Nikaishi wapi Dar hii, nikimbie hizi foleni?

KakaKiiza kwa serikali hii tusitarajie chochote, Dr. Magufuli alionekana mzuri baada ya Mzee Mkapa kumuwezesha kufanya kazi, si tumeona alipokuwa uvuvi kazi aliyoifanya lakini JK kama hakuifuraia so hata hapo alipo Mkulu anaweza asimpe pesa ya kufanyia kazi ili aonekane hawezi kazi, kwa ujumla sitegemei chochote kutoka kwa serikali ya JK
 
KakaKiiza kwa serikali hii tusitarajie chochote, Dr. Magufuli alionekana mzuri baada ya Mzee Mkapa kumuwezesha kufanya kazi, si tumeona alipokuwa uvuvi kazi aliyoifanya lakini JK kama hakuifuraia so hata hapo alipo Mkulu anaweza asimpe pesa ya kufanyia kazi ili aonekane hawezi kazi, kwa ujumla sitegemei chochote kutoka kwa serikali ya JK
Hakuifurahia!!! Hapa evidence inahitajika kidogo otherwise asingekuwepo kwenye Baraza.
 
Mimi nadhani anajua kama nichapa kazi hivyo amekuwa akijaribu kumweka kwenye wizara korofi na matokeo yake tumeyaona na sasa kamrudisha ujenzi apige kazi ,kwani Aridhi,Uvuvi kafanya vizuri na kamuweka huku ili ahadi zake ziweze kutekelezwa kwa wakati.
 
GreaTtHinkers;
Napenda tujadili suala hili la ujenzi wa Flyovers TAZARA na UBUNGO kama kweli litatua tatizo la fofeni za magari bila kupanua barabara au kuweka zingine mpya.
Kwanza maoni yangu;
Ningeshauri Serikali ione utaratibu wa kutumia Bonde la Msimbazi ambalo linaanzia Salender Bridge,Jangwani,Vingunguti hadi kinyerezi hadi Pugu japo njia NNE KWENDA TOWN/NNE KUTOKA TOWN,
Ningeshauri Serikali ione utaratibu wa kutumia bonde la Mto mzinga/Kizinga kuanzia bandarini,kurasini, mtoni mtongani na kwenda nje ya mji NJIA NNE KWENDA TOWN,NNE KUTOKA TOWN,
Ningeshauri serikali ione utaratibu wa Kuweka barabara NJIA NANE baharini kutokea Salender Bridge, kupitia magogoni posta ya zamani hadi kuunganisha na KILWA ROAD. Hayo majengo yaliyo upande wa baharini yanaweka kiwingu kisicho na maana.
Gharama ya Flyovers ni kubwa sana kwa maoni yangu na ingeza kufanya kazi nzuri zaidi kama watakuwa wako makini katika hili.:target:
 
You are right Spencer, lakini mbona hujatoa suluhisho la msongamano wa Bunju kuja Mwenge mpaka Posta( Ali Hassan Mwinyi)??
 
You are right Spencer, lakini mbona hujatoa suluhisho la msongamano wa Bunju kuja Mwenge mpaka Posta( Ali Hassan Mwinyi)??

Pale TEGETA balaa ukipita mbele kweupe sijui tatizo nini....mpaka nachukia kujenga huko...jana jioni imeanzia Mbuyuni
 
Ubungo iwe hivi?Sijui...........

SpaghettiJunctionGA.jpg
 
Mkuu safari_ni_safari tatizo la Tegeta ni dogo sana,ni kwasababu hakuna kituom cha mabasi ya daladala kwahiyo mabasi yanasimama barabarani na hivyo kufanya kupishana iwe tatizo na hivyo misururu kuwa mirefu.

Tatizo hili litaondoka ndani ya mwaka mmoja ujao,God willing! kama mkandarasi na Tanroads wanaotekeleza mradi unaofadhiliwa na JICA kwaajili ya upanuzi wa barabara hiyo watafanikisha kumaliza ujenzi ndani ya mwaka mmoja.
 
Spencer imetulia sana hiyo kitu,lakini barabara ya mwenge/bagamoyo nayo inatakiwa itanuliwe kuanzia mwenge hadi bunju,au ikiwezekana old bagamoyo road nayo iboreshwe.
 
Constructing Flyovers alone will not solve congestion in Dar Es Salaam. Imagine you construct a flyover in Ubungo junction or Mwenge Junction and expect congestion to be solved along A.H.Mwinyi and Morogoro Road.
This will not be the case because you will simply shift congestion from Ubungo to Kimara/MKbezi or from Mwenge to Lugalo/Mbezi Beach.
So unless the roads after the fly over are expanded to accommodate the increased traffic, the congestion will still be there!
 
Magufuli afanye haya:
  1. Tanua Old na New Bagamoyo roads kuwa dual carriage eays
  2. Jenga ring road toka Kigamboni-Mbagala-Ukonga-Pugu-Kisarawe-Kibaha-Bunju hii iwe na lanes nne nne
  3. Jenga barabara tok Selander bridge along Msimbazi valley mapaka ikutane na hiyo hapo juu nayo njia nne nne
  4. Halafu jenga flyove hapo selander ili hii barabara iingie City centre through Seaview
  5. Hamisaha huduma zote za jamii toka City centre:Shule,Vyuo,Mahakama,Wizara tec kwenda nje ya mji kufuata wananchi
 
Fly over zinasaidia tu kuondoa msongamano katika junction na si vinginevyo. Kama kweli tunataka kuondoa tatizo la foleni tupitie upya city plan yetu na kufanya maamuzi mazito ya kusitisha ujenzi wa aina yoyote city center. Kila siku tunaendelea kuporomosha magorofa mapya mjini na kubomoa nyumba za zamani nyingine zikiwa ni za kumbukumbu muhimu kihistoria...huu ni ulofa wa hali ya juu!

Pia tuwekeze kwenye public transport ya kueleweka kuwafanya wananchi wasilazimike kutumia magari yao kila sehemu wanayokwenda, tuwe na city trains katika njia kuu za kwenda kimara-mbezi, boko-bunju, mbagala, na ukonga-gongo la mboto...

By the way, hivi DART imeishia wapi??????
 
however it will solve the problem at the nyerere and kawawa roads, nyerere mandela roads where we have to wait for up to 40 minutes to let people on the nyerere road side to pass- priority road
 
Magufuli afanye haya:
  1. Tanua Old na New Bagamoyo roads kuwa dual carriage eays
  2. Jenga ring road toka Kigamboni-Mbagala-Ukonga-Pugu-Kisarawe-Kibaha-Bunju hii iwe na lanes nne nne
  3. Jenga barabara tok Selander bridge along Msimbazi valley mapaka ikutane na hiyo hapo juu nayo njia nne nne
  4. Halafu jenga flyove hapo selander ili hii barabara iingie City centre through Seaview
  5. Hamisaha huduma zote za jamii toka City centre:Shule,Vyuo,Mahakama,Wizara tec kwenda nje ya mji kufuata wananchi


aaah mi naona wajenge glocery na bar nyingi njiani tuwe tunapumzika na taska baridi na kunywa misupu ya mkia na samaki wakati tunasubiria foleni ipungue bana...mambo ya flayovers ya kizungu sana leseni zenyewe tunazo za magumashi tusije leta ajali kila kukicha
 
Hamna njia ya mkato kwene tatizo la usafiri. Kunatakiwa mipango na makusudio ya muda mrefu kwanza ku-encourage public transport badala ya individualistic transportations. Kwa kufanya hivo pia kwa pamoja tunakuwa tunapunguza tatizo la uchafuzi wa mazingira. Kwa hiyo cha kwanza ni kwa serikali ku-stop this madness ya kila mtu kutaka kuwa na gari (tena 99% ni mitumba yalifeli viwango vya mazingira huko yalikotoka). More individual cars more pollution and more congestion..commonsense.

I have been recently watching a documentary on Paris transport, for starters hili ni mojawapo ya majiji yenye most efficient transport networks in this planet. Lakini wana-encourage usafiri wa umma na matumizi ya baiskeli. Hata baadhi ya askari wanafanya patrol kwa baiskeli. Hawaongezi mabarabara wala extravagant flyovers, maana wameshagundua hawahitaji kuongeza idadi ya magari bali kuwa na usafiri maridhawa na unaokidhi viwango na mahitaji ya kimazingira.
 
Hamna njia ya mkato kwene tatizo la usafiri. Kunatakiwa mipango na makusudio ya muda mrefu kwanza ku-encourage public transport badala ya individualistic transportations. Kwa kufanya hivo pia kwa pamoja tunakuwa tunapunguza tatizo la uchafuzi wa mazingira. Kwa hiyo cha kwanza ni kwa serikali ku-stop this madness ya kila mtu kutaka kuwa na gari (tena 99% ni mitumba yalifeli viwango vya mazingira huko yalikotoka). More individual cars more pollution and more congestion..commonsense.

I have been recently watching a documentary on Paris transport, for starters hili ni mojawapo ya majiji yenye most efficient transport networks in this planet. Lakini wana-encourage usafiri wa umma na matumizi ya baiskeli. Hata baadhi ya askari wanafanya patrol kwa baiskeli. Hawaongezi mabarabara wala extravagant flyovers, maana wameshagundua hawahitaji kuongeza idadi ya magari bali kuwa na usafiri maridhawa na unaokidhi viwango na mahitaji ya kimazingira.

Yaani warudishe haya? duh itakuwa noma sana

UDA.jpg
 
Yaani warudishe haya? duh itakuwa noma sana

UDA.jpg

Mkuu umenikumbusha mbaaali sana kwene hayo mabasi yenye kichogo chenye curve kule nyuma..dah, damn those good old days..

Public transport sio lazima mabasi tu, kuna tramways, trains, subways, barges/boats,etc..
 
Mkuu umenikumbusha mbaaali sana kwene hayo mabasi yenye kichogo chenye curve kule nyuma..dah, damn those good old days..

Public transport sio lazima mabasi tu, kuna tramways, trains, subways, barges/boats,etc..

Lol....I just wanted your attention...tuliyaita Choggo Chemba after that SIMBA SC defender...babaake manji ndio alikuwa fundi wake haya
 
Magufuli afanye haya:
  1. Tanua Old na New Bagamoyo roads kuwa dual carriage eays
  2. Jenga ring road toka Kigamboni-Mbagala-Ukonga-Pugu-Kisarawe-Kibaha-Bunju hii iwe na lanes nne nne
  3. Jenga barabara tok Selander bridge along Msimbazi valley mapaka ikutane na hiyo hapo juu nayo njia nne nne
  4. Halafu jenga flyove hapo selander ili hii barabara iingie City centre through Seaview
  5. Hamisaha huduma zote za jamii toka City centre:Shule,Vyuo,Mahakama,Wizara tec kwenda nje ya mji kufuata wananchi

Sasa kama anahamisha huduma kutoka katikati ya mji kwenda kwa watu, huoni kama CBD itakuwa GHOST CITY? Na kwa maana hiyo haina haja hata ya kujenga barabara/flyovers katikati ya jiji?
 
Hamna njia ya mkato kwene tatizo la usafiri. Kunatakiwa mipango na makusudio ya muda mrefu kwanza ku-encourage public transport badala ya individualistic transportations. Kwa kufanya hivo pia kwa pamoja tunakuwa tunapunguza tatizo la uchafuzi wa mazingira. Kwa hiyo cha kwanza ni kwa serikali ku-stop this madness ya kila mtu kutaka kuwa na gari (tena 99% ni mitumba yalifeli viwango vya mazingira huko yalikotoka). More individual cars more pollution and more congestion..commonsense.

I have been recently watching a documentary on Paris transport, for starters hili ni mojawapo ya majiji yenye most efficient transport networks in this planet. Lakini wana-encourage usafiri wa umma na matumizi ya baiskeli. Hata baadhi ya askari wanafanya patrol kwa baiskeli. Hawaongezi mabarabara wala extravagant flyovers, maana wameshagundua hawahitaji kuongeza idadi ya magari bali kuwa na usafiri maridhawa na unaokidhi viwango na mahitaji ya kimazingira.

Baiskeli kwa Paris ni sawa kwa kuwa kuna baridi. Dar basikeli huwezi kutembelea, ni joto sana. Pia njia zenyewe za kuendeshea baiskeli ziko wapi>? Tupende tusipende, lazima tufanye OVERHAULD ya city plan kwa ujumla ndipo tuondoe tatizo kubwa la foleni.
 
Back
Top Bottom