Mkuu ya mwenye hofu ya Mungu ndio kigezo Cha Kwanza ,,,,mengne ni " social fairs" tu ambavyo haithirKwaharaka nafkir vigezo vyako ndo hv ndo maana imekua tabu kumpata :-
~ Chura
~ mrembo
~ mwenye kipato (kazi)
~mkarimu mpole mwenye __hofu ya Mungu
NB: Kumpata mwanamke
Wa aina hii ni ngumu
Coz wengi wao huwa na watu wao tokea kitambo ambao wameanza nao from zero hadi kuwafikisha hapo.
Tafuta wako mpange mvishe mtunze nafikir ipo siku atakua kama unavyotaka
H a h a ah a.., Madame tatizo Moyo![emoji23] [emoji23] [emoji23] umetisha lakini unaidhulum nafsi
Ahsante kwa ushauriKuwa flexible tuu kubali kubadilika kidogo kuendana na mtu unayempata kwa sababu ni ngumu kumpata mtu unayetaka kwa vigezo ulivyoviunda wewe na yeye akupende kama unavotaka wewe. Hata hivyo mapenzi hayana formula kila mtu anapambana na mapenzi yake.
Mkuu ya mwenye hofu ya Mungu ndio kigezo Cha Kwanza ,,,,mengne ni " social fairs" tu ambavyo haithir
Naelewa, lakini tumeumbiwa kupenda na tumeumbiwa wawili wawili no matter utakayopitia utakuja kupenda tena tuH a h a ah a.., Madame tatizo Moyo!
Mapnz hayana usawaHabari waungwana, natumai mu wazima,
Bila kupoteza muda kama mada inavyojieleza hapo juu ni kwamba nimekuwa na tabia ya kuumia saana hasa inapofika suala la mapenzi.
Mimi bado sijaoa na katika kutafuta mchumba nakua na sifa zangu ninazozihitaki, sasa nikianzisha mahusiano na mtu mwenye sifa ninazozihitaji mahusiano yetu huwa hayadumu na kuishia kuumia tu.
Kwa upande wa pili kuna wadada wanaonipenda saana na mpaka wanamua kuniambia tuoaene Ila hawana sifa ninazozihitaji kama nilivyoeleza hapo juu.
Hili tatizo hasa ni nini? Kwanini nisipate anaenipenda na mimi kumpenda? Kwanini huwa inatokea hivi?
Ahsanteni na karibuni kwa usahuri
Eeeeenh.[emoji57][emoji57][emoji57]Muombe mungu kila siku atakuja.....ila we ni malaya nmekugundua wenye TABIA kama zako ye hakai na mwanamke kila siku anasema hyu hana vgezo...so wewe tu mwenyewe hujui unataka nini
mjomba huoni hyo mtu ana matatzo ye anasema hapati amtakaye hasa mulize kwenye mahusiano hayo huwa anakaa mda gani?...atakwambia miezi6 au mwakaEeeeenh.[emoji57][emoji57][emoji57]
Bado he need sapot na ushaurmjomba huoni hyo mtu ana matatzo ye anasema hapati amtakaye hasa mulize kwenye mahusiano hayo huwa anakaa mda gani?...atakwambia miezi6 au mwaka
Wewe utakua " livingstone" mkuuMimi sipendi wala sipendwi..,
Hahahaha karibu utoe mchango wako,,,tatizo lako ulichangia bla kujua Kuwa umechangia au laaHahaaaaaaah, duh umeona kumaliza bila kunitupa utakuwa umepoteza mechi. Haya nimekuelewa nakuja sasa kuchangia.
Mmmhh notedKama hupati unachokipenda basi penda unachokipata. Utafurahia maisha.
Yaan inakera saana mkuu ,,huku nanyatiwa na madame Kama 4 hiv halafu yeye sitaki natakaIlo hata mm limenisib....si habar ngeni kwa waliopevuka....Anayenipenda simpendi na ninaye mpenda hanipendi....Yalait angelijua ninavyo nyatiwa asingeli nisumbua mwaka wa tatu sasa....Yan bila huruma ananichomolea makav bila chenga....Kanijaa had naona naona ananinyanyasa ...any way siku nitachukua maamuz magum japo sijui yap
Kuna wakat wa kutoa mkuu ,,Kama pesa,,,matunzo nmeshafanya hayo saanaJomba unaelekea unamkono wa birka toa pesa utapendwa