Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 290
Habari waungwana, natumai mu wazima,
Bila kupoteza muda kama mada inavyojieleza hapo juu ni kwamba nimekuwa na tabia ya kuumia saana hasa inapofika suala la mapenzi.
Mimi bado sijaoa na katika kutafuta mchumba nakua na sifa zangu ninazozihitaki, sasa nikianzisha mahusiano na mtu mwenye sifa ninazozihitaji mahusiano yetu huwa hayadumu na kuishia kuumia tu.
Kwa upande wa pili kuna wadada wanaonipenda saana na mpaka wanamua kuniambia tuoaene Ila hawana sifa ninazozihitaji kama nilivyoeleza hapo juu.
Hili tatizo hasa ni nini? Kwanini nisipate anaenipenda na mimi kumpenda? Kwanini huwa inatokea hivi?
Ahsanteni na karibuni kwa usahuri
Bila kupoteza muda kama mada inavyojieleza hapo juu ni kwamba nimekuwa na tabia ya kuumia saana hasa inapofika suala la mapenzi.
Mimi bado sijaoa na katika kutafuta mchumba nakua na sifa zangu ninazozihitaki, sasa nikianzisha mahusiano na mtu mwenye sifa ninazozihitaji mahusiano yetu huwa hayadumu na kuishia kuumia tu.
Kwa upande wa pili kuna wadada wanaonipenda saana na mpaka wanamua kuniambia tuoaene Ila hawana sifa ninazozihitaji kama nilivyoeleza hapo juu.
Hili tatizo hasa ni nini? Kwanini nisipate anaenipenda na mimi kumpenda? Kwanini huwa inatokea hivi?
Ahsanteni na karibuni kwa usahuri