimu Sana kwenye ushindi wa wagombea. Mimi ni Msabato, Mkristo. Mbele yangu nakabiliana na Muislam ambaye anajina kubwa la heshima kwa cheo cha Ostadh.

Ambaye wote tulikuwa kidato cha tano.

Wanafunzi wa O Level ndio walikuwa wengi Sana. Kushinda wa Advance.
O Level walikuwa kama 800 hivi, wakati A Level tukiwa hatufiki 150.

Waislam walikuwa wengi O level Karibu robo tatu iliyobaki ndio wanagawana Wakristo.

Advance Wakristo tulikuwa Wengi karibu Robo tatu yote tulikuwa Wakristo tukiongozwa na Wakatoliki.

Kama uchaguzi ungeitishwa kidini ni wazi ningeshindwa mapema Sana.

Hapo nimeeleza wapiga Kura ambao ni Sisi wanafunzi.

Kwa upande wa uongozi wa shule yaani Waalimu, kuanzia Mwalimu Mkuu, Msaidizi, Mwl. Taaluma, Mwl. Nidhamu hao walikuwa Wakristo huku Robo tatu ya Waalimu wote wakiwa ni Wakristo.

Kama hawa ndio tume ya Uchaguzi na uchaguzi ukiwa na mrengo wa kidini ni wazi ningeshinda.

So kimahesabu ilikuwa hivi; Tume imeshikiliwa na Robo tatu wakristo.

Wapiga Kura Robo tatu ni Waislam
Wagombea ni muislam na Mkristo!

Unafikiri nini kilitokea? Nani angeshinda hapo?

Wakati unaenda kuchukua fomu kuna Usaili wa kujieleza kwa kingereza Mbele ya Baraza la waalimu. Unajieleza kwa nini unania ya kugombea na utafanya nini. Kisha wanakuuliza Maswali.

Sijui ilitokea kinasibu au ilikuwaje. Viongozi wote wa kidini isipokuwe UKWATA tulikuwepo kwenye kugombea Uongozi wa shule. Sasa sijui ilikuwa powermonger au kitu gani

Mimi nilikuwa Mwenyekiti wa ASSA(Wasabato)

Mpinzani wangu alikuwa mwenyekiti wa KIMSYA(umoja wa wanafunzi wa sekondari waislam).
Headboy alikuwa mwenyekiti wa TYCS, Wakatoliki.

Academic Alikuwa mwenyekiti wa Shahidi wa Yehova.
Chakula, alikuwa Mhazini ASSA
Na wengineo.

Ukishakuwa kiongozi hasa wa ngazi ya juu kwa level ya wanafunzi kupewa mialiko ni Jambo lisiloepukika. Hivyo Leo utakuwa ukwata, Kesho utakuwa Kimsya, Kesho kutwa TYCS, mtondogoo Casfeta n.k
Nitaeleza baadaye mialiko hii inahusiana na hii mada.

Ikatokea sintofahamu, Mgombea wa U-headboy akajiengua kwa madai ya kutoamini mchakato na kuona Wakristo wanapendelewa. Basi kukawa na vuguvugu kubwa Sana. Kumbuka O level wengi ni Waislam kumaanisha Mji ule wengi ni Waislam kwani O level ilikuwa Day huku Advance tukiwa tumetokea Mkoani.

Mchakato wa uchaguzi ukasimama, ni kama ukaahirishwa.
Baadaye ukarudi baada ya Mgombea mwingine wa U headboy kujitokeza. Huyu alikuwa Mkatoliki pia.
Hivyo kwenye nafasi ya U headboy mambo yakawa sio magumu kivile. Yaani hapakuwa na ushindani.

Kimbembe kikabaki kwa kiongozi wa Chakula, kiongozi wa taaluma, na Mimi Kiongozi wa Nidhamu. Mnaweza kwa sehemu kuelewa why hata mada zangu nyingi zipo kinidhamu nidhamu, maadili this, uadilifu that😂😂. Nafikiri nimeathirika kisaikolojia.

Kampeni zikaanza upya, zile za Kwanza zikafutwa.
Uzinduzi wa Kampeni. Shule nzima ipo paredi. Kisha wagombea mmoja baada ya mwingine mnapanda kujinadi mbele ya shule.

Hapo inahitaji kujiamini.
Uwezo mzuri wa kuongea na ushawishi
Wapambe!

Sasa mimi ni Mgeni, bado watu hawajanizoea, na kuhusu kuwazoea lilikuwa jukumu langu hasa nyakati kama zile nikihitaji Kura.
Kujiamini najiamini, kama ujuavyo vijana wakisabato tumezoeshwa kuhubiri mbele za watu wengi. Hivyo kusimama mbele za watu sio tatizo.

Kuongea, Mimi sio Mwongeaji Mzuri. Kwanza Ninaongea kwa upesi, hali inayopelekea kukosa utulivu na kuna muda Nina kigugumizi.

Ninaongea bila kumaliza sentensi huku nikiamini wasikilizaji wameshajua ninachotaka kukisema
Ninaongea kwa kuuliza swali kisha ndio niongee.

Mfano, unajua nini? Kisha naongea, ninataka kusemaje? Kisha ninaongea.

Changamoto hizo katika umri ule nilizigundua baada ya ule uchaguzi. Nilikuwa najiuliza kwa nini nikiongea watu wanacheka.

Siku Moja kwenye talent day, dogo mmoja wa O level alikuwa akiiga Sauti, ndipo alipokuwa akiongea ati anaongea kwa sauti yangu lakini maneno yake ndio yalivuta usikivu wangu na wanafunzi walikuwa wakicheka Sana huku wakinitazama.

Sikuwa suprise na mtu kuiga sauti yangu. Ila siku Ile ndio niligundua uongeaji wangu ni wakuuliza maswali na kuiacha sentensi imening'ia bila kuimalizia.

Jambo hilo nililifanyia KAZI. Ingawaje ilichukua Muda mrefu.

Nilikuwa na tatizo la kuongea upesi na kuandika harakaharaka.

Hili la kuandika haraka ilikuwa advantage kwa sababu mtihani wa masaa matatu ningeufanya kwa Lisaa limoja hivi na hilo lisingeathiri ufaulu wangu.

Lakini baadaye katika hili hasa nilipokuwa chuo nikaona haina umuhimu wa kuandika harakaharaka.

Turudi kwenye uchaguzi!

Tayari nimepewa vidokezo na dondoo za chini kwa chini za utamaduni wa shule Ile. Nishajua udini unasehemu kubwa katika kuchaguliwa hasa na O level ambao ni wengi.

Embu jiulize, nitatoboa?
Ungenishauri nitumie mbinu gani ili nishinde Kwa Kura katika Uchaguzi Ule?

Kwanza niwe muwazi, ukishaingia kwenye siasa mambo mengi hubadilika. Hasahasa suala la mtazamo.
Kabla, nilikuwa mtu wa kuamini katika Haki yakuwa MTU akigombea atakayeshinda ashinde. Nakumbuka nikiwa O Level niliwahi kuwa Campaign manager wa Headboy ambaye alishindwa kwa Kura na mwanafunzi wa darasa la chini.

Sasa Mgombea wangu alikuwa ameshagundua hatoboi na ndipo akawa ananishinikiza tuibe Kura. Nilimkatalia lakini akaongea na mwalimu aliyekuwa anasimamia zoezi la kuhesabu Kura mpaka akashinda ingawaje alikuwa ameshindwa.

Ni rafiki yangu, akawa amenikasirikia kisa sikufanya alichotaka. Baadaye akiwa kwenye utawala wake kama Headboy nikamuuliza kwa nini aliamua kutumia dhulma ili awe kiongozi. Akanijibu Siwezi kumwelewa, siku nikiingia kwenye siasa nitamuelewa.

Sasa nipo kwenye Kampeni, ugeni mpya katika fikra zangu unanijia.
Hofu ya kushindwa inanikaba.
Jamani! Kushindwa kunauma!
Kutochaguliwa kunauma!
Sio tuu kwamba utakosa maslahi ya uongozi lakini pia hiyo itamaanisha watu hawakukubali.

Sikutegemea kama Jambo lile lingenichukua serious namna Ile.
Kuna wakati nilijuta kujiingiza kwenye kile kinyang'anyiro.

Kujiengua sitaki. Kushindwa sitaki!
Yaleyale ya Mbowe!
Kuna wakati namuelewa Mhe. Mbowe. Ni KAZI nyie! Acheni.

Kwanza unajiuliza utapata Kura ngapi?
Kupata kura chache huku mpinzani wako akikuacha kwa mamia ya kura unaweza ukajiua walahi!

Kuna njia moja ya kuitumia. Wanawake! Ndio wanawake! Ambao kwa shuleni wanaitwa Wasichana!

Kwanza sinaga ugomvi na wanawake. Pili, wanawake Nina mvuto nao.
Tatu wanawake ukijua kucheza na akili zao. Jambo lako limeenda.
Wanawake ukiwathamini na kuwapa umuhimu hawawezi kukuangusha kwenye matukio kama ya uchaguzi.
Sikumbuki Hilo wazo lilikujaje. Ila lilikuwa useful.

Wasichana wa O level walikuwa wengi kuliko wanaume. Hivyo kama nikiwashawishi nitakuwa nimemmaliza Mpinzani wangu.

Basi mpango ukawa hivi;

1. Kila darasa nilichukua msichana mmoja ambaye nilimwona naushawishi.
Nikamfanya kuwa mpiga Kampeni.
Huku nikimjaza kuwa yeye ni mrembo na navutiwa na wadada warembo kama yeye. Wanawake hujihisi fahari ukiwasifia kuwa wao ni wazuri. Zaidi nilimdanganya kuwa sijui kwa nini Moyo wangu umetokea kumuamini na kuona anauwezo wa kunipigia Kampeni.
Wanawake ni waaminifu Sana hasa wakiwa hawana njaa.

2. Kila darasa nilichagua mhesabu Kura ambaye ni Msabato. Hata hivyo nilichagua wale wasabato ambao sio radical. Nilichagua ambao sio wapenda kuhudhuria vipindi vya dini na sio churchboy. Nilikuwa na maana yangu.
Ningechagua wasabato lialia hila na mipango yangu ingeweza kushtukiwa kirahisi.
Nashukuru hakuna aliyeishtukia mpaka Leo hii.

3. Nilichagua mpenzi darasa lenye wanafunzi wengi.
Wakati mpinzani wangu akiwa Mtu wa Dini kwelikweli. Mimi hiyo isingenisaidia kuvuka.
Nilitafuta binti wa kiislam mrembo kuliko wote kidato cha tatu ambalo lilikuwa darasa lenye wanafunzi wengi.
Nilijua nguvu ya kuwa na msichana mzuri katika darasa lile na kwa umri wetu kama teen-agers.
Mpango huu ulifanikiwa kwa asilimia nyingi.
Nakumbuka wakati naingia darasa alilokuwa Yule binti ilikuwa shangwe kama lote.
Shemeji! Shemeji! Shemeji! Wanafunzi wanaimba. Nilimchungulia mrembo wangu, kalikuwa kanasikia aibu wenzake wakiendelea kushangilia na kufanya mizaha.
Darasa hili sikuongea chochote. Zaidi ya kuombwa nicheze kwani nilikuwa bingwa wa kudance na ku-shake. Huku mpinzani wangu katika vipaji vya kucheza ambaye nafikiri alikuwa namba moja akiwa amenizidi kwa kipaji cha kuimba na kucheza Mpira. Huyu aligombea kiongozi wa michezo.

Nikacheza, dadeki! Utoto na ujana unaraha jamani! Tazama siku sasa zimekuwa nyingi. Kila nikikumbuka naishia kutabasamu.

4. Kuhudhuria Club za vipaji na Burudani ambapo Kimsingi wanafunzi wengi huenda Huko.
Ninajua kucheza, kudance, kuiga Sauti kiasi, kuchora(hiki hakuhitajika), kuchezea Mpira( hiki nilikuwa nachuana na aliyekuwa kiongozi wa michezo) kuimba kidogo nyimbo za kidunia, nyimbo za kisabato nikiwa master Kwaya( sikuwa najua kuimba, ila nilijifunza nikiwa Advance kwa muda mchache. Ikafikia mpaka matukio ya shule niliambiwa mimi ndio nitunge ikiwemo ujio wa mwenge, uzinduzi wa miradi ya shule n.k. hii stori nitaisimulia kwani imebeba mambo mazuri yatakayokutia Moyo wewe ikiwa kuna Jambo unaona huliwezi)

Kushiriki kwenye matukio haya kuliongeza umashuhuri na ushawishi miongoni mwa wanafunzi.

Hatimaye siku ya uchaguzi!

Siku hiyo nilikuwa na hofu Sana.
Siku hiyo niliogopa Sana
Sikutaka kushindwa! Daah! Nilimkumbuka rafiki yangu niliyempigia kampeni kipindi nikiwa O Level

Kidato cha tano na sita niliongoza kwa Kura za kutosha tuu. Nilishasema Advance robo tatu walikuwa Wakristo.
Kidato cha sita walinipa zote mpaka waislam. Walimuona mpinzani wangu ni mtu mwenye misimamo Mikali.
Kidato cha tano nilipata robo tatu ya kura.
Mpaka hapo gap lilikuwa kubwa.
Ambalo yeye hakuwa na mashaka Sana kutokana na imani yake kwa O level.

Mara nasikia shangwe huko Chini. Shemeji! Shemeji! Shemeji! Moyo muda huo unapiga vibaya mno.
Naletewa matokeo nimeshinda pia. Yamebaki madarasa matatu. Kidato cha 1,2, na 4.

Mwisho kabisa nikawa nimeshinda ingawaje sio kwa kishindo. Ila nilishukuru kwani ugeni ule na kupata uongozi kwa mchuano mkali vile sikutegemea.

Nilijifunza mambo mengi Sana. Ni kumbukumbu inayonifanya nijivunie ujana wangu. Ni moja ya mambo yanayonifanya nione sikupoteza muda shuleni. Niliishi kikamilifu. Nilishiriki mambo mengi ambayo yalinifanya nione miaka ya shule ni michache Sana. Sikuwa bored!

Tukirudi kwenye mada!
Ni kweli kabisa udini na siasa katika nchi hii upo. Mimi nimetolea mfano katika level ya chini shuleni kupitia uzoefu wangu.

Wito; ingawaje ni Jambo gumu lakini linawezekana. Tuache Udini, undugu na ukabila katika siasa.
Acha nipumzike sasa

Ni Yule mtibeli

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Uislamu sio dini ya kuiogopa. Ukiona dini ambayo matajiri na watu wenye mafanikio ni wa asili ya uarabuni hiyo dini sio ya kuogopa. Dini ambayo haijawahi kujenga shule, chuo wala hospitali kubwa Tanzania. Mimi sijawahi kuona muislamu mweusi anayeweza kunichalenge katika upambanaji.
Uislam na ukristo ni uchaguzi binafsi wa mtu
Ndio maana nikaandika hapo waliochagua uislamu ni wajinga maana unaswali na kupiga rakaa dini ambayo haijajenga shule,chuo wala hospitali nchi nzima.
 
Uislamu sio dini ya kuiogopa. Ukiona dini ambayo matajiri na watu wenye mafanikio ni wa asili ya uarabuni hiyo dini sio ya kuogopa. Dini ambayo haijawahi kujenga shule, chuo wala hospitali kubwa Tanzania. Mimi sijawahi kuona muislamu mweusi anayeweza kunichalenge katika upambanaji.

Ndio maana nikaandika hapo waliochagua uislamu ni wajinga maana unaswali na kupiga rakaa dini ambayo haijajenga shule,chuo wala hospitali nchi nzima.


😲😲😲
Na waliochagua Ukristo?
 
Sio huko kwenye chaguzi tu hata hapa jf udini umejaa sana

Vita ya wakristo na waislam ni kubwa isiyoweza kuzungumzika kwa tz inafukuta kimya kimya

Tukija katika hizi hoja ndio maana nawaombea ccm waongoze milele kikiingia chama kingine kudeal na haya mambo itakuwa ngumu sana kwani watajidanganya hakuna udini kwenye siasa kitu ambacho kwa ground hakipo hivyo

Ccm ndio wanajua nje ndani upatikanaji wa uhuru na harakati zake katika nchi hii wengine hawawezi elewa, mimi ni mpenda haki lakini kwenye jamii yenye matabaka ni ngumu kutenda haki kwa wote kwani ukitenda haki kwa huyu mwingine ataona hajatendewa sawa kuliko mwingine

Yanayoendelea Kenya ni kwakuwa wamekataa ukweli wa ukabila nchini mwao na kulazimisha kutumia sheria badala ya busara matokeo yake sheria zinafanya kazi kupatikana kiongozi kwa uhuru na haki lakini kiongozi huyo anakuja ku favor kabila lake au wakati mwingine makabila yenye nguvu ndio husimamisha viongozi kwa ajili ya wingi wao

Kenya ilitakiwa iweke mfumo kama wakwetu kusingekuwa na vita za ndani kama sasa, wangepokezana kijiti waluo na wakikuyu ambayo ndio makabila makubwa nchi ingekuwa na amani

Note; kutekeleza haki sawa kwenye jamii yenye matabaka ni kazi sana
 
Hamjambo wote!

Ni ngumu Sana kuitenga Dini na Siasa. Ngumu Sana.

Ikiwa nchi inawananchi wengi wanaoamini katika Miungu na Dini huwezi kutenganisha siasa na Dini.
Ndio maana wanasiasa katika nchi zenye kuamini Miungu na Dini watanyumbulika watakavyo nyumbulika, watakukuruka watakavyo kukuruka ila mwisho wa siku utawakuta wamekimbilia kwa Waganga wa jadi huko, au utawakuta misikitini au kwenye Makanisa, au mahekalu.

Nchi ambayo wananchi wake hawaamini katika Miungu na Dini kabisa ndio haiwezekani kuchanganya Dini na Siasa. Kwa sababu Dini au miungu hiyo haina athari yoyote kiushawishi.

Ni kweli kuchanganya Dini na siasa ni hatari kwani uwezekano wa kuleta ubaguzi na tabaka ndani ya nchi huweza kutokea ndani ya taifa. Na hiyo itasababisha migogoro inayoweza kupelekea Vita ndani ya taifa.
Dini yenye waumini wengi na wenye nguvu ya kiuchumi wanaweza kutumia dini kama advantage ya kutawala na kuumiza wale ambao wapo wachache.

Katika taifa letu kuna dhana ambayo binafsi sifikirii kama ni yakweli ingawaje mtaani kwa wengi ni kama dhana inayokubaliwa na wengi na hiyo kufanya kuwa sehemi ya utamaduni wa nchi hii. Dhana hiyo ni Mtawala namba Moja lazima awe Muislam au mkristo wa dhehebu la Roman Catholic. Hivyo wanapokezana akitoka muislam anaingia Mkatoliki. Hivyohivyo.

Dhana hiyo haipo kisheria na kikatiba haikubaliki. Ila hiyo haimaanishi kwamba Jambo lisilokuwepo kisheria au kikatiba kuwa haliwezi kuwepo. Dhana hiyo ni moja ya mambo yanayoelezea kuchanganya Dini na siasa au Siasa na Dini.

Kwa jamii kama Tanzania, linapokuja suala la uongozi sio rahisi kutenganisha Dini na Siasa.

Nilipokuwa mdogo niliamini kwa kusikia viongozi wakisema taifa letu halina udini. Nikaamini! Lakini Imani yangu ilianza kutetereka nilipofika Advance. Nikiwa kidato cha tano niliingia kwenye siasa za chuleni. Nikiwa miongoni mwa waliogombea nafasi ya viongozi.

Nikiwa Newcomer, mwanafunzi mpya niliyehamia shule Ile, niliikuta shule ikiwa katika harakati za uchaguzi wa viongozi wapya kwani kidato cha sita walikuwa wapo mbioni kuhitimu.

Katika hesabu zangu nami nikaona nichukue Fomu, ingawaje sikuwa maarufu na wala siku na ushawishi Mkubwa kutokana na ugeni. Fikiria mwanafunzi anawiki mbili tuu anachukua Fomu ya uongozi akichuana na Wanafunzi wenzake wenye zaidi ya miezi Saba.

Sasa wakati wa kampeni ndipo nikagundua kuwa kumbe kuna ishu ya Udini ambayo ni kete Muhimu Sana kwenye ushindi wa wagombea. Mimi ni Msabato, Mkristo. Mbele yangu nakabiliana na Muislam ambaye anajina kubwa la heshima kwa cheo cha Ostadh.

Ambaye wote tulikuwa kidato cha tano.

Wanafunzi wa O Level ndio walikuwa wengi Sana. Kushinda wa Advance.
O Level walikuwa kama 800 hivi, wakati A Level tukiwa hatufiki 150.

Waislam walikuwa wengi O level Karibu robo tatu iliyobaki ndio wanagawana Wakristo.

Advance Wakristo tulikuwa Wengi karibu Robo tatu yote tulikuwa Wakristo tukiongozwa na Wakatoliki.

Kama uchaguzi ungeitishwa kidini ni wazi ningeshindwa mapema Sana.

Hapo nimeeleza wapiga Kura ambao ni Sisi wanafunzi.

Kwa upande wa uongozi wa shule yaani Waalimu, kuanzia Mwalimu Mkuu, Msaidizi, Mwl. Taaluma, Mwl. Nidhamu hao walikuwa Wakristo huku Robo tatu ya Waalimu wote wakiwa ni Wakristo.

Kama hawa ndio tume ya Uchaguzi na uchaguzi ukiwa na mrengo wa kidini ni wazi ningeshinda.

So kimahesabu ilikuwa hivi; Tume imeshikiliwa na Robo tatu wakristo.

Wapiga Kura Robo tatu ni Waislam
Wagombea ni muislam na Mkristo!

Unafikiri nini kilitokea? Nani angeshinda hapo?

Wakati unaenda kuchukua fomu kuna Usaili wa kujieleza kwa kingereza Mbele ya Baraza la waalimu. Unajieleza kwa nini unania ya kugombea na utafanya nini. Kisha wanakuuliza Maswali.

Sijui ilitokea kinasibu au ilikuwaje. Viongozi wote wa kidini isipokuwe UKWATA tulikuwepo kwenye kugombea Uongozi wa shule. Sasa sijui ilikuwa powermonger au kitu gani

Mimi nilikuwa Mwenyekiti wa ASSA(Wasabato)

Mpinzani wangu alikuwa mwenyekiti wa KIMSYA(umoja wa wanafunzi wa sekondari waislam).
Headboy alikuwa mwenyekiti wa TYCS, Wakatoliki.

Academic Alikuwa mwenyekiti wa Shahidi wa Yehova.
Chakula, alikuwa Mhazini ASSA
Na wengineo.

Ukishakuwa kiongozi hasa wa ngazi ya juu kwa level ya wanafunzi kupewa mialiko ni Jambo lisiloepukika. Hivyo Leo utakuwa ukwata, Kesho utakuwa Kimsya, Kesho kutwa TYCS, mtondogoo Casfeta n.k
Nitaeleza baadaye mialiko hii inahusiana na hii mada.

Ikatokea sintofahamu, Mgombea wa U-headboy akajiengua kwa madai ya kutoamini mchakato na kuona Wakristo wanapendelewa. Basi kukawa na vuguvugu kubwa Sana. Kumbuka O level wengi ni Waislam kumaanisha Mji ule wengi ni Waislam kwani O level ilikuwa Day huku Advance tukiwa tumetokea Mkoani.

Mchakato wa uchaguzi ukasimama, ni kama ukaahirishwa.
Baadaye ukarudi baada ya Mgombea mwingine wa U headboy kujitokeza. Huyu alikuwa Mkatoliki pia.
Hivyo kwenye nafasi ya U headboy mambo yakawa sio magumu kivile. Yaani hapakuwa na ushindani.

Kimbembe kikabaki kwa kiongozi wa Chakula, kiongozi wa taaluma, na Mimi Kiongozi wa Nidhamu. Mnaweza kwa sehemu kuelewa why hata mada zangu nyingi zipo kinidhamu nidhamu, maadili this, uadilifu that😂😂. Nafikiri nimeathirika kisaikolojia.

Kampeni zikaanza upya, zile za Kwanza zikafutwa.
Uzinduzi wa Kampeni. Shule nzima ipo paredi. Kisha wagombea mmoja baada ya mwingine mnapanda kujinadi mbele ya shule.

Hapo inahitaji kujiamini.
Uwezo mzuri wa kuongea na ushawishi
Wapambe!

Sasa mimi ni Mgeni, bado watu hawajanizoea, na kuhusu kuwazoea lilikuwa jukumu langu hasa nyakati kama zile nikihitaji Kura.
Kujiamini najiamini, kama ujuavyo vijana wakisabato tumezoeshwa kuhubiri mbele za watu wengi. Hivyo kusimama mbele za watu sio tatizo.

Kuongea, Mimi sio Mwongeaji Mzuri. Kwanza Ninaongea kwa upesi, hali inayopelekea kukosa utulivu na kuna muda Nina kigugumizi.

Ninaongea bila kumaliza sentensi huku nikiamini wasikilizaji wameshajua ninachotaka kukisema
Ninaongea kwa kuuliza swali kisha ndio niongee.

Mfano, unajua nini? Kisha naongea, ninataka kusemaje? Kisha ninaongea.

Changamoto hizo katika umri ule nilizigundua baada ya ule uchaguzi. Nilikuwa najiuliza kwa nini nikiongea watu wanacheka.

Siku Moja kwenye talent day, dogo mmoja wa O level alikuwa akiiga Sauti, ndipo alipokuwa akiongea ati anaongea kwa sauti yangu lakini maneno yake ndio yalivuta usikivu wangu na wanafunzi walikuwa wakicheka Sana huku wakinitazama.

Sikuwa suprise na mtu kuiga sauti yangu. Ila siku Ile ndio niligundua uongeaji wangu ni wakuuliza maswali na kuiacha sentensi imening'ia bila kuimalizia.

Jambo hilo nililifanyia KAZI. Ingawaje ilichukua Muda mrefu.

Nilikuwa na tatizo la kuongea upesi na kuandika harakaharaka.

Hili la kuandika haraka ilikuwa advantage kwa sababu mtihani wa masaa matatu ningeufanya kwa Lisaa limoja hivi na hilo lisingeathiri ufaulu wangu.

Lakini baadaye katika hili hasa nilipokuwa chuo nikaona haina umuhimu wa kuandika harakaharaka.

Turudi kwenye uchaguzi!

Tayari nimepewa vidokezo na dondoo za chini kwa chini za utamaduni wa shule Ile. Nishajua udini unasehemu kubwa katika kuchaguliwa hasa na O level ambao ni wengi.

Embu jiulize, nitatoboa?
Ungenishauri nitumie mbinu gani ili nishinde Kwa Kura katika Uchaguzi Ule?

Kwanza niwe muwazi, ukishaingia kwenye siasa mambo mengi hubadilika. Hasahasa suala la mtazamo.
Kabla, nilikuwa mtu wa kuamini katika Haki yakuwa MTU akigombea atakayeshinda ashinde. Nakumbuka nikiwa O Level niliwahi kuwa Campaign manager wa Headboy ambaye alishindwa kwa Kura na mwanafunzi wa darasa la chini.

Sasa Mgombea wangu alikuwa ameshagundua hatoboi na ndipo akawa ananishinikiza tuibe Kura. Nilimkatalia lakini akaongea na mwalimu aliyekuwa anasimamia zoezi la kuhesabu Kura mpaka akashinda ingawaje alikuwa ameshindwa.

Ni rafiki yangu, akawa amenikasirikia kisa sikufanya alichotaka. Baadaye akiwa kwenye utawala wake kama Headboy nikamuuliza kwa nini aliamua kutumia dhulma ili awe kiongozi. Akanijibu Siwezi kumwelewa, siku nikiingia kwenye siasa nitamuelewa.

Sasa nipo kwenye Kampeni, ugeni mpya katika fikra zangu unanijia.
Hofu ya kushindwa inanikaba.
Jamani! Kushindwa kunauma!
Kutochaguliwa kunauma!
Sio tuu kwamba utakosa maslahi ya uongozi lakini pia hiyo itamaanisha watu hawakukubali.

Sikutegemea kama Jambo lile lingenichukua serious namna Ile.
Kuna wakati nilijuta kujiingiza kwenye kile kinyang'anyiro.

Kujiengua sitaki. Kushindwa sitaki!
Yaleyale ya Mbowe!
Kuna wakati namuelewa Mhe. Mbowe. Ni KAZI nyie! Acheni.

Kwanza unajiuliza utapata Kura ngapi?
Kupata kura chache huku mpinzani wako akikuacha kwa mamia ya kura unaweza ukajiua walahi!

Kuna njia moja ya kuitumia. Wanawake! Ndio wanawake! Ambao kwa shuleni wanaitwa Wasichana!

Kwanza sinaga ugomvi na wanawake. Pili, wanawake Nina mvuto nao.
Tatu wanawake ukijua kucheza na akili zao. Jambo lako limeenda.
Wanawake ukiwathamini na kuwapa umuhimu hawawezi kukuangusha kwenye matukio kama ya uchaguzi.
Sikumbuki Hilo wazo lilikujaje. Ila lilikuwa useful.

Wasichana wa O level walikuwa wengi kuliko wanaume. Hivyo kama nikiwashawishi nitakuwa nimemmaliza Mpinzani wangu.

Basi mpango ukawa hivi;

1. Kila darasa nilichukua msichana mmoja ambaye nilimwona naushawishi.
Nikamfanya kuwa mpiga Kampeni.
Huku nikimjaza kuwa yeye ni mrembo na navutiwa na wadada warembo kama yeye. Wanawake hujihisi fahari ukiwasifia kuwa wao ni wazuri. Zaidi nilimdanganya kuwa sijui kwa nini Moyo wangu umetokea kumuamini na kuona anauwezo wa kunipigia Kampeni.
Wanawake ni waaminifu Sana hasa wakiwa hawana njaa.

2. Kila darasa nilichagua mhesabu Kura ambaye ni Msabato. Hata hivyo nilichagua wale wasabato ambao sio radical. Nilichagua ambao sio wapenda kuhudhuria vipindi vya dini na sio churchboy. Nilikuwa na maana yangu.
Ningechagua wasabato lialia hila na mipango yangu ingeweza kushtukiwa kirahisi.
Nashukuru hakuna aliyeishtukia mpaka Leo hii.

3. Nilichagua mpenzi darasa lenye wanafunzi wengi.
Wakati mpinzani wangu akiwa Mtu wa Dini kwelikweli. Mimi hiyo isingenisaidia kuvuka.
Nilitafuta binti wa kiislam mrembo kuliko wote kidato cha tatu ambalo lilikuwa darasa lenye wanafunzi wengi.
Nilijua nguvu ya kuwa na msichana mzuri katika darasa lile na kwa umri wetu kama teen-agers.
Mpango huu ulifanikiwa kwa asilimia nyingi.
Nakumbuka wakati naingia darasa alilokuwa Yule binti ilikuwa shangwe kama lote.
Shemeji! Shemeji! Shemeji! Wanafunzi wanaimba. Nilimchungulia mrembo wangu, kalikuwa kanasikia aibu wenzake wakiendelea kushangilia na kufanya mizaha.
Darasa hili sikuongea chochote. Zaidi ya kuombwa nicheze kwani nilikuwa bingwa wa kudance na ku-shake. Huku mpinzani wangu katika vipaji vya kucheza ambaye nafikiri alikuwa namba moja akiwa amenizidi kwa kipaji cha kuimba na kucheza Mpira. Huyu aligombea kiongozi wa michezo.

Nikacheza, dadeki! Utoto na ujana unaraha jamani! Tazama siku sasa zimekuwa nyingi. Kila nikikumbuka naishia kutabasamu.

4. Kuhudhuria Club za vipaji na Burudani ambapo Kimsingi wanafunzi wengi huenda Huko.
Ninajua kucheza, kudance, kuiga Sauti kiasi, kuchora(hiki hakuhitajika), kuchezea Mpira( hiki nilikuwa nachuana na aliyekuwa kiongozi wa michezo) kuimba kidogo nyimbo za kidunia, nyimbo za kisabato nikiwa master Kwaya( sikuwa najua kuimba, ila nilijifunza nikiwa Advance kwa muda mchache. Ikafikia mpaka matukio ya shule niliambiwa mimi ndio nitunge ikiwemo ujio wa mwenge, uzinduzi wa miradi ya shule n.k. hii stori nitaisimulia kwani imebeba mambo mazuri yatakayokutia Moyo wewe ikiwa kuna Jambo unaona huliwezi)

Kushiriki kwenye matukio haya kuliongeza umashuhuri na ushawishi miongoni mwa wanafunzi.

Hatimaye siku ya uchaguzi!

Siku hiyo nilikuwa na hofu Sana.
Siku hiyo niliogopa Sana
Sikutaka kushindwa! Daah! Nilimkumbuka rafiki yangu niliyempigia kampeni kipindi nikiwa O Level

Kidato cha tano na sita niliongoza kwa Kura za kutosha tuu. Nilishasema Advance robo tatu walikuwa Wakristo.
Kidato cha sita walinipa zote mpaka waislam. Walimuona mpinzani wangu ni mtu mwenye misimamo Mikali.
Kidato cha tano nilipata robo tatu ya kura.
Mpaka hapo gap lilikuwa kubwa.
Ambalo yeye hakuwa na mashaka Sana kutokana na imani yake kwa O level.

Mara nasikia shangwe huko Chini. Shemeji! Shemeji! Shemeji! Moyo muda huo unapiga vibaya mno.
Naletewa matokeo nimeshinda pia. Yamebaki madarasa matatu. Kidato cha 1,2, na 4.

Mwisho kabisa nikawa nimeshinda ingawaje sio kwa kishindo. Ila nilishukuru kwani ugeni ule na kupata uongozi kwa mchuano mkali vile sikutegemea.

Nilijifunza mambo mengi Sana. Ni kumbukumbu inayonifanya nijivunie ujana wangu. Ni moja ya mambo yanayonifanya nione sikupoteza muda shuleni. Niliishi kikamilifu. Nilishiriki mambo mengi ambayo yalinifanya nione miaka ya shule ni michache Sana. Sikuwa bored!

Tukirudi kwenye mada!
Ni kweli kabisa udini na siasa katika nchi hii upo. Mimi nimetolea mfano katika level ya chini shuleni kupitia uzoefu wangu.

Wito; ingawaje ni Jambo gumu lakini linawezekana. Tuache Udini, undugu na ukabila katika siasa.
Acha nipumzike sasa

Ni Yule mtibeli

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Kwa hili siwezi kukupinga daima Kuna uwezekano tukawa tunaamini tofauti. Lakini haiwi sababu ya Mimi kuacha kukupongeza juu ushauri huu.
Sisi ni wote ni wamoja Wa (TANZANIA), hakuna haja ya sisi Kwa sisi kugombana,kuchukiana Kwasababu ya udini na ukabila.
Mara zote nawaambia watu sisi Wa Tz tuna udini sana. Na ni hatari Kwa taifa letu.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu wabariki Watu wa Tanzania.
 
Uislamu sio dini ya kuiogopa. Ukiona dini ambayo matajiri na watu wenye mafanikio ni wa asili ya uarabuni hiyo dini sio ya kuogopa. Dini ambayo haijawahi kujenga shule, chuo wala hospitali kubwa Tanzania. Mimi sijawahi kuona muislamu mweusi anayeweza kunichalenge katika upambanaji.

Ndio maana nikaandika hapo waliochagua uislamu ni wajinga maana unaswali na kupiga rakaa dini ambayo haijajenga shule,chuo wala hospitali nchi nzima.
Haya ndy Yaleyale aliosema muandishi.
Kaka hakuna haja ya sisi kubaguana. Wewe umejenga chuo,shule na hospital Mimi nimechimba visima vya maji vinavyotumiwa na watu wa Imani zote.
Natamani kusema wewe ni mjinga Kwa herufi kubwa ila naogopa utakuja kudhihirisha ujinga wako.
Mtu anatoa funzo tuache udini wewe unakuja na kujitukuza na kuleta udini kama sio urofa Nini Sasa.
 
Hamjambo wote!

Ni ngumu Sana kuitenga Dini na Siasa. Ngumu Sana.

Ikiwa nchi inawananchi wengi wanaoamini katika Miungu na Dini huwezi kutenganisha siasa na Dini.
Ndio maana wanasiasa katika nchi zenye kuamini Miungu na Dini watanyumbulika watakavyo nyumbulika, watakukuruka watakavyo kukuruka ila mwisho wa siku utawakuta wamekimbilia kwa Waganga wa jadi huko, au utawakuta misikitini au kwenye Makanisa, au mahekalu.

Nchi ambayo wananchi wake hawaamini katika Miungu na Dini kabisa ndio haiwezekani kuchanganya Dini na Siasa. Kwa sababu Dini au miungu hiyo haina athari yoyote kiushawishi.

Ni kweli kuchanganya Dini na siasa ni hatari kwani uwezekano wa kuleta ubaguzi na tabaka ndani ya nchi huweza kutokea ndani ya taifa. Na hiyo itasababisha migogoro inayoweza kupelekea Vita ndani ya taifa.
Dini yenye waumini wengi na wenye nguvu ya kiuchumi wanaweza kutumia dini kama advantage ya kutawala na kuumiza wale ambao wapo wachache.

Katika taifa letu kuna dhana ambayo binafsi sifikirii kama ni yakweli ingawaje mtaani kwa wengi ni kama dhana inayokubaliwa na wengi na hiyo kufanya kuwa sehemi ya utamaduni wa nchi hii. Dhana hiyo ni Mtawala namba Moja lazima awe Muislam au mkristo wa dhehebu la Roman Catholic. Hivyo wanapokezana akitoka muislam anaingia Mkatoliki. Hivyohivyo.

Dhana hiyo haipo kisheria na kikatiba haikubaliki. Ila hiyo haimaanishi kwamba Jambo lisilokuwepo kisheria au kikatiba kuwa haliwezi kuwepo. Dhana hiyo ni moja ya mambo yanayoelezea kuchanganya Dini na siasa au Siasa na Dini.

Kwa jamii kama Tanzania, linapokuja suala la uongozi sio rahisi kutenganisha Dini na Siasa.

Nilipokuwa mdogo niliamini kwa kusikia viongozi wakisema taifa letu halina udini. Nikaamini! Lakini Imani yangu ilianza kutetereka nilipofika Advance. Nikiwa kidato cha tano niliingia kwenye siasa za chuleni. Nikiwa miongoni mwa waliogombea nafasi ya viongozi.

Nikiwa Newcomer, mwanafunzi mpya niliyehamia shule Ile, niliikuta shule ikiwa katika harakati za uchaguzi wa viongozi wapya kwani kidato cha sita walikuwa wapo mbioni kuhitimu.

Katika hesabu zangu nami nikaona nichukue Fomu, ingawaje sikuwa maarufu na wala siku na ushawishi Mkubwa kutokana na ugeni. Fikiria mwanafunzi anawiki mbili tuu anachukua Fomu ya uongozi akichuana na Wanafunzi wenzake wenye zaidi ya miezi Saba.

Sasa wakati wa kampeni ndipo nikagundua kuwa kumbe kuna ishu ya Udini ambayo ni kete Muhimu Sana kwenye ushindi wa wagombea. Mimi ni Msabato, Mkristo. Mbele yangu nakabiliana na Muislam ambaye anajina kubwa la heshima kwa cheo cha Ostadh.

Ambaye wote tulikuwa kidato cha tano.

Wanafunzi wa O Level ndio walikuwa wengi Sana. Kushinda wa Advance.
O Level walikuwa kama 800 hivi, wakati A Level tukiwa hatufiki 150.

Waislam walikuwa wengi O level Karibu robo tatu iliyobaki ndio wanagawana Wakristo.

Advance Wakristo tulikuwa Wengi karibu Robo tatu yote tulikuwa Wakristo tukiongozwa na Wakatoliki.

Kama uchaguzi ungeitishwa kidini ni wazi ningeshindwa mapema Sana.

Hapo nimeeleza wapiga Kura ambao ni Sisi wanafunzi.

Kwa upande wa uongozi wa shule yaani Waalimu, kuanzia Mwalimu Mkuu, Msaidizi, Mwl. Taaluma, Mwl. Nidhamu hao walikuwa Wakristo huku Robo tatu ya Waalimu wote wakiwa ni Wakristo.

Kama hawa ndio tume ya Uchaguzi na uchaguzi ukiwa na mrengo wa kidini ni wazi ningeshinda.

So kimahesabu ilikuwa hivi; Tume imeshikiliwa na Robo tatu wakristo.

Wapiga Kura Robo tatu ni Waislam
Wagombea ni muislam na Mkristo!

Unafikiri nini kilitokea? Nani angeshinda hapo?

Wakati unaenda kuchukua fomu kuna Usaili wa kujieleza kwa kingereza Mbele ya Baraza la waalimu. Unajieleza kwa nini unania ya kugombea na utafanya nini. Kisha wanakuuliza Maswali.

Sijui ilitokea kinasibu au ilikuwaje. Viongozi wote wa kidini isipokuwe UKWATA tulikuwepo kwenye kugombea Uongozi wa shule. Sasa sijui ilikuwa powermonger au kitu gani

Mimi nilikuwa Mwenyekiti wa ASSA(Wasabato)

Mpinzani wangu alikuwa mwenyekiti wa KIMSYA(umoja wa wanafunzi wa sekondari waislam).
Headboy alikuwa mwenyekiti wa TYCS, Wakatoliki.

Academic Alikuwa mwenyekiti wa Shahidi wa Yehova.
Chakula, alikuwa Mhazini ASSA
Na wengineo.

Ukishakuwa kiongozi hasa wa ngazi ya juu kwa level ya wanafunzi kupewa mialiko ni Jambo lisiloepukika. Hivyo Leo utakuwa ukwata, Kesho utakuwa Kimsya, Kesho kutwa TYCS, mtondogoo Casfeta n.k
Nitaeleza baadaye mialiko hii inahusiana na hii mada.

Ikatokea sintofahamu, Mgombea wa U-headboy akajiengua kwa madai ya kutoamini mchakato na kuona Wakristo wanapendelewa. Basi kukawa na vuguvugu kubwa Sana. Kumbuka O level wengi ni Waislam kumaanisha Mji ule wengi ni Waislam kwani O level ilikuwa Day huku Advance tukiwa tumetokea Mkoani.

Mchakato wa uchaguzi ukasimama, ni kama ukaahirishwa.
Baadaye ukarudi baada ya Mgombea mwingine wa U headboy kujitokeza. Huyu alikuwa Mkatoliki pia.
Hivyo kwenye nafasi ya U headboy mambo yakawa sio magumu kivile. Yaani hapakuwa na ushindani.

Kimbembe kikabaki kwa kiongozi wa Chakula, kiongozi wa taaluma, na Mimi Kiongozi wa Nidhamu. Mnaweza kwa sehemu kuelewa why hata mada zangu nyingi zipo kinidhamu nidhamu, maadili this, uadilifu that😂😂. Nafikiri nimeathirika kisaikolojia.

Kampeni zikaanza upya, zile za Kwanza zikafutwa.
Uzinduzi wa Kampeni. Shule nzima ipo paredi. Kisha wagombea mmoja baada ya mwingine mnapanda kujinadi mbele ya shule.

Hapo inahitaji kujiamini.
Uwezo mzuri wa kuongea na ushawishi
Wapambe!

Sasa mimi ni Mgeni, bado watu hawajanizoea, na kuhusu kuwazoea lilikuwa jukumu langu hasa nyakati kama zile nikihitaji Kura.
Kujiamini najiamini, kama ujuavyo vijana wakisabato tumezoeshwa kuhubiri mbele za watu wengi. Hivyo kusimama mbele za watu sio tatizo.

Kuongea, Mimi sio Mwongeaji Mzuri. Kwanza Ninaongea kwa upesi, hali inayopelekea kukosa utulivu na kuna muda Nina kigugumizi.

Ninaongea bila kumaliza sentensi huku nikiamini wasikilizaji wameshajua ninachotaka kukisema
Ninaongea kwa kuuliza swali kisha ndio niongee.

Mfano, unajua nini? Kisha naongea, ninataka kusemaje? Kisha ninaongea.

Changamoto hizo katika umri ule nilizigundua baada ya ule uchaguzi. Nilikuwa najiuliza kwa nini nikiongea watu wanacheka.

Siku Moja kwenye talent day, dogo mmoja wa O level alikuwa akiiga Sauti, ndipo alipokuwa akiongea ati anaongea kwa sauti yangu lakini maneno yake ndio yalivuta usikivu wangu na wanafunzi walikuwa wakicheka Sana huku wakinitazama.

Sikuwa suprise na mtu kuiga sauti yangu. Ila siku Ile ndio niligundua uongeaji wangu ni wakuuliza maswali na kuiacha sentensi imening'ia bila kuimalizia.

Jambo hilo nililifanyia KAZI. Ingawaje ilichukua Muda mrefu.

Nilikuwa na tatizo la kuongea upesi na kuandika harakaharaka.

Hili la kuandika haraka ilikuwa advantage kwa sababu mtihani wa masaa matatu ningeufanya kwa Lisaa limoja hivi na hilo lisingeathiri ufaulu wangu.

Lakini baadaye katika hili hasa nilipokuwa chuo nikaona haina umuhimu wa kuandika harakaharaka.

Turudi kwenye uchaguzi!

Tayari nimepewa vidokezo na dondoo za chini kwa chini za utamaduni wa shule Ile. Nishajua udini unasehemu kubwa katika kuchaguliwa hasa na O level ambao ni wengi.

Embu jiulize, nitatoboa?
Ungenishauri nitumie mbinu gani ili nishinde Kwa Kura katika Uchaguzi Ule?

Kwanza niwe muwazi, ukishaingia kwenye siasa mambo mengi hubadilika. Hasahasa suala la mtazamo.
Kabla, nilikuwa mtu wa kuamini katika Haki yakuwa MTU akigombea atakayeshinda ashinde. Nakumbuka nikiwa O Level niliwahi kuwa Campaign manager wa Headboy ambaye alishindwa kwa Kura na mwanafunzi wa darasa la chini.

Sasa Mgombea wangu alikuwa ameshagundua hatoboi na ndipo akawa ananishinikiza tuibe Kura. Nilimkatalia lakini akaongea na mwalimu aliyekuwa anasimamia zoezi la kuhesabu Kura mpaka akashinda ingawaje alikuwa ameshindwa.

Ni rafiki yangu, akawa amenikasirikia kisa sikufanya alichotaka. Baadaye akiwa kwenye utawala wake kama Headboy nikamuuliza kwa nini aliamua kutumia dhulma ili awe kiongozi. Akanijibu Siwezi kumwelewa, siku nikiingia kwenye siasa nitamuelewa.

Sasa nipo kwenye Kampeni, ugeni mpya katika fikra zangu unanijia.
Hofu ya kushindwa inanikaba.
Jamani! Kushindwa kunauma!
Kutochaguliwa kunauma!
Sio tuu kwamba utakosa maslahi ya uongozi lakini pia hiyo itamaanisha watu hawakukubali.

Sikutegemea kama Jambo lile lingenichukua serious namna Ile.
Kuna wakati nilijuta kujiingiza kwenye kile kinyang'anyiro.

Kujiengua sitaki. Kushindwa sitaki!
Yaleyale ya Mbowe!
Kuna wakati namuelewa Mhe. Mbowe. Ni KAZI nyie! Acheni.

Kwanza unajiuliza utapata Kura ngapi?
Kupata kura chache huku mpinzani wako akikuacha kwa mamia ya kura unaweza ukajiua walahi!

Kuna njia moja ya kuitumia. Wanawake! Ndio wanawake! Ambao kwa shuleni wanaitwa Wasichana!

Kwanza sinaga ugomvi na wanawake. Pili, wanawake Nina mvuto nao.
Tatu wanawake ukijua kucheza na akili zao. Jambo lako limeenda.
Wanawake ukiwathamini na kuwapa umuhimu hawawezi kukuangusha kwenye matukio kama ya uchaguzi.
Sikumbuki Hilo wazo lilikujaje. Ila lilikuwa useful.

Wasichana wa O level walikuwa wengi kuliko wanaume. Hivyo kama nikiwashawishi nitakuwa nimemmaliza Mpinzani wangu.

Basi mpango ukawa hivi;

1. Kila darasa nilichukua msichana mmoja ambaye nilimwona naushawishi.
Nikamfanya kuwa mpiga Kampeni.
Huku nikimjaza kuwa yeye ni mrembo na navutiwa na wadada warembo kama yeye. Wanawake hujihisi fahari ukiwasifia kuwa wao ni wazuri. Zaidi nilimdanganya kuwa sijui kwa nini Moyo wangu umetokea kumuamini na kuona anauwezo wa kunipigia Kampeni.
Wanawake ni waaminifu Sana hasa wakiwa hawana njaa.

2. Kila darasa nilichagua mhesabu Kura ambaye ni Msabato. Hata hivyo nilichagua wale wasabato ambao sio radical. Nilichagua ambao sio wapenda kuhudhuria vipindi vya dini na sio churchboy. Nilikuwa na maana yangu.
Ningechagua wasabato lialia hila na mipango yangu ingeweza kushtukiwa kirahisi.
Nashukuru hakuna aliyeishtukia mpaka Leo hii.

3. Nilichagua mpenzi darasa lenye wanafunzi wengi.
Wakati mpinzani wangu akiwa Mtu wa Dini kwelikweli. Mimi hiyo isingenisaidia kuvuka.
Nilitafuta binti wa kiislam mrembo kuliko wote kidato cha tatu ambalo lilikuwa darasa lenye wanafunzi wengi.
Nilijua nguvu ya kuwa na msichana mzuri katika darasa lile na kwa umri wetu kama teen-agers.
Mpango huu ulifanikiwa kwa asilimia nyingi.
Nakumbuka wakati naingia darasa alilokuwa Yule binti ilikuwa shangwe kama lote.
Shemeji! Shemeji! Shemeji! Wanafunzi wanaimba. Nilimchungulia mrembo wangu, kalikuwa kanasikia aibu wenzake wakiendelea kushangilia na kufanya mizaha.
Darasa hili sikuongea chochote. Zaidi ya kuombwa nicheze kwani nilikuwa bingwa wa kudance na ku-shake. Huku mpinzani wangu katika vipaji vya kucheza ambaye nafikiri alikuwa namba moja akiwa amenizidi kwa kipaji cha kuimba na kucheza Mpira. Huyu aligombea kiongozi wa michezo.

Nikacheza, dadeki! Utoto na ujana unaraha jamani! Tazama siku sasa zimekuwa nyingi. Kila nikikumbuka naishia kutabasamu.

4. Kuhudhuria Club za vipaji na Burudani ambapo Kimsingi wanafunzi wengi huenda Huko.
Ninajua kucheza, kudance, kuiga Sauti kiasi, kuchora(hiki hakuhitajika), kuchezea Mpira( hiki nilikuwa nachuana na aliyekuwa kiongozi wa michezo) kuimba kidogo nyimbo za kidunia, nyimbo za kisabato nikiwa master Kwaya( sikuwa najua kuimba, ila nilijifunza nikiwa Advance kwa muda mchache. Ikafikia mpaka matukio ya shule niliambiwa mimi ndio nitunge ikiwemo ujio wa mwenge, uzinduzi wa miradi ya shule n.k. hii stori nitaisimulia kwani imebeba mambo mazuri yatakayokutia Moyo wewe ikiwa kuna Jambo unaona huliwezi)

Kushiriki kwenye matukio haya kuliongeza umashuhuri na ushawishi miongoni mwa wanafunzi.

Hatimaye siku ya uchaguzi!

Siku hiyo nilikuwa na hofu Sana.
Siku hiyo niliogopa Sana
Sikutaka kushindwa! Daah! Nilimkumbuka rafiki yangu niliyempigia kampeni kipindi nikiwa O Level

Kidato cha tano na sita niliongoza kwa Kura za kutosha tuu. Nilishasema Advance robo tatu walikuwa Wakristo.
Kidato cha sita walinipa zote mpaka waislam. Walimuona mpinzani wangu ni mtu mwenye misimamo Mikali.
Kidato cha tano nilipata robo tatu ya kura.
Mpaka hapo gap lilikuwa kubwa.
Ambalo yeye hakuwa na mashaka Sana kutokana na imani yake kwa O level.

Mara nasikia shangwe huko Chini. Shemeji! Shemeji! Shemeji! Moyo muda huo unapiga vibaya mno.
Naletewa matokeo nimeshinda pia. Yamebaki madarasa matatu. Kidato cha 1,2, na 4.

Mwisho kabisa nikawa nimeshinda ingawaje sio kwa kishindo. Ila nilishukuru kwani ugeni ule na kupata uongozi kwa mchuano mkali vile sikutegemea.

Nilijifunza mambo mengi Sana. Ni kumbukumbu inayonifanya nijivunie ujana wangu. Ni moja ya mambo yanayonifanya nione sikupoteza muda shuleni. Niliishi kikamilifu. Nilishiriki mambo mengi ambayo yalinifanya nione miaka ya shule ni michache Sana. Sikuwa bored!

Tukirudi kwenye mada!
Ni kweli kabisa udini na siasa katika nchi hii upo. Mimi nimetolea mfano katika level ya chini shuleni kupitia uzoefu wangu.

Wito; ingawaje ni Jambo gumu lakini linawezekana. Tuache Udini, undugu na ukabila katika siasa.
Acha nipumzike sasa

Ni Yule mtibeli

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Hongera Kwa kufika A level ,
Ila kwa mada hii umeonyesha umahiri mkubwa wa kuandika pumba na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.

Unatoaje hitimisho la hoja kubwa kama hii ya kitaifa kuhusu dini Kwa kutumia sample size ya shule moja .

Nakushauri achana ña hoja zinazokuzidi uwezo , fuatilia masuala mengine unayoweza Kama sifa za wanawake.

Kwa hoja hii wewe ndo una udini na sio taifa letu
 
Haya ndy Yaleyale aliosema muandishi.
Kaka hakuna haja ya sisi kubaguana. Wewe umejenga chuo,shule na hospital Mimi nimechimba visima vya maji vinavyotumiwa na watu wa Imani zote.
Natamani kusema wewe ni mjinga Kwa herufi kubwa ila naogopa utakuja kudhihirisha ujinga wako.
Mtu anatoa funzo tuache udini wewe unakuja na kujitukuza na kuleta udini kama sio urofa Nini Sasa.
Sio udini ni facts kenya wametuzidi kwa sababu hawajawahi kuwa na rais mvaa makobazi. Nchii huingia katika matatizo makubwa rais anapokuwa mvaa makobazi. Leta facts inayopingana na ninachosema.
 
Sio udini ni facts kenya wametuzidi kwa sababu hawajawahi kuwa na rais mvaa makobazi. Nchii huingia katika matatizo makubwa rais anapokuwa mvaa makobazi. Leta facts inayopingana na ninachosema.
Sioni fact ulioiongelea hapo mkuu.
Na hua napima uwezo wa kufikiria wa mtu nnaetaka kujadilina nae jambo sensitive.
Wewe ni kilaza sioni haja yakujadili Wala kutoka fact na wewe
 
Sidhani kama hapo kulikuwa na issue ya udini ila nadhani ulibeba huo mtazamo wewe kama wewe binafsi moyoni mwako na akilini.

Swali logical la kujiuliza ni je, dini ina influence gani eneo la maendeleo au kufanikiwa kwa jamii husika?🤔

Kwamba ukiwa muislam au Mkristo then some how unakuwa mbele zaidi ys wengine ambao hawafuati imani moja na wewe?


Nadhani ni kukosa tu exposure fulani za kimaisha tu ndio kuna wafanya watu wasio na upeo kuona dini ndio communication tool. Its simply childish and immaturity ukiniuliza mimi binafsi.

Mtu aliyekomaa kiakili na kifikra anajua Dini ni swala personal la mtu binafsi.

Kuamini dini ni identity yako katoka jamii ni sawa na kukana kuwa una akili timamu na unaendeshwa kwa hisia tupu katika kichwa chako.
 
Sioni fact ulioiongelea hapo mkuu.
Na hua napima uwezo wa kufikiria wa mtu nnaetaka kujadilina nae jambo sensitive.
Wewe ni kilaza sioni haja yakujadili Wala kutoka fact na wewe
Nieleweshe hapa ndugu yangu
Screenshot_20250916-220719.jpg
 
Hamjambo wote!

Ni ngumu Sana kuitenga Dini na Siasa. Ngumu Sana.

Ikiwa nchi inawananchi wengi wanaoamini katika Miungu na Dini huwezi kutenganisha siasa na Dini.
Ndio maana wanasiasa katika nchi zenye kuamini Miungu na Dini watanyumbulika watakavyo nyumbulika, watakukuruka watakavyo kukuruka ila mwisho wa siku utawakuta wamekimbilia kwa Waganga wa jadi huko, au utawakuta misikitini au kwenye Makanisa, au mahekalu.

Nchi ambayo wananchi wake hawaamini katika Miungu na Dini kabisa ndio haiwezekani kuchanganya Dini na Siasa. Kwa sababu Dini au miungu hiyo haina athari yoyote kiushawishi.

Ni kweli kuchanganya Dini na siasa ni hatari kwani uwezekano wa kuleta ubaguzi na tabaka ndani ya nchi huweza kutokea ndani ya taifa. Na hiyo itasababisha migogoro inayoweza kupelekea Vita ndani ya taifa.
Dini yenye waumini wengi na wenye nguvu ya kiuchumi wanaweza kutumia dini kama advantage ya kutawala na kuumiza wale ambao wapo wachache.

Katika taifa letu kuna dhana ambayo binafsi sifikirii kama ni yakweli ingawaje mtaani kwa wengi ni kama dhana inayokubaliwa na wengi na hiyo kufanya kuwa sehemi ya utamaduni wa nchi hii. Dhana hiyo ni Mtawala namba Moja lazima awe Muislam au mkristo wa dhehebu la Roman Catholic. Hivyo wanapokezana akitoka muislam anaingia Mkatoliki. Hivyohivyo.

Dhana hiyo haipo kisheria na kikatiba haikubaliki. Ila hiyo haimaanishi kwamba Jambo lisilokuwepo kisheria au kikatiba kuwa haliwezi kuwepo. Dhana hiyo ni moja ya mambo yanayoelezea kuchanganya Dini na siasa au Siasa na Dini.

Kwa jamii kama Tanzania, linapokuja suala la uongozi sio rahisi kutenganisha Dini na Siasa.

Nilipokuwa mdogo niliamini kwa kusikia viongozi wakisema taifa letu halina udini. Nikaamini! Lakini Imani yangu ilianza kutetereka nilipofika Advance. Nikiwa kidato cha tano niliingia kwenye siasa za chuleni. Nikiwa miongoni mwa waliogombea nafasi ya viongozi.

Nikiwa Newcomer, mwanafunzi mpya niliyehamia shule Ile, niliikuta shule ikiwa katika harakati za uchaguzi wa viongozi wapya kwani kidato cha sita walikuwa wapo mbioni kuhitimu.

Katika hesabu zangu nami nikaona nichukue Fomu, ingawaje sikuwa maarufu na wala siku na ushawishi Mkubwa kutokana na ugeni. Fikiria mwanafunzi anawiki mbili tuu anachukua Fomu ya uongozi akichuana na Wanafunzi wenzake wenye zaidi ya miezi Saba.

Sasa wakati wa kampeni ndipo nikagundua kuwa kumbe kuna ishu ya Udini ambayo ni kete Muhimu Sana kwenye ushindi wa wagombea. Mimi ni Msabato, Mkristo. Mbele yangu nakabiliana na Muislam ambaye anajina kubwa la heshima kwa cheo cha Ostadh.

Ambaye wote tulikuwa kidato cha tano.

Wanafunzi wa O Level ndio walikuwa wengi Sana. Kushinda wa Advance.
O Level walikuwa kama 800 hivi, wakati A Level tukiwa hatufiki 150.

Waislam walikuwa wengi O level Karibu robo tatu iliyobaki ndio wanagawana Wakristo.

Advance Wakristo tulikuwa Wengi karibu Robo tatu yote tulikuwa Wakristo tukiongozwa na Wakatoliki.

Kama uchaguzi ungeitishwa kidini ni wazi ningeshindwa mapema Sana.

Hapo nimeeleza wapiga Kura ambao ni Sisi wanafunzi.

Kwa upande wa uongozi wa shule yaani Waalimu, kuanzia Mwalimu Mkuu, Msaidizi, Mwl. Taaluma, Mwl. Nidhamu hao walikuwa Wakristo huku Robo tatu ya Waalimu wote wakiwa ni Wakristo.

Kama hawa ndio tume ya Uchaguzi na uchaguzi ukiwa na mrengo wa kidini ni wazi ningeshinda.

So kimahesabu ilikuwa hivi; Tume imeshikiliwa na Robo tatu wakristo.

Wapiga Kura Robo tatu ni Waislam
Wagombea ni muislam na Mkristo!

Unafikiri nini kilitokea? Nani angeshinda hapo?

Wakati unaenda kuchukua fomu kuna Usaili wa kujieleza kwa kingereza Mbele ya Baraza la waalimu. Unajieleza kwa nini unania ya kugombea na utafanya nini. Kisha wanakuuliza Maswali.

Sijui ilitokea kinasibu au ilikuwaje. Viongozi wote wa kidini isipokuwe UKWATA tulikuwepo kwenye kugombea Uongozi wa shule. Sasa sijui ilikuwa powermonger au kitu gani

Mimi nilikuwa Mwenyekiti wa ASSA(Wasabato)

Mpinzani wangu alikuwa mwenyekiti wa KIMSYA(umoja wa wanafunzi wa sekondari waislam).
Headboy alikuwa mwenyekiti wa TYCS, Wakatoliki.

Academic Alikuwa mwenyekiti wa Shahidi wa Yehova.
Chakula, alikuwa Mhazini ASSA
Na wengineo.

Ukishakuwa kiongozi hasa wa ngazi ya juu kwa level ya wanafunzi kupewa mialiko ni Jambo lisiloepukika. Hivyo Leo utakuwa ukwata, Kesho utakuwa Kimsya, Kesho kutwa TYCS, mtondogoo Casfeta n.k
Nitaeleza baadaye mialiko hii inahusiana na hii mada.

Ikatokea sintofahamu, Mgombea wa U-headboy akajiengua kwa madai ya kutoamini mchakato na kuona Wakristo wanapendelewa. Basi kukawa na vuguvugu kubwa Sana. Kumbuka O level wengi ni Waislam kumaanisha Mji ule wengi ni Waislam kwani O level ilikuwa Day huku Advance tukiwa tumetokea Mkoani.

Mchakato wa uchaguzi ukasimama, ni kama ukaahirishwa.
Baadaye ukarudi baada ya Mgombea mwingine wa U headboy kujitokeza. Huyu alikuwa Mkatoliki pia.
Hivyo kwenye nafasi ya U headboy mambo yakawa sio magumu kivile. Yaani hapakuwa na ushindani.

Kimbembe kikabaki kwa kiongozi wa Chakula, kiongozi wa taaluma, na Mimi Kiongozi wa Nidhamu. Mnaweza kwa sehemu kuelewa why hata mada zangu nyingi zipo kinidhamu nidhamu, maadili this, uadilifu that😂😂. Nafikiri nimeathirika kisaikolojia.

Kampeni zikaanza upya, zile za Kwanza zikafutwa.
Uzinduzi wa Kampeni. Shule nzima ipo paredi. Kisha wagombea mmoja baada ya mwingine mnapanda kujinadi mbele ya shule.

Hapo inahitaji kujiamini.
Uwezo mzuri wa kuongea na ushawishi
Wapambe!

Sasa mimi ni Mgeni, bado watu hawajanizoea, na kuhusu kuwazoea lilikuwa jukumu langu hasa nyakati kama zile nikihitaji Kura.
Kujiamini najiamini, kama ujuavyo vijana wakisabato tumezoeshwa kuhubiri mbele za watu wengi. Hivyo kusimama mbele za watu sio tatizo.

Kuongea, Mimi sio Mwongeaji Mzuri. Kwanza Ninaongea kwa upesi, hali inayopelekea kukosa utulivu na kuna muda Nina kigugumizi.

Ninaongea bila kumaliza sentensi huku nikiamini wasikilizaji wameshajua ninachotaka kukisema
Ninaongea kwa kuuliza swali kisha ndio niongee.

Mfano, unajua nini? Kisha naongea, ninataka kusemaje? Kisha ninaongea.

Changamoto hizo katika umri ule nilizigundua baada ya ule uchaguzi. Nilikuwa najiuliza kwa nini nikiongea watu wanacheka.

Siku Moja kwenye talent day, dogo mmoja wa O level alikuwa akiiga Sauti, ndipo alipokuwa akiongea ati anaongea kwa sauti yangu lakini maneno yake ndio yalivuta usikivu wangu na wanafunzi walikuwa wakicheka Sana huku wakinitazama.

Sikuwa suprise na mtu kuiga sauti yangu. Ila siku Ile ndio niligundua uongeaji wangu ni wakuuliza maswali na kuiacha sentensi imening'ia bila kuimalizia.

Jambo hilo nililifanyia KAZI. Ingawaje ilichukua Muda mrefu.

Nilikuwa na tatizo la kuongea upesi na kuandika harakaharaka.

Hili la kuandika haraka ilikuwa advantage kwa sababu mtihani wa masaa matatu ningeufanya kwa Lisaa limoja hivi na hilo lisingeathiri ufaulu wangu.

Lakini baadaye katika hili hasa nilipokuwa chuo nikaona haina umuhimu wa kuandika harakaharaka.

Turudi kwenye uchaguzi!

Tayari nimepewa vidokezo na dondoo za chini kwa chini za utamaduni wa shule Ile. Nishajua udini unasehemu kubwa katika kuchaguliwa hasa na O level ambao ni wengi.

Embu jiulize, nitatoboa?
Ungenishauri nitumie mbinu gani ili nishinde Kwa Kura katika Uchaguzi Ule?

Kwanza niwe muwazi, ukishaingia kwenye siasa mambo mengi hubadilika. Hasahasa suala la mtazamo.
Kabla, nilikuwa mtu wa kuamini katika Haki yakuwa MTU akigombea atakayeshinda ashinde. Nakumbuka nikiwa O Level niliwahi kuwa Campaign manager wa Headboy ambaye alishindwa kwa Kura na mwanafunzi wa darasa la chini.

Sasa Mgombea wangu alikuwa ameshagundua hatoboi na ndipo akawa ananishinikiza tuibe Kura. Nilimkatalia lakini akaongea na mwalimu aliyekuwa anasimamia zoezi la kuhesabu Kura mpaka akashinda ingawaje alikuwa ameshindwa.

Ni rafiki yangu, akawa amenikasirikia kisa sikufanya alichotaka. Baadaye akiwa kwenye utawala wake kama Headboy nikamuuliza kwa nini aliamua kutumia dhulma ili awe kiongozi. Akanijibu Siwezi kumwelewa, siku nikiingia kwenye siasa nitamuelewa.

Sasa nipo kwenye Kampeni, ugeni mpya katika fikra zangu unanijia.
Hofu ya kushindwa inanikaba.
Jamani! Kushindwa kunauma!
Kutochaguliwa kunauma!
Sio tuu kwamba utakosa maslahi ya uongozi lakini pia hiyo itamaanisha watu hawakukubali.

Sikutegemea kama Jambo lile lingenichukua serious namna Ile.
Kuna wakati nilijuta kujiingiza kwenye kile kinyang'anyiro.

Kujiengua sitaki. Kushindwa sitaki!
Yaleyale ya Mbowe!
Kuna wakati namuelewa Mhe. Mbowe. Ni KAZI nyie! Acheni.

Kwanza unajiuliza utapata Kura ngapi?
Kupata kura chache huku mpinzani wako akikuacha kwa mamia ya kura unaweza ukajiua walahi!

Kuna njia moja ya kuitumia. Wanawake! Ndio wanawake! Ambao kwa shuleni wanaitwa Wasichana!

Kwanza sinaga ugomvi na wanawake. Pili, wanawake Nina mvuto nao.
Tatu wanawake ukijua kucheza na akili zao. Jambo lako limeenda.
Wanawake ukiwathamini na kuwapa umuhimu hawawezi kukuangusha kwenye matukio kama ya uchaguzi.
Sikumbuki Hilo wazo lilikujaje. Ila lilikuwa useful.

Wasichana wa O level walikuwa wengi kuliko wanaume. Hivyo kama nikiwashawishi nitakuwa nimemmaliza Mpinzani wangu.

Basi mpango ukawa hivi;

1. Kila darasa nilichukua msichana mmoja ambaye nilimwona naushawishi.
Nikamfanya kuwa mpiga Kampeni.
Huku nikimjaza kuwa yeye ni mrembo na navutiwa na wadada warembo kama yeye. Wanawake hujihisi fahari ukiwasifia kuwa wao ni wazuri. Zaidi nilimdanganya kuwa sijui kwa nini Moyo wangu umetokea kumuamini na kuona anauwezo wa kunipigia Kampeni.
Wanawake ni waaminifu Sana hasa wakiwa hawana njaa.

2. Kila darasa nilichagua mhesabu Kura ambaye ni Msabato. Hata hivyo nilichagua wale wasabato ambao sio radical. Nilichagua ambao sio wapenda kuhudhuria vipindi vya dini na sio churchboy. Nilikuwa na maana yangu.
Ningechagua wasabato lialia hila na mipango yangu ingeweza kushtukiwa kirahisi.
Nashukuru hakuna aliyeishtukia mpaka Leo hii.

3. Nilichagua mpenzi darasa lenye wanafunzi wengi.
Wakati mpinzani wangu akiwa Mtu wa Dini kwelikweli. Mimi hiyo isingenisaidia kuvuka.
Nilitafuta binti wa kiislam mrembo kuliko wote kidato cha tatu ambalo lilikuwa darasa lenye wanafunzi wengi.
Nilijua nguvu ya kuwa na msichana mzuri katika darasa lile na kwa umri wetu kama teen-agers.
Mpango huu ulifanikiwa kwa asilimia nyingi.
Nakumbuka wakati naingia darasa alilokuwa Yule binti ilikuwa shangwe kama lote.
Shemeji! Shemeji! Shemeji! Wanafunzi wanaimba. Nilimchungulia mrembo wangu, kalikuwa kanasikia aibu wenzake wakiendelea kushangilia na kufanya mizaha.
Darasa hili sikuongea chochote. Zaidi ya kuombwa nicheze kwani nilikuwa bingwa wa kudance na ku-shake. Huku mpinzani wangu katika vipaji vya kucheza ambaye nafikiri alikuwa namba moja akiwa amenizidi kwa kipaji cha kuimba na kucheza Mpira. Huyu aligombea kiongozi wa michezo.

Nikacheza, dadeki! Utoto na ujana unaraha jamani! Tazama siku sasa zimekuwa nyingi. Kila nikikumbuka naishia kutabasamu.

4. Kuhudhuria Club za vipaji na Burudani ambapo Kimsingi wanafunzi wengi huenda Huko.
Ninajua kucheza, kudance, kuiga Sauti kiasi, kuchora(hiki hakuhitajika), kuchezea Mpira( hiki nilikuwa nachuana na aliyekuwa kiongozi wa michezo) kuimba kidogo nyimbo za kidunia, nyimbo za kisabato nikiwa master Kwaya( sikuwa najua kuimba, ila nilijifunza nikiwa Advance kwa muda mchache. Ikafikia mpaka matukio ya shule niliambiwa mimi ndio nitunge ikiwemo ujio wa mwenge, uzinduzi wa miradi ya shule n.k. hii stori nitaisimulia kwani imebeba mambo mazuri yatakayokutia Moyo wewe ikiwa kuna Jambo unaona huliwezi)

Kushiriki kwenye matukio haya kuliongeza umashuhuri na ushawishi miongoni mwa wanafunzi.

Hatimaye siku ya uchaguzi!

Siku hiyo nilikuwa na hofu Sana.
Siku hiyo niliogopa Sana
Sikutaka kushindwa! Daah! Nilimkumbuka rafiki yangu niliyempigia kampeni kipindi nikiwa O Level

Kidato cha tano na sita niliongoza kwa Kura za kutosha tuu. Nilishasema Advance robo tatu walikuwa Wakristo.
Kidato cha sita walinipa zote mpaka waislam. Walimuona mpinzani wangu ni mtu mwenye misimamo Mikali.
Kidato cha tano nilipata robo tatu ya kura.
Mpaka hapo gap lilikuwa kubwa.
Ambalo yeye hakuwa na mashaka Sana kutokana na imani yake kwa O level.

Mara nasikia shangwe huko Chini. Shemeji! Shemeji! Shemeji! Moyo muda huo unapiga vibaya mno.
Naletewa matokeo nimeshinda pia. Yamebaki madarasa matatu. Kidato cha 1,2, na 4.

Mwisho kabisa nikawa nimeshinda ingawaje sio kwa kishindo. Ila nilishukuru kwani ugeni ule na kupata uongozi kwa mchuano mkali vile sikutegemea.

Nilijifunza mambo mengi Sana. Ni kumbukumbu inayonifanya nijivunie ujana wangu. Ni moja ya mambo yanayonifanya nione sikupoteza muda shuleni. Niliishi kikamilifu. Nilishiriki mambo mengi ambayo yalinifanya nione miaka ya shule ni michache Sana. Sikuwa bored!

Tukirudi kwenye mada!
Ni kweli kabisa udini na siasa katika nchi hii upo. Mimi nimetolea mfano katika level ya chini shuleni kupitia uzoefu wangu.

Wito; ingawaje ni Jambo gumu lakini linawezekana. Tuache Udini, undugu na ukabila katika siasa.
Acha nipumzike sasa

Ni Yule mtibeli

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Tumekuwa kama Nigeria sasa
 
Back
Top Bottom