King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,927
- 95,288
Kama una Mpunga Panga nyumba za Ada Estate.
😂😂😂😂😂Fika posta kwenye mnara wa askari
Nenda kawe kwa mwamposa paleJe, ukifika Dar wapi ni center ya jiji ambako ni rahisi kufika kila kona ya Dar? Zaman nilidhani ni Ubungo.
But nikaoba waataalam mnisaidie.
Wapi n center!
Centre ya huduma au centre ya jiografia?
Mkuu nakushauli fikia makumbusho hutojutia sababu pana urahisi wa kwenda sehemu zote za muhimu kwa dar
Kama hela unayo ni pm niko center kwanza we ni ke au
Kuna Dar jijini na Dar vijijini, unapaswa uzingatie hilo, Temeke na Kinondoni ni Dar vijijini, Ilala ni Jiji.
Hivi nyama za kitimoto zinapatika kwa bei gani na maeneo gani darNenda upanga karibu na ubalozi wa Burundi Kuna ukuta mreeeefuuu na miti ulaya kagonge lile geti ni baa kubwa Sana na senta ya kitimoto agiza bia na kitimoto hapo ndo penyewe.
😂 😂 😂Fika posta kwenye mnara wa askari
Naona mmeanza kurudi Dar kimyakimya.
MwengeCenter ya jiografia
Hostel za magufuli,,,,Wakuu naomba nichomekee kidogo..
Lodge/affordable hotel gani kali maeneo ya karibu na mlimani city?
Sawa mkuuHostel za magufuli,,,,
Acha upimbi wewHostel za magufuli,,,,