jean phillipe beyun
Senior Member
- May 18, 2015
- 142
- 167
Habari, nawasalimu,
Barua yangu ni fupi tu kwenu,
Nimekua rafiki yenu hapa kwa Muda sasa, na nimeandika hapa mara kadhaa kwa mambo mbali mbali, hata hivyo tatizo hili sijawahi kulisema kwa aibu, sasa nimeona kama vile linaendelea nimeona niliseme ili nipate msaada.
Ni kwamba, nikiwa na mwanamke kitandani, wakati nafikia mshindo lazima vipingili vya haja kubwa vitoke kama mavi ya mbuzi yanavyokua na kila bao inakua hivyo, siku za nyuma wasichana wengi niliokua nao hawakufahamu hili, nilikua nikijificha ficha sana, na mara nyingi mimi hupendelea kufanya usiku, ila wapo walioniona na kunikimbia.
Shida inakuja kwa sasa ninaishi na mwanamke kupika na kupakua ingawa hatujafunga ndoa, kwa Muda tuliokaa nae ameshaligundua tatizo hili na linamkera sana, na hali sasa si nzuri, nashindwa kumuelewa huyu mwanamke sababu mwanzo tulipoanza mahusiano alidai hawezi kuendelea na mimi kama nisipotahiriwa, tutagombana sana, nikalazimika kukiuka mila nikatahiriwa, hili tatizo lingine tangu mwanzo analijua pia na tulikubaliana tutasaidiana kupata ufumbuzi, cha ajabu sasa hivi amebadilika kabisa, kwamba ni kero kubwa kwake, na kwamba nisipotafuta ufumbuzi eti nisimlaumu
Wadau huyu mtu ananipenda kweli? Au anatafuta sababu ya kunikimbia? Tatizo dogo tu hivi linaweza kufanya mtu anaekupenda akakukimbia?
Na je kuna mwingine humu amewahi kupata shida kama hii yangu?
Maana huwa ninachukua Muda mrefu sana kumaliza mshindo mmoja na nikifika mwisho lazima haja itoke kidogo.
Kuna anaejua dawa ya tatizo hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Barua yangu ni fupi tu kwenu,
Nimekua rafiki yenu hapa kwa Muda sasa, na nimeandika hapa mara kadhaa kwa mambo mbali mbali, hata hivyo tatizo hili sijawahi kulisema kwa aibu, sasa nimeona kama vile linaendelea nimeona niliseme ili nipate msaada.
Ni kwamba, nikiwa na mwanamke kitandani, wakati nafikia mshindo lazima vipingili vya haja kubwa vitoke kama mavi ya mbuzi yanavyokua na kila bao inakua hivyo, siku za nyuma wasichana wengi niliokua nao hawakufahamu hili, nilikua nikijificha ficha sana, na mara nyingi mimi hupendelea kufanya usiku, ila wapo walioniona na kunikimbia.
Shida inakuja kwa sasa ninaishi na mwanamke kupika na kupakua ingawa hatujafunga ndoa, kwa Muda tuliokaa nae ameshaligundua tatizo hili na linamkera sana, na hali sasa si nzuri, nashindwa kumuelewa huyu mwanamke sababu mwanzo tulipoanza mahusiano alidai hawezi kuendelea na mimi kama nisipotahiriwa, tutagombana sana, nikalazimika kukiuka mila nikatahiriwa, hili tatizo lingine tangu mwanzo analijua pia na tulikubaliana tutasaidiana kupata ufumbuzi, cha ajabu sasa hivi amebadilika kabisa, kwamba ni kero kubwa kwake, na kwamba nisipotafuta ufumbuzi eti nisimlaumu
Wadau huyu mtu ananipenda kweli? Au anatafuta sababu ya kunikimbia? Tatizo dogo tu hivi linaweza kufanya mtu anaekupenda akakukimbia?
Na je kuna mwingine humu amewahi kupata shida kama hii yangu?
Maana huwa ninachukua Muda mrefu sana kumaliza mshindo mmoja na nikifika mwisho lazima haja itoke kidogo.
Kuna anaejua dawa ya tatizo hili?
Sent using Jamii Forums mobile app