Nikioa nitazama uvinza!!.

Nikioa nitazama uvinza!!.

Sawa rafiki. Kwani mkuu maana yake nini?
Ni neno maarufu tu linalotumika ku-adress watu jukwaani. Nataka nikuite best, sisi wahenga tunaweza kusaidiana kwa mengi
 
Vijana kila wanavyoona kwenye porn wanaoiga
Achana na hayo kuna ugonjwa flani hv waitwa HPV (Human Papiloma Virus) bwana we ni balaa haufai ukimwona yule mgonjwa cidhani kama utarudia kudeki tena, jaribuni kugoogle nilikuwa na picha zake nikapoteza simu ni balaa wapendwa lkn utakuta walimwengu wanadeki mpaka 0715...
 
Achana na hayo kuna ugonjwa flani hv waitwa HPV (Human Papiloma Virus) bwana we ni balaa haufai ukimwona yule mgonjwa cidhani kama utarudia kudeki tena, jaribuni kugoogle nilikuwa na picha zake nikapoteza simu ni balaa wapendwa lkn utakuta walimwengu wanadeki mpaka 0715...
Acha mbwembwe mkuu

Kila kitu kinakuwaga na risk zake na kuna jinsi ya kupunguza risk na maisha yakaendelea..

Sio kila mtumiaji excessive wa alcohol anapata liver cirrhosis au mvuta sigara anapata cancer ya mapafu..
 
I din't say that!
Acha mbwembwe mkuu

Kila kitu kinakuwaga na risk zake na kuna jinsi ya kupunguza risk na maisha yakaendelea..

Sio kila mtumiaji excessive wa alcohol anapata liver cirrhosis au mvuta sigara anapata cancer ya mapafu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom