Nikipenda sipendwi, nikipendwa sipendi

Nikipenda sipendwi, nikipendwa sipendi

Kwaharaka nafkir vigezo vyako ndo hv ndo maana imekua tabu kumpata :-

~ Chura
~ mrembo
~ mwenye kipato (kazi)
~mkarimu mpole mwenye __hofu ya Mungu

NB: Kumpata mwanamke
Wa aina hii ni ngumu
Coz wengi wao huwa na watu wao tokea kitambo ambao wameanza nao from zero hadi kuwafikisha hapo.
Tafuta wako mpange mvishe mtunze nafikir ipo siku atakua kama unavyotaka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] du!!!
 
Ilo hata mm limenisib....si habar ngeni kwa waliopevuka....Anayenipenda simpendi na ninaye mpenda hanipendi....Yalait angelijua ninavyo nyatiwa asingeli nisumbua mwaka wa tatu sasa....Yan bila huruma ananichomolea makav bila chenga....Kanijaa had naona naona ananinyanyasa ...any way siku nitachukua maamuz magum japo sijui yap
Pole
 
Hapo inatakiwa wewe ndio uanze kumpenda mwanamke na ukishampenda uwe na mbinu za kufanya yule uliyempenda naye akupende sababu sisi wanawake tukishapendwa na kuonyeshwa yale mapenzi ni rahisi sana na sisi kupenda tena saa nyingine tunapenda mpaka tunavuka kiwango yaani hatuoni wala kusikia.

Pia pole sana kwa kukikosa hicho kitu sababu kupendwa unapopenda ni raha sana.
Hii ni hoja wa kwetu
 
Kuna uwezekano ww ni bisexual so u have nothing to lose
 
Muombe mungu kila siku atakuja.....ila we ni malaya nmekugundua wenye TABIA kama zako ye hakai na mwanamke kila siku anasema hyu hana vgezo...so wewe tu mwenyewe hujui unataka nini
Mkuu unaweza kitumia tafsida maana duh lights yako ni Kali saana
 
Unaweza ukajilazimisha kumpenda mwanadada ambaye kwako hana hivyo vigezo lakini kadri unavyozidi kumuzoea ndipo anakuwa mpya kwako na hatimaye vigezo vyake vilivyo ndani vikaonekana ukaja kushangaa usiyemtegeme ndiye akawa huyo. Asante
Sawa mkuu ,,,nashukuru kwa ushaur
 
Jitahidi kutafuta anaekupenda ww na we ujifunze kumpenda kulingana na upendo wake utafurahia maisha ya mapenzi....na mtajikuta wote mnapendana ....lakin ukisubir tu unaempenda nae akupende sawa na mapenzi yake duuh vuta kitu ukae utasubiir sana.....jifunze kumpenda anaekuonyesha mapnz hata kama humpendi kama unataka kufurahia mapnz mm ndicho nachoamin
Ahsante saaana nashukuru nitalifanyia kaz
 
Hakuna aliyekamili. Hao unaoona wanasifa wanaudhaifu wa kukuacha nao waona sifa wanazozitaka kwako hazipo. Sifa unayotakiwa kuitanguliza ni upendo na tabia njema au MTU awe na nidham. Mengine ni ya kutengeneza Na yanakua. Inatakiwa MTU umpende naye akupende pasipo na masharti.
Ahsante saana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom