Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 294
- Thread starter
- #101
KhaaKuna uwezekano ww ni bisexual so u have nothing to lose
KhaaKuna uwezekano ww ni bisexual so u have nothing to lose
Huu ndo ukweli asante dada MytaHapo inatakiwa wewe ndio uanze kumpenda mwanamke na ukishampenda uwe na mbinu za kufanya yule uliyempenda naye akupende sababu sisi wanawake tukishapendwa na kuonyeshwa yale mapenzi ni rahisi sana na sisi kupenda tena saa nyingine tunapenda mpaka tunavuka kiwango yaani hatuoni wala kusikia.
Pia pole sana kwa kukikosa hicho kitu sababu kupendwa unapopenda ni raha sana.
Tupo wengi mkuu chapa ilale nina zaidi ya 9yrs cjui wa cjawah penda![]()
![]()
umetisha lakini unaidhulum nafsi
Bora hata wewe mimi sitaki kupendwa kabisa, maana nishapendwa na wazazi wangu.Mimi sipendi wala sipendwi..,
Ndoa zinasumbua kwa kuwa katika hao wanandoa ni mmoja tuu ndo anampenda mwenzie mwingine unajutia rohoni kuwa ah angenikuwa fulani sasa basi fulani ama ndugu hawamtaki au yeye mwenyewe yaani huyo fulani alimkataa huyo mwanandoa asiyempenda mwenziye.Habari waungwana, natumai mu wazima,
Bila kupoteza muda kama mada inavyojieleza hapo juu ni kwamba nimekuwa na tabia ya kuumia saana hasa inapofika suala la mapenzi.
Mimi bado sijaoa na katika kutafuta mchumba nakua na sifa zangu ninazozihitaki, sasa nikianzisha mahusiano na mtu mwenye sifa ninazozihitaji mahusiano yetu huwa hayadumu na kuishia kuumia tu.
Kwa upande wa pili kuna wadada wanaonipenda saana na mpaka wanamua kuniambia tuoaene Ila hawana sifa ninazozihitaji kama nilivyoeleza hapo juu.
Hili tatizo hasa ni nini? Kwanini nisipate anaenipenda na mimi kumpenda? Kwanini huwa inatokea hivi?
Ahsanteni na karibuni kwa usahuri
Ahsante sana mdogo wangu.Huu ndo ukweli asante dada Myta


Hapana huwa mwanamke ndo mwenye uwezo wa kumfanya mwanaume apende. Mwanamke ndo huanza kumpenda mwanaume na kisha kwa strategies zisizo na papara na akiwa na nidham na akiwa mtaratibu na akifanya Yale tunayotamani wanaume basi lazima mwanaume aingie kingi. FactIla bora mwanaume akupende we mwanamke...kinyume na hapo ni kilio daily
Ahsante sana mdogo wangu.![]()
![]()
Ila hilo jina la dada yako ulivyoliandika mmh.![]()
![]()
si nimefupishaIla bora mwanaume akupende we mwanamke...kinyume na hapo ni kilio daily
hakuna tafsida hapo kaka neno MALAYA lipo hata kwenye kamusi ya kiswahili sio tusi hilo.......kaka wewe unatabia kama zangu ndio maana nmekujibu hvo hujui unachotaka wewe...unayemtaka ungemtengeneza mwenyewe .Mkuu unaweza kitumia tafsida maana duh lights yako ni Kali saana
Nimekusomahakuna tafsida hapo kaka neno MALAYA lipo hata kwenye kamusi ya kiswahili sio tusi hilo.......kaka wewe unatabia kama zangu ndio maana nmekujibu hvo hujui unachotaka wewe...unayemtaka ungemtengeneza mwenyewe .
Usiniulze semaUnafikiri hizi ndoa zote wanaoana walio pendana kama unavyotaka?