Nikipenda sipendwi, nikipendwa sipendi

Nikipenda sipendwi, nikipendwa sipendi

Hii formular ya mapenzi alieileta sijui alimanisha nini,? Inatokea Sana hiyo hata mimi naexperince hiyo hali af unakuta mtu mwenyew wa kawaida tu na ana kasoro nying tu kibinadam lkn we ndo umekufa kwake huambiliki yani, cha msing nikuachana nae japo inauma Sana
Yaan mkuu wa kawaida saana mpaka watu wanakushangaa
 
Yaan mkuu wa kawaida saana mpaka watu wanakushangaa
Hahahaha MI kwa demu ambaye nampenda lkn amenizingua.... Kila boy niliewai kumuonesha picha zake hamna aliewai kuappreciate hadi girls wenzie utasikia ile rangi tu... Ila hata mimi nikimcheki kawaida Sana japo hata mimi nina mapungufu lkn mmmmh
 
Matarajio gani yanayotoweka?
Naamanisha mmefika hatua ya kwenda kwao anaanza kuzngua Mara hapokei wiki nzima ukiulza hakuna 7bu ya msingi yaan maongezi yanapungua saana upendo unapoa saana
Hapo inatakiwa wewe ndio uanze kumpenda mwanamke na ukishampenda uwe na mbinu za kufanya yule uliyempenda naye akupende sababu sisi wanawake tukishapendwa na kuonyeshwa yale mapenzi ni rahisi sana na sisi kupenda tena saa nyingine tunapenda mpaka tunavuka kiwango yaani hatuoni wala kusikia.

Pia pole sana kwa kukikosa hicho kitu sababu kupendwa unapopenda ni raha sana.
 
Umeshindwa kuandika hata kichwa cha habari tu? NIKIPENDA SIPENDWI, NIKIPENDWA SIPENDI. Sasa umeandika kama uko chekechea, na bado unashindwa kukielewa!! Pole sana, sina cha kuchangia maana ni uongo.
Hii no utelezi wa vidole tu mkuu mods wamesharekebisha, Ila na we uache uongo maaa unasema huchangii wakat umechangia ,,,udhan ni kuchangia kapu la Mama nn?
 
Unapenda mwenye vigezo vipi, naweza saidia kukuunganishia huku nikipata
Kama ilivyo sema bibilia ktka waefeso 5 : 35 na kuendelea ,,,wanawake watiin waume zenu ,utii uaminifu, hekema ndio Changu ,,,,dharau ni mwiko kwangu yaan
 
Hapo inatakiwa wewe ndio uanze kumpenda mwanamke na ukishampenda uwe na mbinu za kufanya yule uliyempenda naye akupende sababu sisi wanawake tukishapendwa na kuonyeshwa yale mapenzi ni rahisi sana na sisi kupenda tena saa nyingine tunapenda mpaka tunavuka kiwango yaani hatuoni wala kusikia.

Pia pole sana kwa kukikosa hicho kitu sababu kupendwa unapopenda ni raha sana.
Really?
Yaani asokua na interest ukimpenda nae anaweza KUKUPENDA?
 
Inawezekana pia unaowapenda wanaona wewe hauna vigezo wanavyovitaka... Kama wewe unavyoona wanaokupenda hawana vigezo vyako.

Cha msingi endelea kutafuta utampata wa kufanana na wewe
Ahsante saana
 
Hii no utelezi wa vidole tu mkuu mods wamesharekebisha, Ila na we uache uongo maaa unasema huchangii wakat umechangia ,,,udhan ni kuchangia kapu la Mama nn?
Hahaaaaaaah, duh umeona kumaliza bila kunitupa utakuwa umepoteza mechi. Haya nimekuelewa nakuja sasa kuchangia.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wapo walipendana na wakawa pamoja, masuala et sijui unayempenda haku/hatakupenda au vice versa hio sema inatokea lakini sio constant, tatzo tunalazimisha kupenda au kupendwa na watu ambao hatu match nao, najua kuna wataopinga ila ukweli ndo huo kuna level nyingne inabidi uwe mpole, mfano Deo kisandu mwana jf mwenzetu amekufa ameoza kwa mtoto wa obama hata hawajuani au hata wangekua wanajuana hivi unadhan unadhan utaondoa kigezo cha gap la level zao? Na yeye aje kulalamika et ninayempenda hanipendi?
Deo anampenda Maria Obama?Mbona easy tu aombe admission Harvard atakutana nae
Kwaharaka nafkir vigezo vyako ndo hv ndo maana imekua tabu kumpata :-

~ Chura
~ mrembo
~ mwenye kipato (kazi)
~mkarimu mpole mwenye __hofu ya Mungu

NB: Kumpata mwanamke
Wa aina hii ni ngumu
Coz wengi wao huwa na watu wao tokea kitambo ambao wameanza nao from zero hadi kuwafikisha hapo.
Tafuta wako mpange mvishe mtunze nafikir ipo siku atakua kama unavyotaka
 
Kwaharaka nafkir vigezo vyako ndo hv ndo maana imekua tabu kumpata :-

~ Chura
~ mrembo
~ mwenye kipato (kazi)
~mkarimu mpole mwenye __hofu ya Mungu

NB: Kumpata mwanamke
Wa aina hii ni ngumu
Coz wengi wao huwa na watu wao tokea kitambo ambao wameanza nao from zero hadi kuwafikisha hapo.
Tafuta wako mpange mvishe mtunze nafikir ipo siku atakua kama unavyotaka
Si kweli,watu wanakutana tu Ujanani na wanaunga bond maisha yanakwenda
 
Ukumbuke binadam hatujakamilika na huwezi kumpata mwenye vigezo vyote unavyotaka muhimu kuangalia vile vya umuhim ambavyo unaona ni muhimu kwako

Hata usikate tamaa sababu riziki yako iko njiani yaja muda na wakati wako bado tu haujafika binadam tunaharaka tu kua mvumilivu huku ukimshirikisha Mungu kila tatizo au ombi unalotaka kwa nia thabiti
Ahsante saana bibie ,, kwa ushauri ,,tatizo ni pale unaona Ana tabia fulan unajirbu kumrekebisha kifuatcho ni ogomvi
 
Sisemei asokuwa na interest sababu kiuhalisia ukimtongoza mwanamke na akakubali ule mtongozo ni lazima kuna kukupenda kwa asilimia fulani na ndicho nilichomaanisha hapo Mkuu.
Okay,
Sasa kuna zile haonesh nia,ila Mwanaume anajipa hope kuwa atalegea,jamaa anakaza.salam na sim haziish na kumcare,je kunaweza kubadilisha mind ya mlengwa?
 
Wapo walipendana na wakawa pamoja, masuala et sijui unayempenda haku/hatakupenda au vice versa hio sema inatokea lakini sio constant, tatzo tunalazimisha kupenda au kupendwa na watu ambao hatu match nao, najua kuna wataopinga ila ukweli ndo huo kuna level nyingne inabidi uwe mpole, mfano Deo kisandu mwana jf mwenzetu amekufa ameoza kwa mtoto wa obama hata hawajuani au hata wangekua wanajuana hivi unadhan unadhan utaondoa kigezo cha gap la level zao? Na yeye aje kulalamika et ninayempenda hanipendi?
Kwan Mantic ya yeye kumpenda mtoto wa Obama walishafkia level gan,,,alisharusha mistar akakubaliwa na baadaye akaanza kuzngua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom