Nikikumbuka huwa naumia sana

Nikikumbuka huwa naumia sana

Na kosa ulilofanya ni kurud iyo tarehe 8/7 pengine ungeenda tarehe ingine yasingekukuta...
 
mi huwa mtu akishasema namhudumia kila kitu napata wasiwasi na story yake, kumnunulia mtu vijizawadi mara mojamoja wengi hujidai ndo wanahudumia!! ndo maana siwekagi kitu durable alonunua mwanaume hyo hela ntakula, kunywa vitu vya ndani kwa hela yangu labda awe mme wa ndoaa.

umesema ukakuta jamaa anakula mzigo, halafu ukamwambia mtoto afungue, ina maana ulipiga chabo kwanza then ukarudi kuita mtu
 
Duuh! Toka tareh 8.7.2013 mpaka leo bado unaumia??????

Mkuu dunia ya sasa hutakiwi kuisimama mguu sawa, unaweza kukatwa mtama ukaangukia meno.

Simama mguu pande, hawa wanawake hawaeleweki kabisa

sawa mgiriki
 
Walimu ndo wasio faa oa wana wezana wenyewe kwa wenyewe ndo maana ukichunguza utakuta walimu ndo wafanya kazi wa serikali wanao ongoza kwaku oana sababu yakukaa karbu maofisini bila kazi...uwez mkuta mwalimu wakike ambaye ana bwana mwanaume...!!!

Kweli mkuu.
 
"Huwez mkuta mwalimu wakike ambaye ana bwana mwanaume". definition ulikuwa unamaanisha nini hapo?
 
Last edited by a moderator:
mi huwa mtu akishasema namhudumia kila kitu napata wasiwasi na story yake, kumnunulia mtu vijizawadi mara mojamoja wengi hujidai ndo wanahudumia!! ndo maana siwekagi kitu durable alonunua mwanaume hyo hela ntakula, kunywa vitu vya ndani kwa hela yangu labda awe mme wa ndoaa.

umesema ukakuta jamaa anakula mzigo, halafu ukamwambia mtoto afungue, ina maana ulipiga chabo kwanza then ukarudi kuita mtu

Niliona jamaa anakula mzigo.
 
We ungekodi cary wakat unaenda!!ungechukua vitu vyako vyote wagegedane kwenye sakafu!!yan ununue kitanda ww wengine waje kukigongea!!
 
Pole ulipenda husipopendwa. Kunguru hafugiki! Jifunze kusahau katika maisha na kuanza upya. Zaidi ya hapo utajitafutia BP bure!!
 
Leo nimeonana na dada ambae nilipotezana nae mda wa miaka saba amenieleza jinc ambavyo ametaguta mtu kama mimi.kwa kipindi chooote hicho ameishia kudanganywa na kuumizwa tu nimelia sn
 
Back
Top Bottom