New single mother. coming soonNina girlfriend wangu ambae tumedumu kwa muda wa miezi nane kwenye mahusiano na mpaka leo bado tupo pamoja.Mara nyingi huyu mpenzi wangu kabla hatujakutana kimwili huwa kuna vidonge anatumia ambavyo vinazuia yeye kupata ujauzito.
Kutokana na yeye kutumia vidonge hivi mara nyingi imempelekea yeye kuingia kwenye siku zake kwa siku nyingi zaidi kuliko mzunguko ule wa kawaida ambao unakua kati ya siku tatu hadi tano.
Nimemshauri ashike mimba lakini naona kama hayuko tayari kuzaa kwasasa.Nimeshaanza kumchoka sababu siwezi kuvumilia kusubiri kukatika kwa bleed ambayo inanifanya mimi nishindwe kukutana naye kimwili.
Je nikimuacha nitakua nimefanya kosa kulingana na maelezo hayo hapo juu ?
mpuuzi tuuNmecheka balaaa
We jamaa bonge la Fala na ndio waharibifu wa watoto wa watu, Kama unataka akupe kila siku na akuzalie kwann haufutai njia sahihi , Peleka posa kwao ukaoe.... Unataka mpa usingle maza then baadaye umeseme vibaya na wamnyanyapae vidume.. Aisee ungekuwa mdogo wangu na makofi ungekula ......bwege sana wewe ...!!!Nina girlfriend wangu ambae tumedumu kwa muda wa miezi nane kwenye mahusiano na mpaka leo bado tupo pamoja.Mara nyingi huyu mpenzi wangu kabla hatujakutana kimwili huwa kuna vidonge anatumia ambavyo vinazuia yeye kupata ujauzito.
Kutokana na yeye kutumia vidonge hivi mara nyingi imempelekea yeye kuingia kwenye siku zake kwa siku nyingi zaidi kuliko mzunguko ule wa kawaida ambao unakua kati ya siku tatu hadi tano.
Nimemshauri ashike mimba lakini naona kama hayuko tayari kuzaa kwasasa.Nimeshaanza kumchoka sababu siwezi kuvumilia kusubiri kukatika kwa bleed ambayo inanifanya mimi nishindwe kukutana naye kimwili.
Je nikimuacha nitakua nimefanya kosa kulingana na maelezo hayo hapo juu ?
Wa Kwanza mamake yuko wapi?Vijana mna nguvu za kutafuta pesa lkn mnaogopa kulea?!
Mimi nataka kuongeza mtt wa pili sasa nasubiri nipate mama wa kueleweka tu