Nikionaga kijana kavaa haya maviatu

Nikionaga kijana kavaa haya maviatu

Napenda fashion sana na huwa nazingatia codes sana kwenye kuvaa ila sijawahi kuwa mpenzi wa mavitu makubwa makubwa maviatu,jeans pana, ma tshirt makubwa, makoti makubwa michain, bracet duh wasanii kazi wanayo,

Napenda nikivaa kitu mpaka mwenyewe nasema ehh hapa nimekaa kwenye code safi sio mavitu yanayokuchosha unajikuta unaongeza uzito maradufu
 
Hizo ni fashion za gen Z sasa wewe mbabu utavaaje si utaonekana kituko, wenyewe wanapendeza tukubali tu zama zetu zipo ukingoni tuwaache vijana wafurahi wakati wao.
Wakivaa vimodo vinavyowana wanasema hawana nidhamu.

Sasa wamekuja na style mpya, mabwanga, shati kubwa, msuruali mpana mara 20 ya mwili wake, mkiatu kama huo. Dundo refu na kubwa kwelikweli.

Halafu wanawaita ati wana matatizo ya akili wakati vijana wanafanya stara, ama kweli binafamu hata umfanyaje atakutoa kasoro 😂😂.

Binafsi pamoja na kua age go ila naweza kuvaa hayo makitu 😂😂
 
Napenda fashion sana na huwa nazingatia codes sana kwenye kuvaa ila sijawahi kuwa mpenzi wa mavitu makubwa makubwa maviatu,jeans pana, ma tshirt makubwa, makoti makubwa michain, bracet duh wasanii kazi wanayo,

Napenda nikivaa kitu mpaka mwenyewe nasema ehh hapa nimekaa kwenye code safi sio mavitu yanayokuchosha unajikuta unaongeza uzito maradufu
Macheni kama harmonize😂😂😂
 
Napenda fashion sana na huwa nazingatia codes sana kwenye kuvaa ila sijawahi kuwa mpenzi wa mavitu makubwa makubwa maviatu,jeans pana, ma tshirt makubwa, makoti makubwa michain, bracet duh wasanii kazi wanayo,

Napenda nikivaa kitu mpaka mwenyewe nasema ehh hapa nimekaa kwenye code safi sio mavitu yanayokuchosha unajikuta unaongeza uzito maradufu
Macheni kama harmonize
 
Napenda fashion sana na huwa nazingatia codes sana kwenye kuvaa ila sijawahi kuwa mpenzi wa mavitu makubwa makubwa maviatu,jeans pana, ma tshirt makubwa, makoti makubwa michain, bracet duh wasanii kazi wanayo,

Napenda nikivaa kitu mpaka mwenyewe nasema ehh hapa nimekaa kwenye code safi sio mavitu yanayokuchosha unajikuta unaongeza uzito maradufu
Unakuwa simple man sio brother man sio bishoo , upo kati kwa kati ndio ujanja huo, hata madogo wapo hawashobok na mavitu mengi.
 
Unakuwa simple man sio brother man sio bishoo , upo kati kwa kati ndio ujanja huo, hata madogo wapo hawashobok na mavitu mengi.
True man simple is classic

mfano shati safi la blue ukavaa na visweta vya V vile color iwe red au glay au black na surual ya kiyambaa au valia slim fit jeans ya black isiwe pana iswe nyembamba sana size ya mwili wako poa kabisa chukua basi na kiatu cheusi kama ni moka ni poa sana au hata raba nyeupe kama ipo aisehh its classic but simple vaa na saa yako nzuri tu yenye vimkanda vyembamba ya ngozi black or broun ✅✅ its self care and you on point✅✅
 
Au
Unakuwa simple man sio brother man sio bishoo , upo kati kwa kati ndio ujanja huo, hata madogo wapo hawashobok na mavitu mengi.
Au Chukua slim fit jeans ya light blue vaa na shirt ya kijani hapo chini vaa na simple raba tu nyeupe au black then juu unaweze unaweza ongezea na kata mikono sweta zile na tai safi it kills man ,

People dont understand fashinon is non verbal communication it does communicate it tells wewe ni nani wewe ni mtu gani,ndiyo maana kwenye interview tunashauriwa tuvae vizuri hata kama hupendi kupendeza likija swala la interviw badilika maana ndiyo utambulisho wako wewe ni nani first impression matters alot
 
Back
Top Bottom