Sasa usiwe unakumbuka ili usiumie
Yas mkuu...ndio tabia zangu...
Ukiwa na demu wa permanent kwanza ni very costful ..hata mambo ya familia atakutegemea ww...unashuka kiuchumi
Pili..ukiwa na demu mmoja wa permanent unakosa chaguo la variouties...so unakosa kugundua utamu wa wengine
Na la mwisho kuepuka hayo wanayoita naumivu...mwanamke ni product kila mtu anataka haitumia nawe unatakiwa uifanye bithaa ukitumia una dest huko unatafuta nyingine maisha yanasonga...
Duuh! Toka tareh 8.7.2013 mpaka leo bado unaumia??????
Mkuu dunia ya sasa hutakiwi kuisimama mguu sawa, unaweza kukatwa mtama ukaangukia meno.
Simama mguu pande, hawa wanawake hawaeleweki kabisa
Mmmh!!
Ah wapi kujiendekeza huko! Halafu unaysingizia mapenzi
Kawaida tu mkuu...wanaume wa miaka sijui mikono yao imefungwa vyuma ndio maana wanawake wanawachukulia mazoba ebooo yaani unafumania live live unashindwa hata kuonyesha uanaume wako au huyo jamaa uliemfumania ni bonge la njembaaaa mzee ukanywea ukaondoka bila kuaga