Wacha wweee si muutaje tu😎Mkoa upi ?? Au ule wa mashariki ??,😜
Kuna zaidi ya dar mkuuWacha wweee si muutaje tu😎
😅😅😅PilipiliHao ndo wale wanaolia kwenye harusi wanaume wakioa 😎
Bwana Misosi huwa unavaa hivi 🤣Fashion acheni kukuza mambo
Hatuachi ata mtu semeKuna mkoa mmoja tu hapa Tanzania (jina kapuni) ambapo wanaume wanaweza kuvaa hivyo na kuingia mjini.
Fasheni gani hiyo ya kuacha mitungi ya gesi/mbupu outside?Fashion acheni kukuza mambo
Ndio na naingia supermarketBwana Misosi huwa unavaa hivi 🤣
Usije kuongozana na bulldogs.Watameza hizo pumbuje!Ndio na naingia supermarket