johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,022
- 142,065
Kwa vile kamuamin shoga kwenye serikali yake?Biden na tundulisu ni watu wasiokaa chungu kimoja. Halaf usimfananishe biden na watu wa ajab ajab
Umeishiwa ya kuandika?Natafakari tu.
Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.
Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?
Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.
Maendeleo hayana vyama!
No offence. Kwetu sisi ushoga ni haramu.Kwa vile kamuamin shoga kwenye serikali yake?
Natafakari tu.
Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.
Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?
Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.
Maendeleo hayana vyama!
Team Lumumba. Mlisema wapinzani wanawa chelewesha . Mmewatoa lakini bado safari haifanyiki mnaishia kuwalaumu wapinzani !!!Biden na tundulisu ni watu wasiokaa chungu kimoja. Halaf usimfananishe biden na watu wa ajab ajab
Naona mmeweka CD zote,hadi zimeisha sasa.Natafakari tu.
Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.
Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?
Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.
Maendeleo hayana vyama!
Natafakari tu.
Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.
Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?
Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.
Maendeleo hayana vyama!
Amefuta sera gani? Muachage ujinga! Hujui hata tofauti ya executive orders na policies na policy making! Yaani viazi kama viazi. Kuna vitu wanafundishaga second year varsity! Hata shule hamkwenda?Natafakari tu.
Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.
Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?
Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.
Maendeleo hayana vyama!
Angemrudisha hadi Morison Yanga.
Natafakari tu.
Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.
Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?
Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.
Maendeleo hayana vyama!
unawaza watu ambao hawawezi hata kushika ukuu wa mkoa.Natafakari tu.
Iwapo makao makuu ya Chadema bado yapo Dar es salaam hadi leo yawezekana chama hicho hakikubaliani na sera ya kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma.
Je, unadhani ni nini Tundu Lisu angekifuta mapema kama angefaulu kutinga jumba jeupe ambacho kingeturudisha nyuma kimaendeleo?
Ninachoamini fly over ya ubungo angeiheshimu.
Maendeleo hayana vyama!