Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 370,954 Reaction score 858,893 Mar 29, 2015 Thread starter #3 decomm said: Petroli Click to expand... Na diesel pia
Malyenge JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 6,658 Reaction score 3,664 Mar 29, 2015 #4 Lo mi nilijua asali
S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,227 Reaction score 1,104 Mar 29, 2015 #5 Njombe au Iringa hiyo.
kabanga Platinum Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,578 Reaction score 18,952 Mar 29, 2015 #6 Wese la kidebe....
F fasam Member Joined Mar 6, 2014 Posts 46 Reaction score 12 Mar 30, 2015 #7 mshana jr said: View attachment 238969 Click to expand... Humo ni full mchakachuo. Miminia kwenye tenki ya gari yako halafu sikilizia matokeo.
mshana jr said: View attachment 238969 Click to expand... Humo ni full mchakachuo. Miminia kwenye tenki ya gari yako halafu sikilizia matokeo.
Akthoo JF-Expert Member Joined Nov 5, 2007 Posts 1,066 Reaction score 1,146 Mar 30, 2015 #8 Along Mombo to Mwanga High way utakuta Madumu ya Njano! Hivi ni vituo vya kuuza na kununua Petrol/ Diesel kutoka kwa Madereva wa MaTruck.
Along Mombo to Mwanga High way utakuta Madumu ya Njano! Hivi ni vituo vya kuuza na kununua Petrol/ Diesel kutoka kwa Madereva wa MaTruck.