Nikifanya mapenzi naharibu ratiba ya kujisaidia

matimbanyula

JF-Expert Member
Jul 30, 2013
268
118
Naombeni ushauri wa kitaalamu nina shida moja kuwa kila nikifanya mapenzi naharibu ratiba yangu ya kwenda haja kubwa tatizo ambalo lina nipa shida sana kwani ratiba yangu ya kwenda haja kubwa ni saa moja asubuhi na nikifanya mapenz naenda haja kuanzia saa saba. Tatizo ni kuwa saa saba natakiwa kulipia huduma ya choo nikiwa eneo langu la kazi
 
Ni hali ya kawaida tu bila shaka hali hiyo inasababishwa na nguvu kubwa inayotumika wakati wa tendo lenyewe ni vema pia ungeangalia Crank shaft ya kushoto kwenye pin za kati
Lakini pia nina mashaka na hazard light zilizoko kwenye utumbo wako.Hata hiyo chases ya cross joint hswa kwenye mounting za kichwa huenda zikawa zimelegea
Ni vema umtafute doctor ili akufanyie overhaul
HAPO VIPI UMEELEWA AU NDO NIMEKUCHANGANYA KABISA
 
Ni hali ya kawaida tu bila shaka hali hiyo inasababishwa na nguvu kubwa inayotumika wakati wa tendo lenyewe ni vema pia ungeangalia Crank shaft ya kushoto kwenye pin za kati
Lakini pia nina mashaka na hazard light zilizoko kwenye utumbo wako.Hata hiyo chases ya cross joint hswa kwenye mounting za kichwa huenda zikawa zimelegea
Ni vema umtafute doctor ili akufanyie overhaul
HAPO VIPI UMEELEWA AU NDO NIMEKUCHANGANYA KABISA

wewe fundi magari au nani mkuu?..Nimecheka sana,ila nimekosa neno moja tu ili nicheke zaidi..SPRING MEAN LIV.
 
Naombeni ushauri wa kitaalamu nina shida moja kuwa kila nikifanya mapenzi naharibu ratiba yangu ya kwenda haja kubwa tatizo ambalo lina nipa shida sana kwani ratiba yangu ya kwenda haja kubwa ni saa moja asubuhi na nikifanya mapenz naenda haja kuanzia saa saba. Tatizo ni kuwa saa saba natakiwa kulipia huduma ya choo nikiwa eneo langu la kazi

Wewe ni mwanamke ama mwanaume?
 
Back
Top Bottom