ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
unafikiri sigangamali wangu! Najitoa muhanga mpaka round 7,ila duh! Mwenzangu hachoki haraka!
Dah! mechi inaenda mpk MATUTA hlf yeye bado nadai?!! kha!
unafikiri sigangamali wangu! Najitoa muhanga mpaka round 7,ila duh! Mwenzangu hachoki haraka!
kidume.
Powa mkuu,ntajaribu. Ila leo namtoroka!
Ukiona hachoki ujue bado hujamchosha,komaa au badili mapigo uone km hajakumbia.unafikiri sigangamali wangu! Najitoa muhanga mpaka round 7,ila duh! Mwenzangu hachoki haraka!
naona mida ya kuliwa imefika
jamaa kapotea, sijui atarudi salama maana leo kachoka!!
Nina mpenzi wangu ye ameajiria ofisi fulani na huwa kazi zinambana nafasi yake ni j'pili tu! Na huwa ananitumikisha kinoma akija. Weekend hii nimemwomba asije sijiskii vizuri! We ananiwakia ki ukweli! Nifanyeje? Halafu ndo ananitoa ki ukweli mshiko anao! Jamani nifanyeje?
Tafuta mwajiri mwingine, ikiwezekana mwanaume ili mckichoka mchoke wote...
Samahan, we wa Kike au wa Kiume.unafikiri sigangamali wangu! Najitoa muhanga mpaka round 7,ila duh! Mwenzangu hachoki haraka!
Mwambie huyo hapa mjini "nipe nikupe" usitegemee kupewa tu
Samahan, we wa Kike au wa Kiume.
N reserve comments zangu Mpaka nijibiwe hii concern yangu
Samahani kama nitasema maneno ya kukuvunja moyo, ila nikijaribu kuisoma message vema inaonekana wewe mwenyewe huna mapenzi ya dhati kwa huyo binti ndio maana unaona anakutumikisha ikiwa na maana umekuwa mtumwa, na pili uko naye kwa sababu ya pesa alizonazo ikiwa na maana hakuna mapenzi hapo. huwa hakuna kutumikishana kwenye mapenzi ya kweli.Be a Men please.
mla huliwa....hakuna cha bure duniani hapadah,dunia ina mengi...ukitaka kula sharti uliwe...si maneno yangu ni ya Mh Rais, ukitaka cha uvunguni sharti uiname, mtumikie kafiri upate mtaji wako...kama unataka mshiko timiza wajibu wako,fanya kila liwezekanalo uwe vizuri jumapili!
unafikiri sigangamali wangu! Najitoa muhanga mpaka round 7,ila duh! Mwenzangu hachoki haraka!
I don't comment on this forum - this will me my first time. I simply advise you to learn how to satisfy your lover - number of rounds don't mean she get satisfied - she may be enjoying your fore-plays but she doesn't get there. Ask JF members to give you more techs otherwise you are so naive in love-making. That is what I can offer!
Cheerz