Kumuamini gwajiboi kunahitaji uthubutu wa juu mnoView attachment 1886541
kusema ukweli Askofu Gwajima amekua na tabia ya kuzikana kauli zake anazozungumza, hii inanipa shida sana kuamini kama hiki anachokisimamia leo hatakikana
sina hakika kama huyu mtu anaweza kuaminiwa,
Hakujua kuwa hakuna jimbo la Birmingham Marekani! Kuna mji wa Birmingham katika jimbo la Alabama. Ukiwa umezoea uongo unadanganya hata visivyokuwa na haja.View attachment 1886541
kusema ukweli Askofu Gwajima amekua na tabia ya kuzikana kauli zake anazozungumza, hii inanipa shida sana kuamini kama hiki anachokisimamia leo hatakikana,
hebu tufuatilie kidogo hizi clips fupi fupi sana
View attachment 1886539
hapa askofu alizungumza wazi wazi mbele ya waumini wake na kutuhumu dini za watu lakini baadae aliyakana maneno yake
View attachment 1886546
hapa aliwahaidi wananchi wa kawe kwenda jimbo la Birmingham marekani na wananchi wa Birmingham kuja kawe
View attachment 1886548
View attachment 1886550
View attachment 1886552
sina hakika kama huyu mtu anaweza kuaminiwa,
Na Birmingham yenyewe iko Uingereza.Hakujua kuwa hakuna jimbo la Birmingham Marekani! Kuna mji wa Birmingham katika jimbo la Alabama. Ukiwa umezoea uongo unadanganya hata visivyokuwa na haja.
Amandla...
Habari za Japan Mkuu? Umefikia Nagasaki au Kyoto?!Wivu tu...
Wakati nyie mnapanga foleni kwenda kichwanja, wenzenu wana-Kawe Jtano tunapanga foleni kupata uteuzi wa kwenda Japan kujifunza mambo ya uvuvi!!
Hapa chini, ni kisa cha mtoto Joyce!! Joyce kapewa kazi darasani, hakufanya vizuri! Mwalimu akamwambia arudie. Wakati akiwa peke yake Joyce akaanza kurudia ile kazi, lakini alipoinama wakati anaandika, Joyce akafa!!!
Mama wa Joyce haku-panic wala nini!!! Una-panic vipi wakati Daslam tuna Mtumishi wa Bwana mwenye uwezo wa kufufua wafu!!!
Ilipofika Jpili, mama huyoooo kwa Mtumishi akiwa na mwili mfu wa Joyce!! Wacha Mtumishi wetu afurahie kuletewa maiti! Ni lipi basi lililo bora kwa Mtumishi kuzidi hili la kumfufua binti mdogo?!
Kwa jina la Bwana, Mtumishi akanena kwa lugha, mara hee... Joyce huyoo! Kafufuka!!
Semeni ALLELUJAH... Bwana Alitoa! Bwana Akatwaa! Bwana Akarejesha!!!
Ndani ya sura ya dini.Gwajima Ni tapeli tu...
Technology sio kitu kizuri?View attachment 1886541
kusema ukweli Askofu Gwajima amekua na tabia ya kuzikana kauli zake anazozungumza, hii inanipa shida sana kuamini kama hiki anachokisimamia leo hatakikana,
hebu tufuatilie kidogo hizi clips fupi fupi sana
View attachment 1886539
hapa askofu alizungumza wazi wazi mbele ya waumini wake na kutuhumu dini za watu lakini baadae aliyakana maneno yake
View attachment 1886546
hapa aliwahaidi wananchi wa kawe kwenda jimbo la Birmingham marekani na wananchi wa Birmingham kuja kawe
View attachment 1886548
View attachment 1886550
View attachment 1886552
sina hakika kama huyu mtu anaweza kuaminiwa,
Kuna Birmingham nyingine Alabama Marekani.Na Birmingham yenyewe iko Uingereza.
Laiti kama ungeelewa wala usingerudia, Birmingham UK cityKuna Birmingham nyingine Alabama Marekani.
Amandla...
Birmingham (/ˈbɜːrmɪŋhæm/ BUR-ming-ham) is a city in the north central region of the U.S. state of Alabama. Birmingham is the seat of Jefferson County, Alabama's most populous and fifth largest county by area. As of 2018, the Birmingham-Hoover metropolitan area had a population of 1,151,801, making it the most populous in Alabama and 49th-most populous in the United States. Birmingham serves as an important regional hub and is associated with the Deep South, Piedmont, and Appalachian regions of the nation.Laiti kama ungeelewa wala usingerudia, Birmingham UK city
Birmingham US (Alabama) County!
Unalalamika kama wewe ndio Gwajima mwenyewe, Birmingham Uingereza ni mji katika US ni county. Tuachane na hayo ni nani hadi sasa mkazi wa Kawe unaemfahamu aliyekwisha pelekwa Birmingham?! Au yeyote wa Birmingham aliyeletwa Kawe?!Birmingham (/ˈbɜːrmɪŋhæm/ BUR-ming-ham) is a city in the north central region of the U.S. state of Alabama. Birmingham is the seat of Jefferson County, Alabama's most populous and fifth largest county by area. As of 2018, the Birmingham-Hoover metropolitan area had a population of 1,151,801, making it the most populous in Alabama and 49th-most populous in the United States. Birmingham serves as an important regional hub and is associated with the Deep South, Piedmont, and Appalachian regions of the nation.
Vijana mnapenda sana kutanguliza kebehi katika mijadala. Birmingham ni mji uliopo Jefferson County. Jefferson county iko katika jimbo (State) la Alabama. Ni mji wenye nafasi kubwa katika civil rights movement ya marekani. Mwaka 1963 wasichana watatu waliuawa baada ya kanisa lao kupigwa bomu na wabaguzi wa rangi. Condoleezza Rice alizaliwa Birmingham Alabama. Sijui kama unamjua huyu mama ?
Amandla....
Unalalamika kama wewe ndio Gwajima mwenyewe, Birmingham Uingereza ni mji katika US ni county. Tuachane na hayo ni nani hadi sasa mkazi wa Kawe unaemfahamu aliyekwisha pelekwa Birmingham?! Au yeyote wa Birmingham aliyeletwa Kawe?!
Birmingham my foot!!
Mkuu bado haiondoi ukweli County kwa kiswahili ni jimbo kama kawe, Kawe ni jimbo na ndio maana uchaguzi wetu unafanyika kwa majimbo kwa ajili ya kupata wawakilishi wa majimbo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hujajibu swali, ni mkazi gani wa kawe unaemjua hadi sasa hivi ameshafikishwa Birmingham? Au mkazi gani wa Birmingham aliyeletwa kawe kama alivyosema Gwajima?Hauna tofauti na Gwajima. Birmingham ni Jiji lililopo Jefferson County Marekani. Hamna kitu kama Birmingham county au Birmingham State ya Gwajima. Tumia mtandao kwa kujielimisha. Google tu Birmingham USA utapata jibu. Sio dhambi kukiri kuwa ulikosea. Wote huwa tunakosea na tunaposahihishwa tunakubali. Ndio uungwana.
Amandla...