Nikikumbuka huwa naumia sana

Nikikumbuka huwa naumia sana

sawa mkuu hii formula yako nzuri..no kuumizwa

Tena nakufundisha kitu...chukua vitoto vya chuo au advance vile havinaga future kabisa ..ukikitoa out ,imekiazima gari yako kanaenda kuosha kwa wenzake bas unajipigia tu...akikachoka unapokonya fungua...ndo kushnehi unakatongoza karafiki yake nacho kanajaa king..ndo mchezo kijana...ila ndomu muhimu.... wala usitake ufundi saana utapata ngomaa
 
Habari wana JF

Nilimpenda sana, ndio kwanza tu alikuwa kaajiriwa binti huyu alikuwa hana kitu, mimi nikawa nikimuhudumia kwa kila kitu, mwaka huo 2013 nilimtafutia chumba nikampangishia, nikamnunulia vitu vya ndani sofa, Tv,kitanda n.k.


Yaani wacha utendwe tu...! ni haki yako kutendwa, haiwezekani ukutani na mtu tu ghafla hata humjui kitabia uanze kumnunulia vitu vya ndani mara umpangishie nyumba ukitegemea awe mpenzi wako..!

Hata zoba hawezi kufanya uKumbaffff uliofanya wewe.

Siku nyingine waulize kwanza wataalam wa haya makitu kabla hujachukua maamuzi,.. Shwain unatuaibisha WANAUME!
 
Tena nakufundisha kitu...chukua vitoto vya chuo au advance vile havinaga future kabisa ..ukikitoa out ,imekiazima gari yako kanaenda kuosha kwa wenzake bas unajipigia tu...akikachoka unapokonya fungua...ndo kushnehi unakatongoza karafiki yake nacho kanajaa king..ndo mchezo kijana...ila ndomu muhimu.... wala usitake ufundi saana utapata ngomaa

Naanza mkuu,,
 
Yaani wacha utendwe tu...! ni haki yako kutendwa, haiwezekani ukutani na mtu tu ghafla hata humjui kitabia uanze kumnunulia vitu vya ndani mara umpangishie nyumba ukitegemea awe mpenzi wako..!

Hata zoba hawezi kufanya uKumbaffff uliofanya wewe.

Siku nyingine waulize kwanza wataalam wa haya makitu kabla hujachukua maamuzi,.. Shwain unatuaibisha WANAUME!

Ndo mapenzi yalivyo...
 
Duuh! Toka tareh 8.7.2013 mpaka leo bado unaumia??????

Mkuu dunia ya sasa hutakiwi kuisimama mguu sawa, unaweza kukatwa mtama ukaangukia meno.

Simama mguu pande, hawa wanawake hawaeleweki kabisa
 
Mbna watu wanahonga mpaka meri....kawaida sana mkuu

Kuhonga sio tatizo embu unielewe TATIZO WEWE ULUKURUPUKA haiwezekani ghafla tu ukutane na mtu siku mbili tatu uanze kumnunulie vitu na kumpangishia chumba kwanza atakuona zoba la kutupwa!
 
mambo ya mapenzi ni magmu sana mkuu pole

Μπορείτε να μου
το δείξετε στο
χάρτη
 
Si mnasemaga walimu ndio wazuri kuoa??!

Walimu ndo wasio faa oa wana wezana wenyewe kwa wenyewe ndo maana ukichunguza utakuta walimu ndo wafanya kazi wa serikali wanao ongoza kwaku oana sababu yakukaa karbu maofisini bila kazi...uwez mkuta mwalimu wakike ambaye ana bwana mwanaume...!!!
 
Fafanua sijaelewa hapo boda boda alikuita kukwambia nn? Je mnafahamiana? Was it a coincidence?

Ni ngumu kufahamu maana watu hushindwa jinsi ya kukueleza siku fahamu mienendo yake. Siku moja nilikuwa katika kijiwe kimoja cha boda boda, kuna boda boda aliniita kufika pale simu ya boda boda ikaita akapokea baada ya kukata yule boda akasema "huyu dada nae kazidi umalaya kila siku nampeleka kwa mabwana tofaut tofauti" wenzie wakamuuliza pale nani huyo, akasema "si yule mwalimu wakataja jina lake, mapigo ya moyo yalienda kasi, roho ikaniuma na furaha ikakata ghafla nikaondoka pale.
 
pole mkuu

unampenda bado ndio maana kila ifikapo tarehe 08/07 unaikumbuka

anza maisha mapya bila yeye
 
Hao walimu sio waku kaa nao kaka...we piga then tembea...mm sinaga habari za kugandana...nikiwa na ugumu naita mmoja napiga maisha yanaendelea ...

Hehehehehheheheheh am speachless kwakweli
 
Back
Top Bottom