Nikioa nitazama uvinza!!.

Nikioa nitazama uvinza!!.

Kati ya kitu ambacho nilishaga wahi kujaribu nakushindwa ni kupiga deki/kuzama chumvini/uvinza.

Nilitapika sana na kukoswa hamu ya kula chakula ndani ya siku tatu
sio poa, inaonyesha ulikutana na harufu ya mwendo kasi
 
Achana na hayo kuna ugonjwa flani hv waitwa HPV (Human Papiloma Virus) bwana we ni balaa haufai ukimwona yule mgonjwa cidhani kama utarudia kudeki tena, jaribuni kugoogle nilikuwa na picha zake nikapoteza simu ni balaa wapendwa lkn utakuta walimwengu wanadeki mpaka 0715...
Wewe utaibuka na kansa ya ulimi, mdomo na koromeo. Uwezekano wa kuambukizwa ukimwi ni mkubwa pia iwapo utakuwa na michubuko kwenye ulimi au lips za mdomo. Na lakushangaza ni kwamba watu wanayonyana nyuchi zao halafu ndio wanavaa condom eti kujilinda dhidi ya magonjwa ya zinaaa na ukimwi. Huu ni mchezo wa pwagu na pwaguzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom