Nikioa nitazama uvinza!!.

Nikioa nitazama uvinza!!.

hata mke usijaribu kuingia kule. fanya tendo la ndoa mengine mwachie ibiris
Uvinza patamu Sana ukimpata anayejua kujitunza,mie huwa naanzia masikioni mle ndani nikifika uvinza pale nikicheza Napo dakika kadhaa anakuwa yupo tayari kwa gemu then ndio natimba na jembe langu kuendeleza mpambano
 
Hili ndo tatizo wale wanacheza movie, vingine wanafanya editin mbongo na 0 brain ake anaiga wtf??
Cunnilingus ipo miaka na miaka sio kitu kipya au kitu kilicholetwa na porn actors..sema huku africa ni kwamba vinafika kwa kuchelewa

Kwani French kiss(denda) si imeingia bongo miaka haizidi hata 20,ila ni ya kitambo tu??..

Kitu ambacho watu wanatakiwa wajue ni kwamba cunnilungus inabidi ifanywe kwenye health and clean Vagina tu na si vinginevyo..
 
Uvinza patamu Sana ukimpata anayejua kujitunza,mie huwa naanzia masikioni mle ndani nikifika uvinza pale nikicheza Napo dakika kadhaa anakuwa yupo tayari kwa gemu then ndio natimba na jembe langu kuendeleza mpambano
Kuna kamanzi pia nilikuwa nacheza na sikio alikuwa anachanganyikiwa kinyama..
 
Achana na hayo kuna ugonjwa flani hv waitwa HPV (Human Papiloma Virus) bwana we ni balaa haufai ukimwona yule mgonjwa cidhani kama utarudia kudeki tena, jaribuni kugoogle nilikuwa na picha zake nikapoteza simu ni balaa wapendwa lkn utakuta walimwengu wanadeki mpaka 0715...
Halafu vijana wengi wa dot com ni kama wamekuwa wehu vile. Unawezaje kulamba uchi au tigo ya mwenzio ambapo yeye akiigusa baada ya kujisaidia hunawa na sabuni? Kijana anaweka ulimi wake kweli???? Wanadanganywa na picha za ngono. Wale ni waigizaji tu. Kinachofanyika huwa ni sterilization ya nguvu katika maeneo yao nyeti kabla ya kufanya yale yanayoonekana. Kimsingi suala la afya huwa ni kipaumbele sana kwa wacheza filamu za ngono. Ni lazima kupimwa kila ugonjwa kabla ya.
 
Cunnilungus ipo miaka na miaka sio kitu kipya au kitu kilicholetwa na porn actors..sema huku africa ni kwamba vinafika kwa kuchelewa

Kwani French kiss(denda) si imeingia bongo miaka haizidi hata 20,ila ni ya kitambo tu??..

Kitu ambacho watu wanatakiwa wajue ni kwamba cunnilungus inabidi ifanywe kwenye health and clean Vagina tu na si vinginevyo..
Ndg kule kwa bibi kuna bactria ambao kwa kule hawana madhara lkn wanavyohimishwa na kuja vinywani balaa lake ndo hilo la HPV na maradhi mengineyo ikiwa ni pa1 na domo kunuka kama choo cha stend!
 
Well said mkuu.
Kuna watu wanatetea kwa nguvu au ndo wanufaika wa kudekiwa bafuni na chooni kwa ulimi
Kashehe ni pale huo uchache unapokuangukia wewe. Utaomba ardhi ipasuke. Kuoza mdomo si jambo dogo ndugu.
 
Ndg kule kwa bibi kuna bactria ambao kwa kule hawana madhara lkn wanavyohimishwa na kuja vinywani balaa lake ndo hilo la HPV na maradhi mengineyo ikiwa ni pa1 na domo kunuka kama choo cha stend!
Labda uniambie candida(fungus) na sio bacteria..bacteria are everywhere..inategemea tu na normal flora mwilini mwako na immunity yako..

Na ukisema HPV maana yake tayari huyo mwanamke ni mgonjwa,so ana warts..unaanzaje kuzama chumvini??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom